#UchaguziMkuu2025 | Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi ameshiriki zoezi la kupiga kura ya kumchagua Rais,mbunge na diwani katika mtaa wake, eneo la Kilimani, jijini Dodoma.

#AzamTVUpdates #UchaguziMkuu2025

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *