#BAL: Hatimae RSSB Tigers kutoka Rwanda ndio mabingwa wa Basketball Africa League mwaka 2026.

Matokeo ni Petro De Luanda 88-90 RSSB Tigers, kwenye mechi ambayo ilikuwa ni ya vuta nikuvute.

RSSR inafundishwa na kocha Mtanzania Herny Mwinuka.

Uhondo ulikuwa LIVE AzamSports4HD.

#BAL #Azamtvsports #BasketballAfrikaLeague

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *