Skip to content
  • Fri. Jun 19th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema… Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto … Rais wa Tanzania, Dkt “Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani Ruto Amrushia Gachagua Makombora Mazito Katika Hotuba Moto: “Inaonekana Hunijui”
ASTV TANZANIA

Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema…

June 19, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto …

June 19, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Rais wa Tanzania, Dkt

June 19, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

“Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani

June 19, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Ruto Amrushia Gachagua Makombora Mazito Katika Hotuba Moto: “Inaonekana Hunijui”

June 19, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema…
ASTV TANZANIA
Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema…
Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto …
ASTV TANZANIA
Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto …
Rais wa Tanzania, Dkt
ASTV TANZANIA
Rais wa Tanzania, Dkt
“Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani
ASTV TANZANIA
“Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema…
ASTV TANZANIA
Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema…
Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto …
ASTV TANZANIA
Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto …
Rais wa Tanzania, Dkt
ASTV TANZANIA
Rais wa Tanzania, Dkt
“Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani
ASTV TANZANIA
“Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani
HABARI ZA KIPEKEE

Ripoti: Theluthi moja ya watoto wa Gaza hawali chakula kila siku

September 29, 2025 mjombazecoder

Shirika la Umoja wa Mataifa la Msaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetangaza kuwa, theluthi moja ya watoto huko Gaza hawapati chakula cha kutosha cha kula kwa siku.

Uncategorized

Uganda: Kampeni ya uchaguzi wa urais kufunguliwa kama mwaka 2021

September 29, 2025 mjombazecoder

Nchini Uganda, kampeni za urais za Januari 12, 2026, zinaanza leo Jumatatu, Septemba 29. Rais wa sasa Yoweri Museveni, 81, anawania muhula wa saba baada ya takriban miaka arobaini madarakani.…

Uncategorized

Uchaguzi wa urais Côte d’Ivoire: Simone Ehivet, mke wa rais wa zamani kwenye mstari wa kuanza

September 29, 2025 mjombazecoder

Miaka minane baada ya kuachiliwa kutoka gerezani na miaka mitatu baada ya kupata talaka yake kutoka kwa Laurent Gbagbo, Simone Ehivet sasa analenga kuchukua wadhifa wa juu zaidi nchini Côte…

HABARI ZA KIPEKEE

Watu 95 wafariki dunia kwa njaa na magonjwa Sudan

September 29, 2025 mjombazecoder

Watu 95 wamefariki dunia kutokana na njaa pamoja na magonjwa katika kipindi cha siku 40 zilizopita kwenye kambi ya wakimbizi ya Abu Shouk huko El Fasher nchini Sudan. Hayo yameelezwa…

Uncategorized

Tanzania: Mwezi mmoja kabla ya uchaguzi wa urais, upinzani unaangazia Zanzibar

September 29, 2025 mjombazecoder

Mwezi mmoja kabla ya uchaguzi wa rais, upinzani unashutumu demokrasia ya ngazi mbili. Kikiwa kimekataliwa mara mbili katika kinyang’anyiro cha urais, ACT-Wazalendo, chama cha tatu kwa ukubwa nchini humo, sasa…

Uncategorized

Msumbiji: Karibu Euro milioni 6 za kufadhili ugaidi zagunduliwa

September 29, 2025 mjombazecoder

Wiki iliyopita, Shirika la Habari za Kifedha la Msumbiji (GIFim) lilitoa ripoti ya inayotaja mitandao ya ufadhili wa kigaidi kutoka mwaka 2017 hadi mwaka 2024. Kwa miaka minane, eneo la…

Uncategorized

Marekani: Takriban watu wanne wameuawa katika shambulizi dhidi ya kanisa la Mormon huko Michigan

September 29, 2025 mjombazecoder

Takriban watu wanne wameuawa siku ya Jumapili, Septemba 28, na mtu aliyefyatua risasi wakati wa ibada katika kanisa la Mormon huko Michigan, kaskazini mwa Marekani, kulingana na idadi mpya ya…

Uncategorized

Netanyahu kukutana na Trump huku Israel ikikabiliwa na ukosoaji kutokana na vita vya Gaza

September 29, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Israel anatarajia kukutana leo Jumatatu na mwenzake wa Marekani Donald Trump kuhusu vitra vya Gaza, baada ya kuelemewa na ukosoaji kutoka nje ya nchi kutokana na vita…

Uncategorized

Cameroon: Paul Biya hakuonekana wakati kampeni za uchaguzi mkuu zikianza

September 29, 2025 mjombazecoder

Wakati kampeni za uchaguzi mkuu ziking’oa nanga mwishoni mwa juma lililopita nchini Cameroon, kiongozi mkongwe wa taifa hilo Paul Biya anayewania kuchaguliwa kwa muhula wa nane hakuonekana. Imechapishwa: 29/09/2025 –…

Uncategorized

Watu 95 wafariki kutokana na njaa pamoja na magonjwa Sudan

September 29, 2025 mjombazecoder

Watu 95 wamekufa kutokana na njaa pamoja na magonjwa katika kipindi cha siku 40 zilizopita kwenye kambi ya wakimbizi ya Abu Shouk huko El Fasher nchini Sudan, wafanyakazi wa kujitolea…

Uncategorized

Netanyahu kukutana na Trump huku ukosoaji ukimuelemea

September 29, 2025 mjombazecoder

Rais wa U.S Donald Trump anatarajiwa kukamilisha pendekezo la mpango wa amani wa Gaza anapokutana Jumatatu na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, huku Israel ikizidi kuishambulia Gaza City.

Uncategorized

DRC: Serikali yasitisha kwa wiki mbili utoaji wa leseni za makanisa

September 29, 2025 mjombazecoder

Wizara ya sheria nchini DRC, imetangaza kusitisha kwa muda wa wiki 5, utoaji wa leseni za makanisa, vyeti vya uraia na nyaraka nyingine katika kile imesema ni kujaribu kukabiliana na…

Uncategorized

Netanyahu kukutana na Trump huku mbinyo ukiongezeka

September 29, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu anatarajiwa kutetea hoja yake ya "kumaliza kazi" aliyoanza kwenye Ukanda wa Gaza wakati atakapokutana na Rais Donald Trump wa Marekani siku ya Jumatatu.

Uncategorized

Rais Pezeshkian apinga makubaliano yatakayowaingiza matatani

September 29, 2025 mjombazecoder

Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesema kamwe hawataingia makubaliano yoyote yanayoweza kusababisha "matatizo mapya" wakati taifa hilo likirejeshewa vikwazo vya Umoja wa Mataifa.

Uncategorized

Chama tawala cha Moldova chaongoza uchaguzi wa bunge

September 29, 2025 mjombazecoder

Chama tawala cha Moldova na kinachounga mkono Umoja wa Ulaya kinaongoza kwenye uchaguzi wa bunge hii ikiwa ni kulingana na kura ambazo tayari zimehesabiwa hadi mapema siku ya Jumatatu.

Uncategorized

Peskov: Ukraine haionyeshi nia ya kurejea kwenye mazungumzo

September 29, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa Ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov amesema Kyiv haijawahi kuonyesha nia ya kurejea kwenye mazungumzo kati ya Urusi na wajumbe wa taifa hilo.

HABARI ZA KIPEKEE

Iran: Wanachama wa UN hawana wajibu wa kuheshimu maazimio batili dhidi ya Tehran

September 29, 2025 mjombazecoder

Iran imesema madai yaliyotolewa na Marekani na nchi za Ulaya kuhalalisha kurejeshwa kwa maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya nchi hii hayaziwajibishi nchi wanachama wa…

HABARI ZA KIPEKEE

Hasira za walimwengu zairipukia Israel mauaji yake ya kimbari Ghaza

September 29, 2025 mjombazecoder

Katika siku za hivi karibuni wimbi la maandamano makubwa ya kote duniani limeongezeka sana huku makumi ya maelfu ya watu wakimiminika mitaani katika miji mbalimbali ikiwemo Liverpool, Cape Town na…

HABARI ZA KIPEKEE

Mpango wa Trump wa eti kumaliza vita vya Ghaza, kuwasilishwa kwa Misri

September 29, 2025 mjombazecoder

Balozi wa Marekani katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni anatarajiwa kuelekea Cairo mji mkuu wa Misri hivi karibuni ili kuwasilisha mpango wa rais wa Marekani wa eti…

HABARI ZA KIPEKEE

Hamas: Hatujapokea mapendekezo yoyote mapya kutoka kwa wapatanishi

September 29, 2025 mjombazecoder

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetangaza kuwa, haijapokea mapendekezo yoyote mapya kutoka kwa wapatanishi na iko tayari kuzingatia mapendekezo yatakayotolewa kama yatakuwa na maana ya kuzingatiwa na…

HABARI ZA KIPEKEE

Jeshi la Sudan latangaza kupata ushindi mkubwa, RSF wakanusha

September 29, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Sudan (SAF) limetangazaa kuwa limepata ushindi mkubwa katika mapambano yake na wapiganaji wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika eneo la Kordofan, huko Magharibi mwa Sudan. Hata…

HABARI ZA KIPEKEE

Vipi Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limefikia natija ya kufanyika mauaji ya kimbari huko Gaza

September 29, 2025 mjombazecoder

Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limetangaza hatua za Israel huko Gaza kuwa ni mfano wa kisheria wa "mauaji ya halaiki."

HABARI ZA KIPEKEE

Jumatatu, 29 Septemba, 2025

September 29, 2025 mjombazecoder

Leo ni Jumamosi tarehe 6 Rabiul-Thani mwaka 1447 Hijria Qamaria, sawa na tarehe 7 mwezi Mehr mwaka 1404 Hijria Shamsia inayosadifiana na tarehe 29 Septemba 2025 Miladia.

Uncategorized

29.09.2025

September 29, 2025 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kukamilisha pendekezo la mpango wa amani wa Gaza atakapokutana baadae leo na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu+++Serikali ya Tanzania inatuhumiwa na shirika la…

MAGAZETI

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 29, 2025

September 28, 2025 mjombazecoder

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa  

Uncategorized

Hamas yapoteza mawasiliano na mateka kufuatia mashambulizi

September 28, 2025 mjombazecoder

Kitengo cha kijeshi cha Hamas kimesema leo kuwa kimepoteza mawasiliano na mateka wawili, Matan Angrest na Omri Miran, wakati wa operesheni kali za Israel katika vitongoji viwili vya Gaza City.

Uncategorized

Magharibi: Iran kurejeshewa vikwazo si mwisho wa diplomasia

September 28, 2025 mjombazecoder

Umoja wa Mataifa umeirejeshea Iran vikwazo na marufuku ya silaha kuhusiana na mpango wake wa nyuklia, hatua iliyochochewa na Uingereza, Ufaransa na Ujerumani, ambazo zinasema Tehran imekiuka makubaliano ya mwaka…

Uncategorized

Starmer aonya chama cha Labour UK kinapigania maisha yake

September 28, 2025 mjombazecoder

Chama tawala cha Labour nchini Uingereza kimeanza mkutano wake wa mwaka, huku Waziri Mkuu Keir Starmer akiwashawishi wabunge anaweza kuongoza kile alichokiita “mapambano ya maisha yetu” dhidi ya chama Reform…

Uncategorized

Mkanyagano wa maelfu ya watu India wasababisha vifo 40

September 28, 2025 mjombazecoder

Watu 40 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 120 wamejeruhia baada ya msongamano kutokea katika mkutano wa kisiasa wa nyota wa filamu na mwanansia maarufu Vijay katika jimbo la Tamil…

Uncategorized

Trump aashiria “mpango maalum” kuhusu Mashariki ya Kati

September 28, 2025 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump ameashiria uwezekano wa makubaliano ya kihistoria Mashariki ya Kati, siku moja kabla ya mkutano wake na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, huku shinikizo la…

Uncategorized

Ujerumani yakosolewa kwa mpango wa mazungumzo na Taliban

September 28, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Ujerumani imetangaza mipango ya kuanza mazungumzo na Taliban kuhusu urejeaji wa raia wa Afghanistan, hatua iliyokosolewa vikali na upinzani ukisema inaleta uhalali kwa kundi hilo lililotengwa kimataifa.

Uncategorized

Vifaru vya Israel vyaingia zaidi Gaza, vifo vyazidi 66,000

September 28, 2025 mjombazecoder

Vifaru vya Israel vimeingia ndani ya Gaza City huku watu takribani 79 wakiripotiwa kuuawa katika muda wa saa 24 na mamlaka za afya zikiripoti idadi ya waliouawa katika mzozo huo…

HABARI ZA KIPEKEE

Watumiaji wa X: Hamas inawakilisha watu wa Palestina

September 28, 2025 mjombazecoder

Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wameitaja harakati ya muqawama wa Palestina "Hamas" mwakilishi wa watu wa Palestina wanaotetea taifa lao.

HABARI ZA KIPEKEE

Uganda yazilaani nchi za Magharibi kwa kulitumia Baraza la Usalama kama wenzo wa kuishinikiza Iran

September 28, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda amelaani kitendo cha nchi za Magharibi kulitumia vibaya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kama wenzo wa kuishinikiza Iran, baada ya baraza…

HABARI ZA KIPEKEE

Ufuska Ujerumani: Maambukizi ya magonjwa ya zinaa yaongezeka kwa 460%

September 28, 2025 mjombazecoder

Mambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs) yanaonekana kuongezeka kwa kiwango cha kuogofya nchini Ujerumani.

Uncategorized

Makombora ya Urusi na mkururo wa droni vyaua wanne Kyiv

September 28, 2025 mjombazecoder

Urusi imerusha mamia ya makombora na droni dhidi ya Ukraine usiku kucha Jumapili, na kuua takribani watu wanne akiwemo msichana wa miaka 12 mjini Kyiv, huku majeruhi wakipindukia 40 katika…

Uncategorized

Hatuamini kwenye kukata tamaa: Naibu Katibu Mkuu aeleza hadhara New York

September 28, 2025 mjombazecoder

Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina J. Mohammed, amewashukuru watu waliohudhuria tamasha la Global Citizen jijini New York, Marekani siku ya Jumamosi kwa kutumia sauti zao kudai haki…

HABARI ZA KIPEKEE

Spika Qalibaf: Snapback ni batili, Iran itajibu mapigo

September 28, 2025 mjombazecoder

Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad-Baqer Qalibaf amepinga uamilishaji wa utaratibu wa snapback wa kurejeshewa Iran vikwazo, na kuitaja hatua hiyo kuwa ni kinyume cha…

HABARI ZA KIPEKEE

Kwa nini Iran inaona utaratibu wa snapback kuwa hauna uhalali wa kisheria

September 28, 2025 mjombazecoder

Seyyed Abbas Araghchi Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika barua yake kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwamba: Hatua ya Marekani na…

HABARI ZA KIPEKEE

Kamanda wa Iran: Uchokozi wowote dhidi yetu utajibiwa haraka

September 28, 2025 mjombazecoder

Kamanda Mkuu wa Jeshi wa Iran, Meja Jenerali Amir Hatami amesisitiza kuwa, taifa hili limejiweka sawa na tayari kutoa jibu zito na la haraka dhidi ya vitisho na vitendo vyovyote…

HABARI ZA KIPEKEE

Safavi: Marubani zaidi ya 16 wa Israel waliuawa katika vita vya siku 12

September 28, 2025 mjombazecoder

Mshauri mkuu wa masuala ya kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, zaidi ya marubani 16 wa Israel waliangamizwa katika vita vya siku…

HABARI ZA KIPEKEE

Uchaguzi wa rais wa Ushelisheli waingia duru ya pili

September 28, 2025 mjombazecoder

Tume ya Uchaguzi ya Ushelisheli imetangaza leo Jumapili kwamba, uchaguzi wa rrais uliofanyika hivi karibuni utaingia duru ya pili, kwani hakuna mgombea aliyepata zaidi ya asilimia 50 ya kura katika…

Uncategorized

Iran yalaani urejeshwaji “usio haki” wa vikwazo vya UN

September 28, 2025 mjombazecoder

Iran imelaani urejeshwaji "usio halali" wa vikwazo vya Umoja wa Mataifa kuhusiana na mpango wake wa nyuklia, baada ya kuvunjika kwa mazungumzo na mataifa ya magharibi na mashambulizi ya Israel…

Uncategorized

Iran yalaani hatua ya kurejeshewa vikwazo na UN

September 28, 2025 mjombazecoder

Iran imelaani vikali hatua ya kurejeshewa vikwazo na Umoja wa mataifa kuhusiana na mpango wake wa nyuklia, baada ya mazungumzo na mataifa ya magharibi kutofanikiwa pamoja na Israel na Marekani…

Uncategorized

Vifaru vyazidi kuingia ndani ya vitongoji vya mji wa Gaza

September 28, 2025 mjombazecoder

Magari ya kijeshi ya Israel yameendelea kuingia ndani ya vitongoji vya Gaza City, yakilenga maeneo ya Sabra, Tel Al-Hawa, na Al-Naser.

Uncategorized

Ukraine: Urusi yashambulia kwa mamia ya droni usiku kucha

September 28, 2025 mjombazecoder

Ukraine imesema Urusi imefanya mashambulizi makubwa kwa kutumia mamia ya droni na makombora na kuuwa takriban watu wanne katika mji mkuu Kyiv pekee, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa.

Uncategorized

Moldova yachagua Wabunge katika mtihani wa mwelekeo wa EU

September 28, 2025 mjombazecoder

Raia wa Moldova wanapiga kura hii leo katika uchaguzi wa bunge muhimu unaoweza kuamua iwapo taifa hilo litaendelea na mwelekeo wake wa kujiunga na Umoja wa Ulaya chini ya Rais…

Uncategorized

Ujerumani: Tutafanya mazungumzo na Taliban kuhusu wahamiaji

September 28, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Ujerumani inapanga kuanza mazungumzo ya moja kwa moja na mamlaka ya Taliban mjini Kabul kuhusu uhamishaji wa raia wa Afghanistan wenye rekodi ya uhalifu kutoka Ujerumani.

Uncategorized

Ujerumani: Tutafanya mazungumzo na Taliban kuhusu wahamijai

September 28, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Ujerumani inapanga kuanza mazungumzo ya moja kwa moja na mamlaka ya Taliban mjini Kabul kuhusu uhamishaji wa raia wa Afghanistan wenye rekodi ya uhalifu kutoka Ujerumani.

Uncategorized

Kenya: Mustakabali wa Elimu Kupitia Uwezo wa Kidijitali na AI

September 28, 2025 mjombazecoder

Kenya imepiga hatua kubwa katika kupanua maandalizi ya kidijitali. Kufikia mwaka 2023, asilimia 82 ya shule za msingi za umma zilikuwa zimeunganishwa na umeme kupitia gridi ya taifa, na asilimia…

Posts pagination

1 … 945 946 947 … 992

Recent Posts

  • Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema…
  • Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto …
  • Rais wa Tanzania, Dkt
  • “Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani
  • Ruto Amrushia Gachagua Makombora Mazito Katika Hotuba Moto: “Inaonekana Hunijui”

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

ASTV TANZANIA

Baadhi ya vijana wanaotekeleza awamu ya pili ya programu ya ‘Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT)’ kwa upande wa sekta ya uvuvi wamesema…

June 19, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Watoto wawili, Najma Yusufu na Esther wote wakiwa na umri wa chini ya miaka 10 wanapitia maumivu makubwa kutokana na changamoto …

June 19, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Rais wa Tanzania, Dkt

June 19, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

“Baada ya dhiki, faraja” ndivyo tulivyofunzwa na tumelishuhudia hilo mara kadhaa maishani

June 19, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS