Sudan yatoa “tahadhari nyekundu” kuhusu uwezekano wa kutokea mafuriko nchini
Sudan imetoa "tahadhari nyekundu" kuhusu uwezekano wa kutokea mafuriko katika majimbo matano kando ya Mto Nile, ikisema kuwa viwango vya maji vimeongezeka katika vijito vyake viwili vikuu, Blue na White…
Je, uzoefu wa kupambana na ubaguzi wa rangi unaweza kuulazimisha utawala wa Kizayuni kuondoka Ghaza
Wananchi wa Afrika Kusini walifanya maandamano makubwa na ya kihistoria hivi karibuni wakitaka kuvunjwa kikamilifu uhusiano wa kidiplomasia na kibiashara wa nchi hiyo na utawala dhalimu na wa ubaguzi wa…
Jumanne, 30 Septemba, 2025
Leo ni Jumanne tarehe 7 Rabiul-Thani mwaka 1447 Hijria Qamaria, sawa na tarehe 8 mwezi Mehr mwaka 1404 Hijria Shamsia inayosadifiana na tarehe 30 Septemba 2025 Miladia.
Israel yaukubali mpango wa amani, yawaonya Hamas kutoukataa
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu amesema anaunga mkono pendekezo la mpango wa amani kwenye Ukanda wa Gaza baada ya mazungumzo na Rais Trump jana Jumatatu huku akiwatahadharisha wapiganaji wa Hamas ikiwa…
30.09.2025 Matangazo ya Asubuhi
Rais wa Marekani Donald Trump alimkaribisha waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu mjini Washington kwa mkutano wa kujadili pendekezo la mpango wa amani wa Ukanda wa Gaza+++Mkutano wa 80 wa…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 30, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Erdogan kuhusu UNGA: Suala la Palestina lilitawala, Israel ilisahaulika, kikao na Trump kinatia moyo
Hakuna aliye tayari kusimama na Israel au kuonekana kwenye picha na serikali ya Netanyahu, isipokuwa mataifa machache,' anasema Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan.
Marekani-Korea Kaskazini: Kim na Trump watakutna tena
Viongozi wa Marekani na Korea Kaskazini wameonesha utayari wa kukutana kwa mara ya nne, lakini pande hazijalegeza msimamo katika suala muhimu la kudhibiti mpango wa nyuklia wa Korea Kaskazini.
Stoltenberg: Ubinafsi wa Trump na mpango tata wa Ukraine
Katibu Mkuu wa zamani wa NATO, Jens Stoltenberg, aezela jinsi alivyombembeleza Trump asiondoke NATO, pendekezo la “suluhisho la Kifini” kwa Ukraine, na mvutano wake na Ufaransa kuhusu uongozi na mageuzi…
Tanzania: Uchaguzi katikati mwa migawanyiko CCM, upinzani
Kadri Tanzania inavyokaribia uchaguzi wa Oktoba, migawanyiko ndani ya chama tawala na upinzani uliogawanyika inaweza kuamua mustakabali wa kisiasa wa nchi hiyo.
Suluhisho la mzozo wa Gaza lipo karibu kufikiwa
Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Ujerumani Johann Wadephul, amesema suluhisho la mzozo wa Gaza lipo karibu kufikiwa huku akipongeza juhudi za Marekani za kutaka kusitisha vita katika…
UNICEF; Watoto wahamishwe kutoka hospitali Gaza City
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Watoto, UNICEF limetoa wito wa kuhamishwa mara moja kwa kiasi cha watoto 25 walio wagonjwa ama njiti walioko katika mashini za kuwatunza watoto…
Hungary yafungia tovuti 12 za habari za Ukraine
Hungary imetangaza leo kufungia ufikiaji wa tovuti 12 za habari za Ukraine baada ya hatua kama hiyo kuchukuliwa na Ukraine na kuzidisha mvutano kati ya mataifa hayo mawili jirani.
Bangladesh yaishtumu India kwa kuchochea ghasia
Mshauri mkuu wa utawala wa mpito wa Bangladesh ameishutumu India kwa kuchochea machafuko, kufuatia vifo vya watu watatu katika ghasia za kikabila kwenye wilaya ya kusini-mashariki mwa nchi hiyo.
Sudan yaonya kuhusu hatari ya mafuriko karibu na mto Nile
Sudan imetoa onyo la uwezekano wa mafuriko katika majimbo matano kando ya Mto Nile, ikitaja kupanda kwa viwango vya maji katika vijito vyake viwili vikuu, Blue na White Nile.
Wahamiaji wa Marekani waliopelekwa Ghana wahamishiwa Togo
Raia wa Afrika Magharibi waliofukuzwa na Marekani na kupelekwa Ghana sasa wanajisimamia mahitaji yao wenyewe nchini Togo baada ya kuachwa huko bila nyaraka zao.
Afrika: Kufutwa kwa AGOA kunafungua njia mpya
Mkataba wa kibiashara kati ya Marekani na nchi za Afrika unafikia ukingoni. Kuna tishio la kupotea kwa ajira, lakini pia kuna fursa kwa bara hili kuimarisha ushirikiano mpya wa kibiashara.
Mzozo wa Urusi-Ukraine waingia hatua ya hatari ya kupanuka
Ukiukaji wa anga ya NATO, mashambulio ya droni na maombi ya Ukraine ya makombora ya Tomahawk vinatishia kupanua mzozo — Ulaya inakabiliwa na chaguo gumu: kuimarisha vizuizi au kuepuka kuingia…
Iran: Sekretarieti ya UN imevuka mpaka wa mamlaka yake kutangaza urejeshwaji wa vikwazo
Iran imepinga vikali taarifa ya Sekretarieti ya Umoja wa Mataifa kwa nchi wanachama kuhusu kutumika tena maazimio yaliyohitimisha muda wake yanayoilenga Jamhuri ya Kiislamu kwa vikwazo.
NUKUU ZA VIONGOZI: Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu la UN, UNGA80- SIKU YA SITA
Mjadala Mkuu wa mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa leo ni siku ya sita ambapo viongozi wa dunia wanaendelea kutoa hotuba zao kwenye ukumbi wa Baraza…
Hospitali ziko chini ya mashambulizi makubwa ya Israel Gaza, OHCHR yalaani vikali
Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa OHCHR, katika eneo linalokaliwa kimabavu la Palestina imetoa onyo kali leo kuhusu kile ilichokiita mashambulizi ya mara kwa mara ya kijeshi…
Eritrea: Lazima kuwe na mpangilio mpya wa dunia uliojikita katika haki na usawa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Eritrea, Osman Saleh Mohammed, amehutubia Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa katika Kikao cha 80 au UNGA80, akionya kwamba mfumo wa…
Ili Afrika ‘iimarike kiafya’ inabidi isiwe tegemezi kwenye masuala ya kifedha – Dkt. Ntuli Kapologwe
Tukisalia hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa, kandoni mwa Mjadala Mkuu wa Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA80, inafanyika mikutano mingine ya pembezoni…
Wakati wa Afrika kupewa viti na sauti Baraza la Usalama la UN ni sasa: Lokaale
Mwakilishi wa kudumu wa Kenya katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ekitela Lokaale, amesema kuwa ni wakati muafaka kwa Afrika kupewa nafasi ya kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa…
Zambia: Kama hakuna utulivu katika eneo moja, hakuna utulivu kila mahali
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Zambia, Mheshimiwa Mulambo Haimbe, ambaye amesema Zambia inalaani vikali vita na uvamizi na wanasihi pande zote kwenye mizozo iliyotawala duniani…
Burundi imefunga ukusara wa machafuko na kufungua wa maridhiano: Bizimana
Katika hotuba yenye nguvu katika kikao cha 80 cha Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA80 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kikanda wa Burundi,…
Malawi: Ushiriki wa wanawake katika operesheni za ulinzi wa amani ‘unalipa’
Malawi katika Mjadala Mkuu wa mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imewakilishwa na Balozi Agnes Mary Chimbiri-Molande ambaye amezungumzia maendeleo ambayo nchi yake imepiga katika kukuza…
Vatican yasisitiza amani, upokonyaji silaha na heshima kwa ubinadamu: UNGA80
Vaticani ametoa wito mzito wa mshikamano wa kimataifa, amani na haki wakati wa Mjadala Mkuu wa Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, ambapo Askofu Mkuu Paul…
Pazia la Mjadala Mkuu UNGA80 lafungwa kwa wito wa uwiano wa uwakilishi, mageuzi na hatua za pamoja
Siku sita za Mjadala Mkuu wa Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA80) zimetamatika leo Jumatatu Septemba 29 alasiri kwa Rais wa Baraza hilo Annalena Baerbock…
Chekeni Salumu – msichana anayeandika kwa miguu Tanzania
Simulizi ya Chekeni Salumu ni mfano wa kuigwa wa ujasiri na matumaini. Licha ya kuzaliwa bila mikono, hakukata tamaa. Akiwa bado msichana mdogo, alijifunza kuandika kwa kutumia miguu na sasa…
Guinea kufanya uchaguzi wake wa kwanza wa urais baada ya mapinduzi Disemba 28
Guinea imetangaza kuwa itafanya uchaguzi wa urais Desemba 28, uchaguzi wa kwanza tangu Jenerali Mamadi Doumbouya achukue mamlaka katika mapinduzi ya mwaka 2021. Imechapishwa: 29/09/2025 – 13:52 Dakika 1 Wakati…
Uchaguzi wa wabunge Gabon: Chama cha rais kinaongoza kulingana na sehemu ya matokeo
Matokeo ya uchaguzi wa wabunge wa Septemba 27, 2025, yametangazwa usiku wa Septemba 28. Chama cha Democratic Union of Builders (UDB), chama cha Rais Oligui Nguema, ndicho kinaongoza. Kimeshinda wapinzani…
Kampeni za uchaguzi mkuu wa Uganda wa Januari 2026 zaanza rasmi
Kampeni za uchaguzi mkuu wa Uganda zimeanza rasmi leo Jumatatu kabla ya uchaguzi huo wa Januari 206 ambao huenda ukawa mpambano kati ya Rais aliyeko madarakani Yoweri Kaguta Museveni na…
Familia za mateka wa Israel zatuma barua kwa Trump
Jamaa wa mateka wanaoshikiliwa katika Ukanda wa Gaza wametuma barua ya dharura kwa Rais wa Marekani Donald Trump kabla ya kukutana na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu baadaye hii…
Marekani yazingatia kuipa Ukraine makombora ya masafa marefu
Marekani inazingatia ombi la Ukraine la kupata makombora ya masafa marefu aina ya Tomahawk kwa juhudi zake za kukabiliana na wavamizi wa Urusi. Haya yamesemwa jana na naibu rais JD…
HAMAS: Tony Blair ‘ndugu wa shetani’ ni wa kupandishwa kizimbani, si wa kuiongoza Ghaza
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani mpango ulioripotiwa kuwa umeandaliwa na Marekani wa kumetua waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair awe liwali wa Ukanda wa…
Yemen yafanya shambulio la aina yake la kombora la ‘Hypersonic’ Tel Aviv, lawatimua wazayuni
Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Yemen Brigedia Jenerali Yahya Saree amesema, jeshi la nchi hiyo limefanya operesheni maalumu ya shambulizi kwa kutumia kombora la 'hypersonic' aina ya Palestina 2…
Yemen yafanya shambulio la aina yake la kombora la ‘Hypersonic’ na droni Tel Aviv, lawatimua wazayuni
Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Yemen Brigedia Jenerali Yahya Saree amesema, jeshi la nchi hiyo limefanya operesheni maalumu ya shambulizi kwa kutumia kombora la 'hypersonic' aina ya Palestina 2…
Waziri wa zamani wa Kilimo wa China ahukumiwa kifo kwa ufisadi wa kupokea rushwa
Mahakama nchini China imemhukumu adhabu ya kifo aliyekuwa waziri wa kilimo wa nchi hiyo baada ya kumpata na hatia ya ufisadi wa kupokea rushwa.
Umoja wa Ulaya wathibitisha kurejesha vikwazo dhidi ya Iran
Umoja wa Ulaya umethibitisha leo kuwa umerejesha vikwazo dhidi ya Iran, kufuatia hatua kama hiyo iliyochukuliwa na Umoja Mataifa.
Umoja wa Ulaya wapongeza matokeo ya uchaguzi nchini Moldova
Umoja wa Ulaya umepongeza matokeo ya uchaguzi wa bunge nchini Moldova na kusema umeonyesha kuwa nchi hiyo ndogo ya mashariki mwa Ulaya iko kwenye njia sahihi ya kujiunga na Umoja…
Guinea yatangaza uchaguzi wa urais baada ya mapinduzi
Guinea itafanya uchaguzi wake mkuu wa kwanza wa urais tarehe 28 Desemba tangu mapinduzi ya mwaka 2021. Haya ni kwa mujibu wa agizo la rais lililosomwa kupitia televisheni ya kitaifa.
EU yaiwekea vikwazo Iran kufuatia mpango wa nyuklia
Umoja wa Ulaya umethibitisha kwamba umeiwekea tena vikwazo Iran, kufuatia mpango wake wa nyuklia, siku moja baada ya Umoja wa Mataifa kurejesha vikwazo vyake kwa Jamhuri hiyo ya kiislamu kwa…
EU yathibitisha vikwazo vyake dhidi ya Iran
Umoja wa Ulaya umethibitisha kwamba umeiwekea tena vikwazo Iran, kufuatia mpango wake wa nyuklia, siku moja baada ya Umoja wa Mataifa kurejesha vikwazo vyake kwa Jamhuri hiyo ya kiislamu kwa…
Wanaopendelea Umoja wa Ulaya washinda uchaguzi Moldova
Umoja wa Ulaya umewapongeza wapigakura wa Moldova kwa ushindi wa chama tawala kinachopendelea Umoja huo, ambapo vyama vinavyoelemea upande wa Urusi vimeangushwa vibaya.
Human Rights Watch: Ukandamizaji mkubwa watishia uchaguzi
Shirika la utetezi wa haki Human Rights Watch limetoa ripoti ikidai ukandamizaji wa kisiasa Tanzania unaweka hatarini uchaguzi wa Oktoba 29, huku wahanga wakiripoti kutekwa, kushambuliwa na kubanwa kwa vyombo…
Ulimwengu wa Spoti, Sep 29
Natumai u mzima wa afya mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Karibu tuangazie baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbali mbali za dunia.
China haina wasiwasi, bali inashangaa; mbona Marekani inang’ang’ania kurejea Afghanistan?
China imetangaza kwamba, njama za madola yaliyosababisha mgogoro wa Afghanistan za kujaribu kurejea nchini humo na kuweka kambi zao za kijeshi ni hatari kwa usalama wa ukanda mzima.
Iran yadai yamnyonga ‘mmoja wa wapelelezi muhimu zaidi wa Israel’
Mwanamume aliyepatikana na hatia ya ujasusi na kutajwa na Iran kama “mmoja wa majasusi muhimu” wa Israel, adui mkuu wa Tehran, ameuawa alfajiri ya Jumatatu, kwa mujibu wa mahakama ya…
Iran yatoa wito wa kutimuliwa Israel katika soka kutokana na mauaji yake ya kimbari Gaza
Shirikisho la Soka la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetoa wito wa kutimuliwa Israel katika soka kutokana na mauaji yake ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.