🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, OKTOBA 22, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, OKTOBA 22, 2025
Mahakama ya ICJ kutoa uamuzi wa wajibu wa Israel, Gaza
Israel ililipiga marufuku shirika la Umoja wa Mataifa la Msaada kwa Wapalestina UNRWA kufanya kazi Israel baada ya kuwashutumu baadhi ya wafanyakazi wake kushiriki katika shambulio la Hamas la Oktoba…
Israel yatambua miili ya Mateka, Vance akutana na Netanyahu
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, imesema taifa hilo limekamilisha mchakato wa kutambua miili miwili ya mateka iliyokuwa ikishikiliwa na Hamas. Hayo yanajiri huku JD Vance akiizuru Israel.
Makamu M/Kiti wa CHADEMA John Heche akamatwa na polisi
Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche amekamatwa na jeshi la polisi katika viunga vya Mahakama Kuu ya Dar es…
Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Hamad Mbega, amewataka vijana wanaonufaika na mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri ya Wilay…
Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Hamad Mbega, amewataka vijana wanaonufaika na mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri ya Wilaya hiyo, kutumia fedha hizo kwa malengo yaliyokusudiwa ikiwemo kuanzisha na…
Watu 46 wafariki dunia kwa ajali ya barabarani Uganda
Polisi nchini Uganda imesema mabasi mawili na magari mengine mawili yamegongana na kusababisha ajali mapema leo Jumatano kwenye barabara kuu magharibi mwa nchi hiyo na kuua takriban watu 46 na…
#MADA:’Appointment na Daktari’
#MADA:'Appointment na Daktari' Tunaangalia umuhimu wa kufanya Appointment unapotaka kwenda kumuona daktari hasa daktari bingwa. Je, zipi faida zake?
#HABARI:Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Rorya katika Mkoa wa Mara Jafari Chege, amewaomba…
#HABARI:Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Rorya katika Mkoa wa Mara Jafari Chege, amewaomba wananchi wa kijiji cha Ng’ope kata ya Roche, kuhakisha hawaruhusu…
Leverkusen yachapwa 7 -2 na PSG
Jumatano mabingwa wa Ujerumani Bayern Munich watawakaribisha Club Brudge ya Ubelgiji huku Real Madrid wakimenyana na kibibi cha Turin Juventus. Mechi hizi zitachezwa majira ya saa nne usiku kwa saa…
Hali ya kibinadamu yaendelea kuwa ngumu Sudan
Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya kiutu OCHA imeripoti kwamba ongezeko la machafuko linakoleza hali ngumu ya kibinadamu inayoshuhudiwa katika jimbo la Darfur Kaskazini nchini Sudan.
Orlando Pirates na kibarua cha kusaka rekodi mpya Afrika
Hakuna klabu yoyote ya Afrika Kusini iliyowahi kupindua matokeo ya kufungwa mabao 3-0 katika...
Urusi yashambulia Ukraine usiku kucha na kuua watu sita
Urusi imefanya mashambulizi katika maeneo mbalimbali ya Ukraine mapema Jumatano, na kusababisha vifo vya watu sita, kwa mujibu wa maafisa wa Ukraine.
Mshauri wa Fedha, Uchumi na Uwekezaji, Janeth Soka ameelezea dalili nne za mtu kufahamu kama ni mtumwa kiuchumi
Mshauri wa Fedha, Uchumi na Uwekezaji, Janeth Soka ameelezea dalili nne za mtu kufahamu kama ni mtumwa kiuchumi. Ametaja dalili au hali hizo ni pamoja na mtu kufanya kazi kwa…
Misri inahimiza hatua za haraka za Umoja wa Mataifa kuidhinisha ujumbe wa kulinda amani wa Gaza
Maoni ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Badr Abdelatty yanakuja huku kukiwa na hofu kubwa kwamba Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu anaweza kusitisha mpango huo na kuanzisha…
Wakulima wa mwani visiwani Zanzibar wameahidiwa kupata soko la uhakika na thamani ya zao hilo itakayofikia Shilingi 6,000 kwa ki…
Wakulima wa mwani visiwani Zanzibar wameahidiwa kupata soko la uhakika na thamani ya zao hilo itakayofikia Shilingi 6,000 kwa kilo iwapo Chama Cha MAKINI kitafanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu. Ahadi hiyo…
Orlando Pirates na kibarua cha kusaka rekodi mpya Afrika Kusini
Hakuna klabu yoyote ya Afrika Kusini iliyowahi kupindua matokeo ya kufungwa mabao 3-0 katika...
Ajali ya barabarani yaua watu 46 nchini Uganda
Imechapishwa: 22/10/2025 – 11:44 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma yanayofuata Watu 46 wamepoteza maisha na wengine wamejeruhiwa, baada ya kutokea kwa ajali ya mabasi mawili yaliyogongana…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kusini, Mtwara imewahukumu kunyongwa hadi kufa mapacha wawili Daniel Stephen Seif (Ku…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kusini, Mtwara imewahukumu kunyongwa hadi kufa mapacha wawili Daniel Stephen Seif (Kurwa) (24) mkulima, mkazi wa Kijiji cha Mraushi "A" Wilaya ya Masasi…
Wakulima wa mwani Mtama wapatiwa vitendea kazi
Katika kuboresha zao la mwani nchini Serikali kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wametoa...
Waasi wa M23 walipora dhahabu yenye thamani ya dola milioni 70 kutoka mgodi wa DRC tangu Mei
Kampuni ya kuchimba madini ya Twangiza Mining nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), imesema waasi wa M23 wamepora takriban kilo 500 za dhahabu
Simba yatinga 10 bora tuzo za CAF, Pyramids, Mamelodi ndani
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeiweka Simba katika orodha ya timu 10 zinazowania...
Anayedai kutumwa na Mungu kesi ya Lissu alivyoondolewa mahakamani
Hali hiyo ilipelekea Jaji Nduguru kutangaza kuwa kesi inaendelea na watu wasipige picha wala...
Takriban watu 63 wamefariki katika ajali ya magari mengi nchini Uganda
Ajali hiyo ilitokea mwendo wa saa 2100 GMT siku ya Jumanne kwenye barabara kuu ya kuelekea Gulu, jiji kuu kaskazini mwa Uganda.
Simba yaingia 10 bora tuzo za CAF 2025, Pyramids, Berkane ndani
Simba katika msimu wa 2024/2025 ilifika hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Mgombea urais TLP aahidi kuinua uchumi kupitia kilimo, ufugaji
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Tanzania Labour Party (TLP),...
Modest kuzikwa Ijumaa, aacha wosia kwa wanawe
STAA wa zamani wa Simba, Yanga na Taifa Stars, Alphonce Modest anatarajiwa kuzikwa Ijumaa mchana katika makaburi ya Lubengela mkoani Kigoma.
Modest kuzikwa Ijumaa, aacha wosia wake kwa wanawe
STAA wa zamani wa Simba, Yanga na Taifa Stars, Alphonce Modest anatarajiwa kuzikwa Ijumaa mchana katika makaburi ya Lubengela mkoani Kigoma.
Tanzania: Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche, akamatwa na polisi
Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanzania Bara John Heche, amekamatwa na polisi Jumatano asubuhi jijini Dar es salaam, wakati akiingia kwenye lango la Mahakama kuu, kusikiliza kesi ya…
Kinachofanya mastaa wa Bongo wabadili muonekano
Mwonekano wa mtu unatoa picha kwa watu wanaomzunguka kumchukulia kuwa ni mtu wa aina gani. Nje...
Serikali yawekeza zaidi ya Sh 18 bilioni chuoni Mkwawa kubadili elimu ya juu kuwa injini ya ubunifu na maendeleo
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia...
Simba, Mtibwa, TFF zamlilia Alphonce Modest
Kufuatia kifo cha staa wa zamani wa Simba na Yanga, Alphonce Modest kilichotokea jana Jumanne Oktoba 21, 2025 akiwa nyumbani kwao Kigoma, wadau mbalimbali wa soka wamemlilia zikiwemo klabu alizowahi…
Rais wa Gambia Adama Barrow
Rais wa Taifa la Gambia au The Gambia ni Adama Barrow mwenye umri wa miaka 60.
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo Dar es Salaam, imekubaliana na pingamizi la tatu lililowasilishwa na Mwenyekiti…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo Dar es Salaam, imekubaliana na pingamizi la tatu lililowasilishwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu na kukataa kupokea flashi na memori kadi…
Mtaalam wa Macho kutoka CCBRT, Henry Ngogo amewashauri watu kuacha kutumia simu gizani, kwani miale inayotoka kwenye simu husaba…
Mtaalam wa Macho kutoka CCBRT, Henry Ngogo amewashauri watu kuacha kutumia simu gizani, kwani miale inayotoka kwenye simu husababisha athari katika macho unapotumia kwenye giza au mwanga hafifu na kuongeza…
Sudan Kusini: Zaidi ya watoto 70 waungana na mama zao, waliofukuzwa awali nchini Sudan
Nchini Sudan Kusini, kumekuwa na mshtuko na maswali mengi kuhusu kufukuzwa kwa raia wa Sudan Kusini wanaoishi katika nchi jirani ya Sudan. Zaidi ya wakimbizi milioni moja wakiwemo raia 800,000…
Je, unajua unapotumia simu yako kwa masaa matatu mfululizo kunaweza hatarisha afya ya macho yako?
Je, unajua unapotumia simu yako kwa masaa matatu mfululizo kunaweza hatarisha afya ya macho yako? Je, wewe unatumia simu yako kwa masaa mangapi? Msikilize Mtaalamu wa Macho kutoka CCBRT, Henry…
Mkutano na wanahabari
Mkutano na wanahabari Mbashara kupitia chaneli ya Sinema Zetu kuanzia saa tano nusu asubuhi #NextLevel
Matumaini ya diaspora kwa Samia kuleta Katiba mpya, uraia pacha
Bado nipo ughaibuni katika haya na yale kuelekea Oktoba 29 ya Watanzania kwenda kupiga kura...
Mahakama yaitahadharisha TFF kesi ya kumfungia kocha
Kesi hiyo ilitarajiwa kuanza kusilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam, Kisutu, maarufu kama Mahakama ya Kisutu, na Hakimu Mfawidhi, Hakimu Mkazi Mkuu, Franco Kiswaga, jana Jumatatu, Oktoba…
#HABARI: Muda mfupi kabla mapingamizi kesi ya Uhaini ya Mwenyekiti wa CHADEMA hayajolewa uamuzi katika Mahakama Kuu Masjala Ndog…
#HABARI: Muda mfupi kabla mapingamizi kesi ya Uhaini ya Mwenyekiti wa CHADEMA hayajolewa uamuzi katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake wala…
Billnass afunguka kufuata pesa kwa Nandy
Nyota wa Bongo Fleva, Billnass amesema mapenzi yake kwa mkewe Nandy yaheshimiwe huku akiwachana...
Mnyika: Kukamatwa Heche ni njama dhidi ya viongozi wa Chadema
Mnyika amesema kuwa hadi sasa chama hakijapewa taarifa rasmi kuhusu sababu za kukamatwa kwa...
Waliopoteza kitambulisho cha mpigakura kutumia leseni ya udereva, pasipoti au Nida
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetoa mwongozo kwa wananchi waliopoteza kitambulisho cha...
Zaidi ya wanafunzi 1,500,000 wa darasa la nne nchi nzima, wanatarajiwa kufanya mtihani wa upimaji wa kitaifa leo Oktoba 22,2025 …
Zaidi ya wanafunzi 1,500,000 wa darasa la nne nchi nzima, wanatarajiwa kufanya mtihani wa upimaji wa kitaifa leo Oktoba 22,2025 katika maeneo mbalimbali nchini, mtihani huo wa upimaji utafanyika kwa…
Mtoto wa Mjini – 11
Kwa hali ya unyonge, Muddy alimfuata afisa wa uhamiaji ambaye alimuongoza hadi katika ofisi nyingine iliyokuwa na watu wengi.
SEMINA YA AMANI KUTOKA MKOANI KILIMANJARO /OKTOBA 22, 2025
SEMINA YA AMANI KUTOKA MKOANI KILIMANJARO /OKTOBA 22, 2025
#HABARI: Katibu Mkuu wa Chadema Bwana John Mnyika ameongelea kuhusu kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bwana Jonh Heche …
#HABARI: Katibu Mkuu wa Chadema Bwana John Mnyika ameongelea kuhusu kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bwana Jonh Heche akiwa anaingia Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam kwa…
Mahakama Kuu yakubali pingamizi la Lissu
Uamuzi huo umetolewa leo, Jumatano Oktoba 22, 2025 na kiongozi wa jopo la majaji watatu, Jaji...
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam Oktoba leo 22, 2025 siku ya Jumatano inatarajia kutoa uamuzi ju…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam Oktoba leo 22, 2025 siku ya Jumatano inatarajia kutoa uamuzi juu ya mapingamizi manne ikiwemo kupinga uhalali wa shahidi…