#CDFCUP2026 Katika kuhitimisha mashindano ya Mkuu wa Majeshi kwa mwaka huu… zimetolewa tuzo/makombe kwa waliofanya vizuri..

Mshindi wa jumla kwenye mamshindano yam waka huu, kombe limekwenda kwa Kamandi ya Jeshi la Kujenga Taifa (MMJKT), ambao pia ndiyo mabingwa upande wa soka.

#CDFCup2026 #CDFCup #MashindanoYaMkuuWaMajeshi #JeshiLaAkiba #CDFCupAwards

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *