#MEZAHURU”….lakini si hivyo tu vijana wetu wa Tanzania wamejaliwa kuwa na ubunifu wa sanaa, kwa kutumia mazingira ya ufukweni wanaweza wakatengeneza bidhaa mbalimbali za kitamaduni halafu wakaziuza kwa wageni ambao wanaotembelea maeneo hayo ya fukwe…..”Mkuu Kanda ya Kaskazini Makumbusho ya Taifa – DKt. Gwakisa Kamatula
Powered by #MCHEZOSUPA
JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
-
Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M – Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania
Follow @itvtz @radioonetanzania
@capitaldigitaltanzania
