AFCONU17 | Serengeti Boys wameandika historia nyingine kwenye michuano ya #AFCONU17 kutinga fainali baada ya kuitoa Misri kwa mikwaju ya penalti 4-3 kufuatia sare ya bila kufungana ndani ya dakika 90 za mchezo wa nusu fainali uliopigwa nchini Morocco.
#HongeraSerengetiBoys #Tanzania

(Feed generated with FetchRSS)
