Serikali yawekeza trilioni 6 barabara,madaraja
SERIKALI imeongeza kasi ya uwekezaji katika miundombinu ya barabara na madaraja nchini, ikiwekeza zaidi ya Shilingi trilioni 6 katika miradi mikubwa 79 inayoendelea kutekelezwa, hatua inayolenga kuchochea ukuaji wa uchumi,…