Wananchi waonywa kutoingizwa kwenye siasa za uchochezi kuelekea uchaguzi mkuu
Wananchi wametakiwa kuepuka kutumika kwa malengo ya kisiasa katika kipindi hiki cha kuelekea...
Dunia yapongeza kufikiwa makubaliano ya Gaza
Mataifa kadhaa yamepongeza makubaliano ya kuvimaliza vita vya Israel kwenye Ukanda wa Gaza, baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kusema wawakilishi wa Israel na wa Kipalestina wamesaini awamu ya…
Watu 13 wameuawa katika mashambulizi ya RSF Sudan
Watu 13 wameuawa katika shambulizi la RSF nchini Sudan, baada ya wanamgambo hao kuushambulia msikiti uliokuwa unatumika kuwahifadhi watu wasio na makaazi katika mji wa El-Fasher.
Hamas itawakabidhi mateka ‘wote’ wa Israel mnamo Oktoba 13: Trump
Matamshi ya rais wa Marekani yamekuja kwa njia ya simu na familia za mateka kufuatia tangazo la makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza kati ya Israel na Hamas.
Messi aibua sintofahamu nyingine Argentina
Nahodha na mshambuliaji wa Argentina, Lionel Messi huenda asiwe sehemu ya kikosi cha Argentina...
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Chimaguli Majiyangui Samamba (54), mkulima na mkazi wa Ugede-Songambele…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Chimaguli Majiyangui Samamba (54), mkulima na mkazi wa Ugede-Songambele, kwa tuhuma za kumuua mke wake Moshi Paulo John (47) baada ya ugomvi…
Kuanzia leo Oktoba 09 mpaka Novemba 01, 2025, katika Migodi yetu ya Tegeta, Mbezi, Kigamboni na Chanika kisimhuzi cha Dish kitau…
Kuanzia leo Oktoba 09 mpaka Novemba 01, 2025, katika Migodi yetu ya Tegeta, Mbezi, Kigamboni na Chanika kisimhuzi cha Dish kitauzwa kwa bei ya ofa 95,000/= badala ya 99,000/= Bei…
Tanzania katika mazungumzo na Marekani kuhusu sharti la dhamana ya viza
Tanzania imekuwa ni nchi ya hivi karibuni kuingizwa katika orodha ya nchi ambazo raia wake wamewekewa masharti ya dhamana ya viza.
Bosi agoma kuipiga bei Tottenham
Licha ya wamiliki wa sasa wa Spurs, kampuni ya ENIC na familia ya Lewis kukataa ofa hiyo...
Janga la mitandao ya kijamii kwa kizazi cha ‘Gen Z’
Kila kona ya mtandao, kuna uhalisia unaoficha ukweli. Vijana wa leo, ambao mara nyingi huitwa...
Mtanzania avumbua jukwaa kuifanya Tanzania kitovu cha usafirishaji kikanda
Katika zama ambazo dunia inakimbilia kidijitali, Tanzania nayo imeanza safari ya kujenga mifumo...
Hizi hapa sababu ongezeko la uwekezaji wa Waarabu nchini
Mageuzi kuelekea nishati safi yamechochea mabadiliko makubwa katika sera na mikakati ya...
Erdogan apongeza makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza, na kusifu nafasi ya Misri na Qatar
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameeleza kufurahishwa na makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Hamas na Israel huko Gaza kufuatia mazungumzo yaliyoandaliwa Sharm el-Sheikh akisisitiza kuwa nchi yake imechangia…
Mchambuzi wa Kimataifa, Pater Nusniyegira ameeleza mambo kadhaa ambayo serikali ya Ufaransa inapaswa kuyafanya ili kuleta utuliv…
Mchambuzi wa Kimataifa, Pater Nusniyegira ameeleza mambo kadhaa ambayo serikali ya Ufaransa inapaswa kuyafanya ili kuleta utulivu wa kisiasa nchini humo. Miongoni mwa mambo hayo ni pamoja na kusitisha mpango…
Mkataba wa kusitisha mapigano Gaza kutiwa saini saa 6, wadhamini ni Uturuki, Misri na Marekani
Hamas itawaachia huru mateka 20 wa Israel na karibu wafungwa 2,000 wa Kipalestina kuachiwa huru kama sehemu ya awamu ya kwanza ya makubaliano hayo.
🔮 TANZAMA: Makadirio ya Timu 9 za Afrika Zitakazofuzu Kombe la Dunia 2026
Kwa kuzingatia hali ya makundi, ubora wa vikosi, na mwenendo wa sasa, hizi ndizo timu zinazotarajiwa kupeperusha bendera ya Afrika katika michuano mikubwa zaidi duniani: 🥇 1. Misri 🇪🇬 (Imeshafuzu)…
Mchambuzi wa Kimataifa, Pater Nusniyegira, ametoa angalizo kwa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, kwamba anatakiwa kuangalia muun…
Mchambuzi wa Kimataifa, Pater Nusniyegira, ametoa angalizo kwa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, kwamba anatakiwa kuangalia muundo wa taifa lake na jinsi ya kuubadilisha, ili aje na sera itakayowawezesha vijana…
Mchambuzi wa Kimataifa, Pater Nusniyegira akizungumza mapema leo kwenye kipindi cha #MoriningTrumpet, amesema kushuka kwa uchumi…
Mchambuzi wa Kimataifa, Pater Nusniyegira akizungumza mapema leo kwenye kipindi cha #MoriningTrumpet, amesema kushuka kwa uchumi wa kijamii kwa taifa la Ufaransa ndio sababu inayowaondoa madarakani na kujiuzuru kwa mawaziri…
UCHAMBUZI MAALUM: Misri yatinga Kombe la Dunia 2026 — Ghana na Cabo Verde zikaribia, uso mpya wa soka la Afrika unaonekana
UCHAMBUZI MAALUM: Misri yatinga Kombe la Dunia 2026 — Ghana na Cabo Verde zikaribia, uso mpya wa soka la Afrika unaonekana✍️ Na: Mwandishi Wetu wa Michezo – Oktoba 9, 2025…
Malipo kidijitali ni mfumo rahisi unaohitaji umakini
Hivi sasa ni rahisi kupitisha kadi ya benki au kugusa simu yako. Iwe unanunua katika duka la...
🔴NAFASI YA UBIA KATIKA UTEKELEZAJI WA DIRA , OKTOBA 09, 2025
🔴NAFASI YA UBIA KATIKA UTEKELEZAJI WA DIRA , OKTOBA 09, 2025
Dkt. Mwinyi: Tusikubali siasa za chuki
Dkt. Mwinyi ameahidi kujenga uwanja wa michezo kisiwani humo ili kukuza vipaji vya vijana.
#HABARI:Mama yake Humprey Polepole tayari amewasili katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam Katika shauri…
#HABARI:Mama yake Humprey Polepole tayari amewasili katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam Katika shauri la kutekwa kwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole,…
Misri yafuzu Kombe la Dunia, Cape Verde yacheleweshwa
Misri imejihakikishia tiketi ya kushiriki Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya leo kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Djibouti katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Larbi…
Changamoto kubwa wanazopitia watumiaji wa mkaa wa kuni ni pamoja na vifo vinavyotokana na moshi
Changamoto kubwa wanazopitia watumiaji wa mkaa wa kuni ni pamoja na vifo vinavyotokana na moshi. Katika kujua hilo kikundi cha Tujikwamue Kijana @pang.awe wamekuja na mkaa mbadala ambao unatatua changamoto…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 09, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 09, 2025
#HABARI:Ikiwa leo ni siku ya nne ya usikilizwaji wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Tundu Lissu, katika Mahakama Kuu …
#HABARI:Ikiwa leo ni siku ya nne ya usikilizwaji wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Tundu Lissu, katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala ndogo ya Dar es Saalam, imeanza ambapo…
#MEZAHURU: Kipi kinachangia kuamini na kuwatumia Marefarii wa kigeni na kuacha marefarii wetu wazawa .?
#MEZAHURU: Kipi kinachangia kuamini na kuwatumia Marefarii wa kigeni na kuacha marefarii wetu wazawa .? #SaaTisaMchana
Iran, Russia zajadili kuendeleza ushirikiano wa nyuklia
Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amekutana na kuzungumza mjini Tehran na afisa wa ngazi ya juu wa Shirika la Taifa la Nishati ya Atomiki la…
Wanaharakati wa Afrika Kusini katika msafara wa Sumud; Tulimkaripia Waziri wa Israel tukiwa kizuizini
Wanaharakati sita wa Afrika Kusini ambao waliwekwa kizuizini huko Israel baada ya kutekwa nyara kutoka katika msafara wa kimataifa wa meli kwa jina la Global Sumud Flotilla kuelekea Gaza wamesimulia…
Wanamgambo wa RSF washambulia hospitali jimboni Darfur; watu 12 wameuawa, 17 kujeruhiwa
Raia wasiopungua 12 wameuawa na wengine 17 kujeruhiwa katika shambulio lililofanywa na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika jimbo la Darfur Kaskazini.
Rais wa Madagascar afanya mazungumzo licha ya waandamanaji kususia
Rais Andry Rajoelina wa Madagascar jana aliyaalika makundi na asasi kadhaa za kiraia kwa ajili ya mazungumzo katika ikuu ya Rais.
Ethiopia yaituhumu Eritrea kuwa inajiandaa kuanzisha vita dhidi yake
Ethiopia imeituhumu Eritrea kuwa inajiandaa kuanzisha vita dhidi yake. Ethiopia imetoa tuhuma hizi dhidi ya Eritrea ikiwa ni ishara ya karibuni ya kushtadi mvutano katika nchi mbili hizo jirani kuhusu…
Kimmel: Sakata langu limeweka mstari wa uhuru wa maoni
Jimmy Kimmel amesema kusimamishwa kwa show yake baada ya shinikizo la utawala wa Trump kumeweka “mstari mwekundu” wa kulinda uhuru wa maoni nchini Marekani. Show yake ilisitishwa kufuatia utani wake…
Vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa kupunguzwa
Umoja wa Mataifa utalazimika kupunguza vikosi vyake vya kulinda amani duniani kote kwa karibu asilimia 25.
Merz kuongoza mkutano wa dharura kuhusu sekta ya magari
Kansela Friedrich Merz ataongoza kikao cha dharura na viongozi wa sekta ya magari ya Ujerumani kujadili hatma ya viwanda vinavyoyumba, marufuku ya injini za mwako ifikapo 2035, ushindani kutoka China…
Macron kumtaja waziri mkuu mpya wa Ufaransa
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron atamteua waziri mkuu mpya katika kipindi cha saa 48 zijazo.
Wapalestina/Waisrael washerehekea tangazo la usitishaji vita Gaza
Baada ya tangazo la Israel na Hamas, kukubali mkataba wa kusitisha vita uliopendekezwa na Marekani, Wapalestina wamekuwa wakisherehekea, kuanzia Jumatano usiku hadi Alhamisi kusini mwa mji wa Khan Younis, na…
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: UTUNZAJI WA NGOZI NA VIPODOZI….OKTOBA 09, 2025TOBA 09, 2025
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: UTUNZAJI WA NGOZI NA VIPODOZI....OKTOBA 09, 2025
Starmer na Modi kukutana siku ya pili ya ziara ya India
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer atakutana na waziri mkuu wa India, Narendra Modi mjini Mumbai. Viongozi hao wanatarajiwa kuzungumzia uhisiano na Vladimir Putin.
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 09, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 09, 2025
Uingereza kuongoza mkutano wa usalama na uhamiaji Balkan
Uingereza ni mwenyeji wa mkutano unaohusu usalama na uhalifi wa wahamiaji katika eneo la Balkan Magharibi.
Marekani: James Comey, adui mkuu wa Trump afikishwa mbele ya mahakama
Mkurugenzi wa zamani wa shirika la upelelezi la Marekani, FBI, James Comey, tarehe 8 Oktoba, ameripoti rasmi mbele ya mahakama ya shirikisho huko Alexandria, karibu na mji mkuu, Washington. Imechapishwa:…
Afghanistan: Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban apokelewa kwa mara ya kwanza nchini India
Waziri wa Mambo ya Nje wa Afghanistan amewasili India leo Alhamisi, Oktoba 9, kwa ziara isiyokuwa ya kawaida ya siku mbili, shirika la habari la AFP limeripoti. Hii ni hatua…
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Kyerwa Oktoba 8, 2025, mkoani Kagera, imesoma hukumu ya kesi ya jinai ya ubakaji dhidi ya Thobias…
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Kyerwa Oktoba 8, 2025, mkoani Kagera, imesoma hukumu ya kesi ya jinai ya ubakaji dhidi ya Thobias Thomas. Mshtakiwa huyo alifikishwa mahakamani akikabiliwa na shtaka…
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 9, 2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 9, 2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
Waziri Mkuu wa China Li Qiang azuru Korea Kaskazini
Waziri Mkuu wa China Li Qiang anazuru Pyongyang leo Alhamisi , Oktoba 9, kwa ziara rasmi ya “nia njema”, kulingana na Wizara ya Mambo ya Nje ya China. Li Qiang…
Costa Rica kumteua Rebeca Grynspan kurithi mikoba ya Antonio Guterres katika Umoja wa Mataifa
Costa Rica itamteua Rebeca Grynspan, mkuu wa sasa wa Shirika la Biashara na Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNCTAD), kwa nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, nchi hiyo…
UM kupunguza idadi ya walinda amani duniani kwa asilimia 25, kutokana na ukosefu wa fedha
Umoja wa Mataifa utapunguza idadi ya walinda amani wake duniani kote kwa 25% katika miezi ijayo, au kati ya 13,000 na 14,000 wanajeshi na polisi, kutokana na ukosefu wa fedha,…