Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 kutumia teknolojia ya mawasiliano ikiwemo mitandao ya kijamii kama nyenzo muhimu ya kutangaza, kukuza na kuongeza tija ya biashara zao.
Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 kutumia teknolojia ya mawasiliano ikiwemo mitandao ya kijamii kama nyenzo muhimu ya kutangaza, kukuza na kuongeza tija ya biashara zao.