Kufuatia vita inayoendelea baina ya mataifa ya Marekani, Israel na Iran, athari zimeanza kuonekana katika eneo la usafiri wa anga na upatikanaji wa bidhaa kwa wafanyabiashara nchini.

#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *