William Ruto, mkewe Rachel watokea katika sherehe za Madaraka na kitinda mimba wao
Rais Ruto na Mkewe Rachel waling'aa katika sherehe za kihistoria za 63 za Madaraka Day huko Wajir, zikiangazia elimu, ujuzi na mustakabali wa Kenya.
Rais Ruto na Mkewe Rachel waling'aa katika sherehe za kihistoria za 63 za Madaraka Day huko Wajir, zikiangazia elimu, ujuzi na mustakabali wa Kenya.
Meline Waithera alikuwa nani? Hadithi ya kusikitisha ya jina la bweni la Utumishi Girls Academy, kifo chake cha kuhuzunisha katika ajali na uhusiano na shule.
Rais William Ruto alisherehekea Madaraka Dei huko Wajir, na kuwa mwenyeji wa kwanza Kaskazini mwa Kenya. Aliupa uwanja huo jina la waziri wa zamani Ahmed Khalif.
Ndege ndogo ya abiria ilianguka huko Maasai Mara na kuzua taharuki katika uwanja wa kutua. Mashahidi walinasa matukio ya kutisha huku mamlaka ikichunguza tukio hilo.
Naiyanoi Ntutu, mjane wa marehemu mbunge Johana Ng’eno, alionekana akifurahia maisha ya usiku huko Doha. Siasa za kumrithi mumewe zinaendelea......
Picha za CCTV zinaonyesha jinsi wanafunzi wanane walivyochoma bweni la Wasichana la Utumishi, na kusababisha vifo vya watu 16, huku wapelelezi wakiwatambua.
Picha za CCTV zinaonyesha jinsi wanafunzi wanane walivyochoma bweni la Wasichana la Utumishi, na kusababisha vifo vya watu 16, huku wapelelezi wakiwatambua.
Sosholaiti Roseli Fernandes Vieira, 48, aliaga dunia baada ya upasuaji wa kujiremba nchini Brazil. Uchunguzi unaendelea mashabiki wakiomboleza kifo chake cha ghafla
Polisi walimkamata msichana anayehusishwa na moto katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Utumishi ambao uliua wanafunzi 16, na kuzua ghadhabu ya kitaifa.
Anne Waiguru wa Kirinyaga anasherehekea huku mwanawe Ian akifunga ndoa na Joanne katika harusi ya kitamaduni iliyojaa upendo, utamaduni na kumbukumbu za furaha.
DCI ilifichua wanafunzi saba ambao ni washukiwa wakuu wa kuanzisha moto Utumishi Girls ambao uliua wasichana 16 hukui mvutano kuhusu kituo cha Ebola Kenya ukichacha
David Osiany alisafiri hadi Narok kumpa faraja baba aliyezunika baada ya mkasa wa kutisha moto wa Utumishi Girls kukatisha maisha ya bintiye mwenye umri wa miaka 15.
Mwanamuziki maarufu wa Bongo Zay B, jina lake halisi Zainab Lupangile, amefariki. Salamu za rambirambi zinaendelea kutumwa kutoka kwa wasanii wenzake na mashabiki.
Mvutano ulikuwa mkubwa huku wazazi wa wanafunzi waliohusishwa na mkasa wa moto Utumishi Girls wakitaka kujua hatima ya binti zao licha ya uchunguzi unaoendelea.
Familia ya Benard Nyakwana Omae inadai haki kufuatia kifo chake akiwa kizuizini katika Kituo cha Polisi cha Kibra. Wanawashutumu polisi kwa kifo chake.
Valenti Guardiola, bapa wa Pep Guardiola, anajulikana kwa kukwepa umaarufu. Hii ni kuhusu uhusiano wao na kichocheo nyuma ya mafanikio ya Pep kwenye soka.
Valenti Guardiola, bapa wa Pep Guardiola, anajulikana kwa kukwepa umaarufu. Hii ni kuhusu uhusiano wao na kichocheo nyuma ya mafanikio ya Pep kwenye soka.
DCI yaripoti ufanisi katika uchunguzi wa moto wa Shule ya Wasichana ya Utumishi, ikitambua wanafunzi saba waliohusika katika tukio la kusikitisha lililowaua 16.
Hapo awali alikuwa mwigizaji maarufu katika televisheni enzi hizo, kwa sasa Mzee Zoa hana makazi na amekuwa akiishi mitaani Nairobi baada ya umaarufu wake kufifia.
Paris Saint-Germain walitetea taji lao la Ligi ya Mabingwa baada ya kuishinda Arsenal kwa mikwaju ya penalti. Fahamu sheria zinazohusu kombe la UEFA.
Mipango ya Marekani kujenga kituo cha kuzuia kuenea kwa Ebola nchini Kenya inakabiliwa na upinzani kutoka kwa viongozi na raia Maambukizi yanaongezeka nchini DRC.
Wazazi waliomboleza wanafunzi 16 walioangamia kwa njia ya kusikitisha katika Utumishi Girls'. Walishiriki kumbukumbu zao na mabinti zao kabla ya mkasa huo.
Ushahidi mpya unaonyesha wanafunzi wanane wa Utumishi Girls' wanahusishwa na uchomaji moto wa bweni uliowaua watu 16. Wapelelezi wanakusanya picha za CCTV.
Cleophas Malala ameapa kurejesha ushindi wake anaodai uliibwa katika kinyang'anyiro cha ugavana wa Kakamega mwaka wa 2027 ili kupambana na Fernandes Barasa.
Paris Saint-Germain wathibitisha ukuu wao barani Ulaya, wakishinda Arsenal kwa penalti baada ya sare ya 1-1 katika fainali ya Ligi ya Mabingwa nchini Hungary.
Waundaji wa maudhui Baba Jimmy na Mama Jimmy waliomboleza mtoto wao ambaye hajazaliwa nchini Marekani, wakishiriki jumbe za dhati za huzuni kumlilia.
Mipango ya Marekani ya kituo cha kukabiliana na Ebola nchini Kenya inakabiliwa na upinzani kutoka kwa viongozi na raia kutokana na wasiwasi wa usalama.
Ndugu jamaa na marafiki walikabiliwa na huzuni baada ya kutambua miili ya wapendwa wao waliokufa katika mkasa wa moto wa Shule ya Utumishi Girls'.
Kenya imeongeza juhudi katika maandalizi ya kupambana na Virusi vya Ebola. Kwa sasa imeimarisha vipimo JKIA na usalama wa afya. Visa vya Ebola vimeongezeka.
Gavana wa Siaya James Orengo amelaani visa vya kihuni wakati wa ziara yake Homa Bay licha ya kusema ilifaulu, huku akidai hujuma za kisiasa kutoka kwa wapinzani.
Mikel Arteta amezungumzia sherehe za mashabiki wa Arsenal Nchini Kenya hii ni kabla ya fainali yao ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Paris Saint-Germain.
Serikali ya Marekani ina matumaini kuhusu kutatua pingamizi dhidi ya kituo cha karantini cha Ebola nchini Kenya baada ya Mahakama Kuu kusitisha kuanzishwa kwake.
Magazeti ya Kenyaya Mei 30 yanaangazia huzuni kuhusu mkasa wa moto Utumishi Academy, usalama katika shule, vituo vya Ebola vya Marekani, na siasa za ODM.
Mhutasari wa fainali ya Ligi ya Mabingwa 2026. Arsenal inakabiliana na PSG huko Budapest. Gundua habari za timu, maarifa ya meneja, na taarifa muhimu za wachezaji.
Arsenal itakabiliana na Paris Saint-Germain katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Mei 30, kuanzia 7pm EAT. Je, wanaweza kupata taji lao la kwanza baada ya miaka 20?
Mlipuko wa Ebola 2026: WHO yaonya kuhusu kuenea kwa maradhi hayo nchini Congo. Baini kuhusu dalili na kile unachopaswa kufanya ili kujilinda na kutafuta msaada
Mahakama Kuu ilisitisha mpango wa Marekani kujenga karantini ya Ebola nchini Kenya baada ya Taasisi ya Katiba na LSK kuwasilisha ombi la dharura kuhusu kisheria.
Moto ulizuka katika bweni la Utumishi Gilrs Academy usiku wa manane mnamo Alhamisi, Mei 28, na kuua wanafunzi 16, wengine 79 wakibaki na majeraha.
Kithure Kindiki aliwafurahisha wageni katika hafla ya maombi kwa taifa akielezea matamshi yake ya 'My Lady' kuhusu Jaji Mkuu Martha Koome katika hotuba ya kusisimua.
Waziri wa elimu Julius Ogamba amevunja bodi ya shule ya wasichana ya Utumishi kufuatia moto uliosababisha vifo vya wanafunzi 16 na kuagiza mkuu na walimu kuadhibiwa
Mwanafunzi wa Utumishi Girls Academy Cecilia Wanjiku aliombolezwa baada ya kifo cha kutatanisha wakati wa jaribio la uokoaji, huku mbunge akimsifu kwa ushujaa wake.
Moto wa kutisha katika shule ya Utumishi Girls Nakuru uligharimu maisha ya wanafunzi 16, na kusababisha 79 kujeruhiwa. Familia zaomboleza kwa uzito
Oburu Oginga alimsherehekea mkewe wa pili kwa upendo, Judith, katika hafla ya Maombi ya taifa, na kumsifu kama shujaa wa maombi ya familia........
Polisi wanachunguza tuhuma za moto kuanzishwa kimakusudi katika shule ya Utumishi Girls Academy ambapo wanafunzi 16 walifariki na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya.
Magazeti ya Ijumaa, Mei 29 yaliripoti kuhusu mkasa wa kutisha wa moto katika shue ya Utumishi Academy huku mwanafunzi akisimulia jinsi alipoteza marafiki wa karibu
Moto uliozuka Utumishi Girls ulisababisha vifo vya wanafunzi 16 na kujeruhi 74. Saba kati ya waliojeruhiwa walisafirishwa kwa ndege Nairobi kwa matibabu maalum.
Moto uliozuka katika shule ya Utumishi Girls, Gilgil ulisababisha vifo vya watu 16. Shirika la Msalaba Mwekundu Kenya lilichukua miili huku familia zikitaka majibu
Marekani imetoa KSh 10.3b kwa ajili ya kazi ya kukabiliana na Ebola, kusaidia mashirika yasiyo ya kiserikali katika kupambana na mlipuko huo Afrika Mashariki.
Katiba Institute inapinga mipango ya karantini ya Ebola nchini Kenya, ikitafuta amri za mahakama za uwazi na uwajibikaji huku kukiwa na wasiwasi wa umma.
KMPDU kimelalamika kuhusu kutengwa kwa Kenya katika mazungumzo ya kituo cha Ebola cha Marekani nchini, ikilaani unafiki wa serikali na hatari iliyopo.