Mwandishi wetu Muhammad Nyaulingo, amemtafuta kijana Rashid Sudi, aliyegeuka gumzo mjini Iringa kutokana na mtindo wake wa kuzungusha mwili mithili ya pia kwa zaidi ya dakika mbili bila ya kusimama pasina kupatwa na kizunguzungu kama ilivyo kawaida.
Mhariri | @abuuyusuftz
#HabariWikiendi #AzamTVUpdates
(Feed generated with FetchRSS)
