Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026, yanafikia tamati leo kwa mechi ya fainali kupigwa.

AzamFC dhidi ya Yanga SC katika dimba la Gombani Pemba.

Mechi hii itachezwa saa 10:30 jioni na kuruka mbashara kupitia AzamSports3HD.

Ni Matajiri wa Chamazi ama Wananchi nani kubeba Kombe hili?

#NMBMapinduziCup #Azamtvsports

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *