Jeshi la Marekani linasema litaanza kuzingira bandari za Iran siku ya Jumatatu, lakini “haitazuia” meli zinazopita kwenye Mlango wa bahari wa Hormuz zinazosafiri kwenda au kutoka nchi nyingine.

#chanzobbcswahili
#StarTvUpdate

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *