Wilaya ya Kigamboni imesema inatarajia kuipandisha hadhi hospitali ya wilaya hiyo na kuifanya kuwa hospitali ya rufaa katika mwaka wa fedha 2026/27 ili kusogeza huduma za kibingwa karibu na wananchi.

Mbali ya hatua hiyo Meya wa Manispaa hiyo, Amir Sambo ameongeza pia kuwa wanatarajia kupima maeneo mapya kwa ajili ya uwekezaji.

Mhariri @moseskwindi

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *