[ad_1]
Ted Cruz, Seneta wa Marekani wa jimbo la Texas kwa tiketi ya chama tawala cha Republican amesema, wakati umewadia kwa Marekani kuitambua harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin kuwa ni shirika la kigaidi, kwa sababu hiyo ndiyo hatua mbadala ya kuwaua wanachama na washirika wa harakati hiyo.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Seneta Cruz ataka US ama iitambue Ikhwanul Muslimin kuwa kundi la kigaidi au iwaue wanachama wake