Rais wa Marekani Donald Trump kuzuru Misri
Mapema jioni, Donald Trump ametangaza kwamba huenda akasafiri hadi Mashariki ya Kati mwishoni mwa wiki hii, uwezekano wa Misri, akisema kuwa makubaliano kati ya Hamas na Israel kumaliza vita huko…
🔴MAGAZETI: KESI YA LISSU- KUKINUKISHA SI UHAINI: ACP / RORO: NAKUJA YANGA
🔴MAGAZETI: KESI YA LISSU- KUKINUKISHA SI UHAINI: ACP / RORO: NAKUJA YANGA... 09 OKTOBA 2025
#KIPIMAJOTO: Vyama vinavyoshindwa kutumia muda kunadi sera zao
#KIPIMAJOTO: Vyama vinavyoshindwa kutumia muda kunadi sera zao. Je, vilikua na sababu ya Kushiriki katika uchaguzi?
Awamu ya sita ya mazungumzo kati ya DRC na AFC/M23 kufanyika wiki ijayo
Hatimaye RFI imebaini kuwa awamu ya sita ya mazungumzo kati ya serikali ya DRC na waasi wa AFC/M23, itafanyika kuanzia wiki ijayo nchini Qatar. Imechapishwa: 09/10/2025 – 05:25Imehaririwa: 09/10/2025 –…
Makubaliano ya usitishaji wa vita Gaza yaafikiwa
Rais wa Marekani Donald Trump amesema pande hasimu kwenye mzozo wa Gaza zimekubaliana kuhusiana na awamu ya kwanza ya mpendekezo yake ya upatikanaji wa amani huko Gaza. Imechapishwa: 09/10/2025 –…
Israel yaendelea kufanya jinai Ghaza licha ya kufikiwa makubaliano ya kusitisha vita
Duru mbalimbali za kieneo zimeripoti mepema leo Alkhamisi kwamba utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kufanya mashambulizi makali katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Ghaza licha ya kufikiwa makubaliano ya…
IRGC yaonya; Jibu kali litawakabili maadui ‘wakikosea’ katika Ghuba ya Uajemi, Hormuz
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ameonya kuwa, hatua zozote za makosa zitakazofanywa na maadui katika Ghuba ya Uajemi, Lango Bahari la Hormuz au katika…
ICC yazitaka nchi wanachama kutekeleza hati za kukamatwa Netanyahu, Gallant
Msemaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), Fadi El Abdallah ameiambia kanali ya Al-Jazeera kwamba, nchi wanachama wa Mkataba wa Roma zina wajibu wa kisheria kushirikiana na mahakama hiyo…
Jihadul Islami: Mpango wa Trump kwa Gaza unalenga kuwapigisha magoti Wapalestina
Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina ya Jihadul Islami amesema kuwa, mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa eti kusimamisha vita Gaza unaupendelea tu utawala…
Jeshi la Pakistan launga mkono bila ya masharti kuasisiwa nchi huru ya Palestina
Makamanda wa jeshi la Pakistan wamebainisha matarajio yao kuhusu kusitishwa vita haraka iwezekanavyo huko Gaza na kutumwa misaada ya kibinadamu katika eneo hilo na kusisisitiza kuwaa Pakistan inaendelea kuunga mkono…
ICRC: Mgogoro wa afya Kongo DR unazidi kuwa mbaya
Mfumo wa huduma za afya katika eneo linalokumbwa na migogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) umezorota kwa kiasi kikubwa, huku vituo vingi vya matibabu vikiwa na uhaba…
Misri na vita vya Gaza; Kujaribu kufuata mkakati wa uwastani
Kuanza vita vya Gaza baada ya operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa mnamo Oktoba 7, 2023 ulikuwa mwanzo wa mabadiliko katika sera za ndani na za kigeni za Misri.
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI …OKTOBA 09, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...OKTOBA 09, 2025
Alkhamisi, 09 Oktoba 2025
Leo ni Alkhamisi 16 Mfunguo Saba Rabiuthani 1447 Hijria sawa na 9 Oktoba 2025 Miladia.
09.10.2025
Mataifa kadhaa ya Ulaya na ya ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu yamepongeza kufikiwa kwa makubaliano ya kuvimaliza vita vya Israel kwenye Ukanda wa Gaza+++Wakili Peter Kibatala awasilisha ombi maalum Mahakama…
09.10.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Rais wa Marekani Donald Trump asema Isreal na Hamas wamesaini awamu ya kwanza ya mkataba wa amani wa Gaza. Umoja wa Mataifa kupunguza vikosi vyake vya kulinda amani duniani kote.…
Stars yahitimisha kufuzu Kombe la Dunia kwa kipigo
TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imemaliza safari ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 ikipokea kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Zambia.
Mashambulizi ya RSF katika hospitali yaua watu 20 huko Al-Fasher, Sudan
Mashambulizi ya wapiganaji wa Sudan RSF katika hospitali ya mji wa Al-Fasher yamewaua watu 20 ndani ya saa 24, vyanzo vya maafisa wa afya vimesema siku ya Jumatano.
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 08, OKTOBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 08, OKTOBA 2025
Tanzania vs Zambia – Kikosi, Takwimu, Matokeo na Ripoti Kamili ya Mechi
🏟 Lineups / Kikosi Tanzania (wa kuanzia / starting XI) Formasi inayotajwa: 4-4-2 FotMob +2 VAVEL.com – Live Sports +2 Yakoub Suleiman (GK) VAVEL.com – Live Sports +2 FotMob +2…
Raia wa Tanzania wawekewa masharti haya kuingia Marekani, Serikali yatafuta suluhu
Baada ya Serikali ya Marekani kuiweka Tanzania miongoni mwa nchi ambazo raia wake hupaswa...
#HABARI: Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Bw
#HABARI: Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Bw. Ismail Ali Ussi, ametembelea Miradi ya Maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali na kuwasihi wananchi washiriki uchaguzi kikamilifu kwa kuchagua Viongozi…
Upinzani CAR unasema hautoshiriki kwenye uchaguzi wa urais wa Disemba 2025
Upinzani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati unasema utasusia uchaguzi wa Disemba ambapo Rais Faustin-Archange Touadera anawania muhula wa tatu.
#HABARI: Wahadhiri wa Vyuo Vikuu vya Umma Nchini Kenya, wameendeleza mgomo kwa juma la nne mfululizo, kushinikiza Serikali kuwal…
#HABARI: Wahadhiri wa Vyuo Vikuu vya Umma Nchini Kenya, wameendeleza mgomo kwa juma la nne mfululizo, kushinikiza Serikali kuwalipa malimbikizo ya mishahara yao, karibu shilingi Bilioni 7 kufikia sasa. JINSI…
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Elihuruma Mabelya wamewataka wakan…
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Elihuruma Mabelya wamewataka wakandarasi wanaojenga miradi ya afya jijini Dar es Salaam kuhakikisha…
Somalia yaimarisha jeshi lake kwa ushirikiano na Rwanda
Mataifa yote mawili yamekubaliana kuhusu usalama katika kanda na fursa za kuimarisha uhusiano wa kijeshi.
Madereva wa Bajaji jijini Dodoma wamekuja na ubunifu wa kipekee wa kuongeza nakshi na mapambo kwenye bajaji zao ili kufanya usaf…
Madereva wa Bajaji jijini Dodoma wamekuja na ubunifu wa kipekee wa kuongeza nakshi na mapambo kwenye bajaji zao ili kufanya usafiri huo kuvutia zaidi kwa abiria. #AzamTVupdates Mhariri | John…
#HABARI: Mvua iliyonyesha jana imesababisha nyumba zaidi ya ishirini katika Mtaa wa Tabata Kata ya Tabata, Ilala Dar es Salaam, …
#HABARI: Mvua iliyonyesha jana imesababisha nyumba zaidi ya ishirini katika Mtaa wa Tabata Kata ya Tabata, Ilala Dar es Salaam, kuzingirwa na maji kutokana na mifereji kuziba na kusababisha baadhi…
‘Hakuna wa kuwazuia Rais Samia, Dk Mwinyi’
Mgombea mwenza wa urais wa Tanzania wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema...
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesitisha kampeni na uchaguzi wa Jimbo la Siha, mkoani Kilimanjaro baada ya mgombea wa CU…
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesitisha kampeni na uchaguzi wa Jimbo la Siha, mkoani Kilimanjaro baada ya mgombea wa CUF, Daudi Wilbroad Ntuyehabi kuuawa. #AzamTVUpdates Mhariri | John…
Uwekezaji wa Serikali kwenye mashirika wafikia Sh92.29 trilioni
Wakati uwekezaji uliofanywa na Serikali kwa mashirika ya umma na kampuni ndani na nje ya nchi...
