SK2 / S02S8 Oktoba 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International limeitaka Serikali ya Tanzania kutoa maelezo ya haraka kuhusu alipo na hali ya kiafya ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole / Ukraine na Urusi zimeshambuliana usiku wa kuamkia Jumatano 08.10.2025 ambapo takriban watu watano waliuawa

https://p.dw.com/p/51f7V

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *