[ad_1]
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelaani shambulio la Israel dhidi ya mji mkuu wa Qatar, Doha siku ya Jumanne na kutaka kupunguzwa kwa mvutano na taharuki katika eneo.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lailaani Israel kwa kuishambulia Qatar