Mgombea wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo ameahidi kupunguza posho za wabunge, kupunguza msafara wa Rais, na kutumia fedha hizo…
Mgombea wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo ameahidi kupunguza posho za wabunge, kupunguza msafara wa Rais, na kutumia fedha hizo kujenga shule na hospitali. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi
Mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo amesema huduma bora za afya, ajira kwa Watanzania, na maboresho ya mi…
Mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo amesema huduma bora za afya, ajira kwa Watanzania, na maboresho ya miundombinu ni miongoni mwa ahadi watakazotekeleza endapo chama chao kitapata…
Mgombea wa Chama cha Demokrasia Makini, Costar Jimmy Kibonde amewasisitiza wananchi kuitunza amani ya nchi wakati huu wa uchaguz…
Mgombea wa Chama cha Demokrasia Makini, Costar Jimmy Kibonde amewasisitiza wananchi kuitunza amani ya nchi wakati huu wa uchaguzi mkuu. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi
Chama cha ACT Wazalendo kimezindua ilani ya uchaguzi kwa upande wa Zanzibar kwa mwaka 2025 – 2030, ikizingatia ukuaji wa uchumi,…
Chama cha ACT Wazalendo kimezindua ilani ya uchaguzi kwa upande wa Zanzibar kwa mwaka 2025 – 2030, ikizingatia ukuaji wa uchumi, haki za binadamu, na kuinua ustawi wa jamii. Uzinduzi…
#HABARI: Mbunge wa Viti Maalum Mstaafu, Felista Njau, amewataka wabebaji mizigo wa Mji Mdogo wa Mbulu kuungana kumuunga mkono Mg…
#HABARI: Mbunge wa Viti Maalum Mstaafu, Felista Njau, amewataka wabebaji mizigo wa Mji Mdogo wa Mbulu kuungana kumuunga mkono Mgombea wa nafasi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi…
Paresso: Oktoba 29 tukampigie Samia, CCM kura za heshima
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Cecilia Paresso amewaomba Watanzania kujitokeza kwa wingi...
Mfanyabiashara wa miamala adaiwa kutoweka Dumila
Taharuki imezuka miongoni mwa wakazi wa Kitongoji cha Bwawani, Kata ya Dumila, Wilaya ya...
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana, amesema maboresho yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kujenga mahusiano bora ya kidiplomasia yamechochea ukuaji wa sekta ya utalii Tanzania na…
#HABARI: Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), limekinasa kiwanda cha uzalishaji mafuta kwa kutumia matairi (Sanfu Industrial Ltd) …
#HABARI: Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), limekinasa kiwanda cha uzalishaji mafuta kwa kutumia matairi (Sanfu Industrial Ltd) kilichopo Mwanambaya, wilayani Mkuranga, mkoani Pwani, kikiiba umeme baada ya kuchezea mita na…
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU OKTOBA 08, 2025 -LISSU AIBUA SAKATA LA KUPIGWA KWAKE RISASI
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU OKTOBA 08, 2025 -LISSU AIBUA SAKATA LA KUPIGWA KWAKE RISASI
Habari za Kikosi, Kuumia & Changamoto
Habari za Kikosi, Kuumia & Changamoto Tanzania (Taifa Stars): Zambia (Chipolopolo): ⚔️ Vikundi vya Ulinganisho na Takwimu za H2H 🔮 Makadirio na Mambo ya Kuangalia Makadirio ya matokeo: Mambo muhimu…
Kumbukumbu za Oktoba 7: kinachokumbukwa na matokeo yake kufikia sasa
Miaka miwili baadaye, matukio ya Oktoba 7 bado ni tata. Simulizi inayojitokeza inategemea tafisri ya matukio, namna dunia inavyoitizama Israel, Palestina, na uwezekano wa kupatikana kwa amani iliyo tete.
Mtoto mbaroni akidaiwa kumuua mama yake wa kambo
Tatizo Mzumbwe (25), mkazi wa Masoko mkoani Mbeya, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma...
Serikali yaweka mkakati matumizi ya umeme kufikia Dira ya 2050
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na wataalamu kutoka Tume...
Tanzania kutumia data, teknolojia kupambana na NCDs
Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukabiliana na changamoto inayoongezeka ya magonjwa...
#HABARI: Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa mapaka…
#HABARI: Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa mapaka kesho Oktoba 9, 2025, ambapo upande wa Jamhuri utaendelea kumhoji shahidi wa kwanza…
#HABARI: Katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja, TANESCO imekuja na program maalumu ya kuwahudumia wateja wao kwa kuwaunga…
#HABARI: Katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja, TANESCO imekuja na program maalumu ya kuwahudumia wateja wao kwa kuwaunganishia wateja wapya huduma ya umeme ndani ya siku moja, ikiwa ni…
El-Sissi: Mazungumzo ya kusitisha vita Gaza yanatia moyo
Rais wa Misri Abdel-Fattah el-Sissi amesema leo kuwa mazungumzo ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza yanayofanyika katika mji wa Bahari ya Shamu wa Sharm el-Sheikh hadi sasa yamekuwa ya…
Samia aahidi kuimarisha sekta nne kanda ya ziwa
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuendelea...