“Kampuni mbalimbali zimeagiza mabasi…na kila njia imepewa kampuni zake…” Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akizungumzia tathmini ya usafiri wa Mwendokasi Dar es Salaam katika mahojiano maalum kwenye kipindi cha #MorningTrumpet kinachorushwa kupitia #UTV

#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *