Jeshi la Polisi nchini limepiga Marufuku Maandamano ya aina yeyote kuanzia Disemba 9 na Kuendelea kwa kuwa Maandamano hayo yanayohamasishwa kupitia Mitandao ya Kijamii hayana Kibali na yanaandaliwa kinyume cha Sheria.
Jeshi la Polisi nchini limepiga Marufuku Maandamano ya aina yeyote kuanzia Disemba 9 na Kuendelea kwa kuwa Maandamano hayo yanayohamasishwa kupitia Mitandao ya Kijamii hayana Kibali na yanaandaliwa kinyume cha Sheria.