Balozi wa Uingereza jijini Washington afutwa kazi
Barua pepe zilizovuja zinaonesha kuwa Balozi Peter Mandelson alikuwa akiwasiliana na kumuunga mkono Epstein, akimueleza kuwa hukumu dhidi yake ilikuwa batili na kwamba lazima ipingwe. Waziri wa Mambo ya Nje…