Kipchumba Murkomen alaani ujambazi, vurugu za kisiasa kabla ya uchaguzi mdogo wa Ol Kalou
Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen amethibitisha kukamatwa kwa watu 20 kwa ghasia za kisiasa Kisumu na Nyahururu. Anasema usalama umeimarishwa Ol Kalou.