Wakazi wa manispaa ya Mtwara Mikindani wamesema ubovu wa miundombinu ya barabara unawaathiri katika shughuli zao za kila siku huku wakiziomba mamlaka ziwatatulie tatizo hilo.
#AzamTVUpdates
Mhariri | @moseskwindi
Wakazi wa manispaa ya Mtwara Mikindani wamesema ubovu wa miundombinu ya barabara unawaathiri katika shughuli zao za kila siku huku wakiziomba mamlaka ziwatatulie tatizo hilo.
#AzamTVUpdates
Mhariri | @moseskwindi