Skip to content
  • Mon. Jul 27th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Kanali Kipingu nyuma ya mafanikio ya Thabeet, Kaseja na Boban CCM Zanzibar calls for political reconciliation to maintain peace, unity and development Twiga Stars seek flying start in their WAFCON opener against South Africa ACT-Wazalendo touts for peaceful dialogue in resolving political differences Simba yaachana na Bajaber
MWANASPOTI

Kanali Kipingu nyuma ya mafanikio ya Thabeet, Kaseja na Boban

July 27, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

CCM Zanzibar calls for political reconciliation to maintain peace, unity and development

July 27, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Twiga Stars seek flying start in their WAFCON opener against South Africa

July 27, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

ACT-Wazalendo touts for peaceful dialogue in resolving political differences

July 27, 2026 mjombazecoder
MWANASPOTI

Simba yaachana na Bajaber

July 27, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Kanali Kipingu nyuma ya mafanikio ya Thabeet, Kaseja na Boban
MWANASPOTI
Kanali Kipingu nyuma ya mafanikio ya Thabeet, Kaseja na Boban
CCM Zanzibar calls for political reconciliation to maintain peace, unity and development
LTV ENGLISH NEWS
CCM Zanzibar calls for political reconciliation to maintain peace, unity and development
Twiga Stars seek flying start in their WAFCON opener against South Africa
LTV ENGLISH NEWS
Twiga Stars seek flying start in their WAFCON opener against South Africa
ACT-Wazalendo touts for peaceful dialogue in resolving political differences
LTV ENGLISH NEWS
ACT-Wazalendo touts for peaceful dialogue in resolving political differences
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
MWANANCHI
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
Kanali Kipingu nyuma ya mafanikio ya Thabeet, Kaseja na Boban
MWANASPOTI
Kanali Kipingu nyuma ya mafanikio ya Thabeet, Kaseja na Boban
CCM Zanzibar calls for political reconciliation to maintain peace, unity and development
LTV ENGLISH NEWS
CCM Zanzibar calls for political reconciliation to maintain peace, unity and development
Twiga Stars seek flying start in their WAFCON opener against South Africa
LTV ENGLISH NEWS
Twiga Stars seek flying start in their WAFCON opener against South Africa
ACT-Wazalendo touts for peaceful dialogue in resolving political differences
LTV ENGLISH NEWS
ACT-Wazalendo touts for peaceful dialogue in resolving political differences
Uncategorized

Mataifa ya Afrika ya Kati yamteua mwenyekiti mpya wa tume ya ECCAS kutoka Burundi

September 8, 2025 mjombazecoder

Tume ya Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika ya Kati ina rais mpya. Wakuu wa nchi za ECCAS waliokutana siku ya Jumapili, Septemba 7, huko Sipopo, Equatorial Guinea, wamemteua…

IDHAA YA DUNIA

Amka Na BBC

September 8, 2025 mjombazecoder

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link

Uncategorized

Colombia: Wanajeshi 72 wametekwa nyara katika eneo la Cauca linalodhibitiwa na kundi la waasi

September 8, 2025 mjombazecoder

Wanajeshi wasiopunguwa 72 wamechukuliwa mateka siku ya Jumapili, Septemba 7, katika eneo la Cauca. Kulingana na jeshi, eneo hili lililo kusini magharibi mwa Colombia linadhibitiwa na kundi la wapiganaji wanaohusishwa…

Uncategorized

Gaza: Hamas yasema iko tayari kuzungumza wakati operesheni za Israel zikizidi

September 8, 2025 mjombazecoder

Hamas imesema siku ya Jumapili Septemba 7 kwamba iko tayari kuanza tena mazungumzo “mara moja” baada ya kupokea pendekezo jipya kutoka Washington. Donald Trump ametuma “onyo la mwisho” kwa Hamas…

Uncategorized

Rais Trump atoa onyo la mwisho kwa wapiganaji wa Hamas

September 8, 2025 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump, amesema, anatoa onyo la mwisho kwa kundi la Hamas, na kuwataka wakubali mkataba utakaosababisha kuachiwa huru kwa mateka wote. Imechapishwa: 08/09/2025 – 06:03 Dakika 1…

IDHAA YA DUNIA

Vita vya Ukraine: Zelensky alaani ‘shambulio la kikatili’ baada ya Urusi kulishambulia jengo kuu la serikalikatika jimbo la Kyiv

September 8, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, ABC News Maelezo ya picha, Zelensky akihojiwa hapo awali na mwandishi wa ABC News Martha Raddatz kuhusu nyuma ya Urusi kulipua kiwanda kinachomilikiwa na Marekani nchini Ukraine…

Uncategorized

DRC : Hali ya wasiwasi bado inaendelea kushuhudiwa Uvira

September 8, 2025 mjombazecoder

Hali ya wasiwasi bado inashuhudiwa Uvira, jimboni Kivu Kusini Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambapo mwishoni mwa wiki iliyopita, kwa siku ya sita mfululizo mji huo ulisalia mahame.…

Uncategorized

Trump yuko tayari kwa vikwazo vipya dhidi ya Urusi

September 8, 2025 mjombazecoder

Rais wa Mareakni Donald Trump alikuwa akijibu swali la mwandishi habari katika ikulu yake mjini Washington siku ya Jumapili lakini hakusema awamu mpya ya vikwazo hivyo vitawekwa lini. Rais huyo…

Uncategorized

Hamas yasema iko tayari kuzungumza mara moja

September 8, 2025 mjombazecoder

Kundi la Hamas limesema liko tayari kukaa mara moja kwenye meza ya mazungumzo kufuatia kile lilichokieleza kuwa ni mawazo kadhaa kutoka kwa Marekani yanayolenga kuafikiwa kwa mkataba wa kusitisha mapigano.…

Uncategorized

Hamas yasema iko tayari kungumza mara moja

September 8, 2025 mjombazecoder

Kundi la Hamas limesema liko tayari kukaa mara moja kwenye meza ya mazungumzo kufuatia kile lilichokieleza kuwa ni mawazo kadhaa kutoka kwa Marekani yanayolenga kuafikiwa kwa mkataba wa kusitisha mapigano.…

Uncategorized

Serikali ya Ufaransa hatarini kuanguka katika kura ya imani

September 8, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa nne wa Ufaransa katika kipindi cha miaka mitatu François Bayrou, anakabiliwa na hali ya kukaribia kushindwa kwa hakika katika kura ya imani hivi leo. Viongozi wa upinzani…

Uncategorized

Chama cha upinzani Uturuki chaitisha maandamano Istanbul

September 8, 2025 mjombazecoder

Chama kikuu cha upinzani nchini Uturuki Republican People’s Party, CHP kimewatolea wito Waturuki na wakaazi wa mji mkuu Istanbul wajitokeze kwa maandamano baada ya polisi kuweka vizuizi katika maeneo yanayoyazunguka…

Uncategorized

Mamilioni ya abiria kuathiriwa na mgomo London

September 8, 2025 mjombazecoder

Mamilioni ya watu wanajiandaa kwa wiki ya hekaheka na matatizo ya usafiri jijini London Uingereza huku wafanyakazi wa treni za chini ya ardhi jijini humo wakianza mgomo wa siku tano.…

Uncategorized

Wafuasi wa Bolsonaro waandamana Brazil

September 8, 2025 mjombazecoder

Maalfu ya wafuasi wa rais wa zamani wa Brazil Jair Bolsonaro wamefanya maandamano jana katika miji kadhaa, siku chache kabla mahakama ya juu kabisa ya nchi hiyo kupitisha hukumu ikiwa…

Uncategorized

Wafuasi wa Bolsonaro waandaman Brazil

September 8, 2025 mjombazecoder

Maalfu ya wafuasi wa rais wa zamani wa Brazil Jair Bolsonaro wamefanya maandamano jana katika miji kadhaa, siku chache kabla mahakama ya juu kabisa ya nchi hiyo kupitisha hukumu ikiwa…

Uncategorized

08.09.2025

September 8, 2025 mjombazecoder

SK2 / S02S08.09.20258 Septemba 2025 Watu wanne wameuawa na wengine 15 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya risasi mjini Jerusalem+++ Mamlaka zinazohusika na mawasiliano nchini Tanzania zimeufungia mtandao maarufu wa Jamii Afrika…

Uncategorized

08.09.2025 Matangazo ya Asubuhi

September 8, 2025 mjombazecoder

DIRA.BZ08.09.20258 Septemba 2025 Katika matangazo yetu ya asubuhi hivi leo utasikia makala zetu za Mbiu ya Mnyonge, Makala yetu Leo, Mtu na Mazingira, Vijana Tugutuke na Jukwaa la manufaa. Sikiliza…

Uncategorized

08.09.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

September 8, 2025 mjombazecoder

08.09.20258 Septemba 2025 Rais wa Marekani Donald Trump aashiria yuko tayari kuongeza shinikizo dhidi ya Urusi kwa awamu ya pili ya vikwazo. Kundi la Hamas lasema liko tayari kwa mazungumzo…

Uncategorized

Trump atoa ‘onyo la mwisho’ kwa Hamas kuhusu mateka

September 7, 2025 mjombazecoder

Kupitia ujumbe kwenye mitandao ya kijamii, Trump alisema: “Waisraeli wamekubali masharti yangu. Ni wakati wa Hamas pia kukubali. Nimewaonya kuhusu matokeo ya kutoafiki. Hili ndilo onyo langu la mwisho.” Mnamo…

Uncategorized

Saudi yazindua mradi wa ujenzi mpya Damascus na viunga vyake

September 7, 2025 mjombazecoder

Saudi Arabia imetangaza Jumapili miradi mipya ya kibinadamu nchini Syria ikiwemo kuondoa vifusi vya vita karibu na mji mkuu Damascus, wiki chache baada ya kusaini mikataba ya uwekezaji yenye thamani…

Uncategorized

Trump yupo tayari kwa vikwazo vipya dhidi ya Urusi

September 7, 2025 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump amesema yuko tayari kuanzisha awamu ya pili ya vikwazo dhidi ya Urusi, hatua inayoweza kulenga mauzo ya nishati ya Moscow na washirika wake. Hii ni…

Uncategorized

Uhamiaji Marekani: Trump akumbana na pinzamini za kisheria

September 7, 2025 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump ameahidi kufukuza mamilioni ya wahamiaji kwa mpango mkubwa zaidi wa kuondoa watu kihistoria. Lakini ajenda yake ya uhamiaji inakabiliwa na majaribu makubwa mahakamani, huku sera…

Uncategorized

Nishati ya jua Afrika: Mustakabali wa nishati jadidifu

September 7, 2025 mjombazecoder

Katika jimbo la Northern Cape, kusini mwa jangwa la Kalahari, mnara mrefu unaong’aa unasimama katikati ya vioo vya sola vilivyopangwa kwa mistari. Vioo hivyo hufuata mwanga wa jua mchana kutwa,…

Uncategorized

Marekani: Donald Trump atishia kuingilia kijeshi Chicago

September 7, 2025 mjombazecoder

Mvutano unaongezeka kati ya White House na mamlaka ya Chicago. Rais wa Marekani Donald Trump kwa mara nyingine ametishia kuingilia kijeshi katika mji wa tatu kwa ukubwa nchini Marekani, unaotawaliwa…

Uncategorized

DRC: Serikali ya mkoa wa Kivu Kusini yaonya juu ya kuimarishwa kwa jeshi la Rwanda Idjwi

September 7, 2025 mjombazecoder

Serikali ya mkoa wa Kivu Kusini, mashariki mwa DRC imetoa tahadhari ya kitaifa na kimataifa kuhusiana na kuimarishwa kwa wanajeshi wa Rwanda katika eneo la Idjwi. Katika taarifa kwa vyombo…

Uncategorized

Jean-Pierre Lacroix athibitisha uungwaji mkono wa UN kwa mchakato wa amani nchini DRC

September 7, 2025 mjombazecoder

Akihutubia wanahabari siku ya Jumapili, Septemba 7, mjini Beni (Kivu Kaskazini), Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na Operesheni za Amani Jean-Pierre Lacroix amebainisha dhamira ya Umoja wa…

Uncategorized

Netanyahu asema jeshi linazidisha mashambulizi Gaza

September 7, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Israel limesema majengo mawili marefu yaliyobomolewa wiki hii yalitumiwa na Hamas kufuatilia wanajeshi, madai yaliyokanushwa na kundi hilo. Hali hii imezidisha hofu ya kuzorota zaidi kwa hali ya…

Uncategorized

Viongozi wa EU walaani mashambulizi ya Urusi nchini Ukraine

September 7, 2025 mjombazecoder

Rais wa Halmashauri ya Ulaya Ursula von der Leyen amesema Kremlin “inadhihaki diplomasia, inakanyaga sheria za kimataifa na inaua kiholela,” huku Rais wa Baraza la Ulaya António Costa akiongeza kuwa…

Uncategorized

DRC: Jeshi lawaonesha watu wanaodaiwa kuwa ni wasaidizi wa AFC/M23 waliokamatwa Fizi na Uvira

September 7, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (FARDC) limewaonyesha kwa waandishi wa habari siku ya Jumamosi, Septemba 6, watu sita waliokamatwa katika nyanda za juu za Fizi na Uvira, wakituhumiwa…

Uncategorized

Waziri Mkuu wa Japan Shigeru Ishiba ajiuzulu

September 7, 2025 mjombazecoder

Ishiba, aliyekuwa madarakani tangu Oktoba mwaka jana, alikabiliwa na ukosoaji unaoongezeka na wito wa kuachia ngazi ndani ya chama chake cha Liberal Democratic Party (LDP) kufuatia kupoteza wingi wa viti…

Uncategorized

Saudi Arabia yazindua mradi wa ujenzi mpya wa Damascus

September 7, 2025 mjombazecoder

Saudi Arabia imekuwa mfadhili mkuu wa serikali mpya ya Syria, iliyochukua madaraka baada ya kuondolewa madarakani, mtawala wa muda mrefu Bashar al-Assad mwezi Desemba uliopita. Katika hafla iliyofanyika leo mjini…

Uncategorized

Grossi aonya kuwepo kwa dunia yenye mataifa 25 ya nyuklia

September 7, 2025 mjombazecoder

Akizungumza na gazeti la Italia La Repubblica, Grossi alisema hatari ya mzozo wa nyuklia leo ni kubwa zaidi kuliko ilivyokuwa zamani, huku mchakato wa kupunguza au kuondoa silaha hizo ukiwa…

Uncategorized

Japan: Waziri Mkuu Shigeru Ishiba ajiuzulu kwa shinikizo la chama chake

September 7, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Japan Shigeru Ishiba ametangaza kujiuzulu leo Jumapili, Septemba 7, chini ya mwaka mmoja baada ya kuchukua madaraka. Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 68 anajiuzulu chini ya…

Uncategorized

Waziri Mkuu wa Japan Shigeru Ishiba atangaza kujiuzulu

September 7, 2025 mjombazecoder

Ishiba, mwenye miaka 68, alisema ataendelea kushika wadhifa huo hadi kiongozi mpya wa chama atakapochaguliwa. Aliongeza kuwa uamuzi wake unalenga kuepusha mgawanyiko zaidi ndani ya chama, akisema: “Sasa ndiyo wakati…

Uncategorized

Wasyria warejea taratibu kutoka Ujerumani, wasiwasi bado upo

September 7, 2025 mjombazecoder

Idadi ya wakimbizi wanaorejea Syria kutoka Ujerumani tangu kuanguka kwa utawala wa muda mrefu wa Bashar al-Assad imekuwa ikiongezeka taratibu, ingawa bado iko katika kiwango cha chini. Wizara ya Mambo…

Uncategorized

Urusi yatumia droni 800, makobora 13 katika shambulio Kyiv

September 7, 2025 mjombazecoder

Urusi imefanya shambulio kubwa zaidi la anga dhidi ya Ukraine tangu vita kuanza, kwa kurusha zaidi ya droni 800 na makombora 13 Jumapili alfajiri, na kuua watu wasipungua wanne, huku…

Uncategorized

Urusi yafanya shambulizi kubwa zaidi la anga dhidi Ukraine

September 7, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa jeshi la anga Yuriy Ihnat amethibitisha kuwa jumla ya droni 805 na makombora 13 yalirushwa, huku vikosi vya Ukraine vikiangusha droni 747 na makombora manne. Mengine yaliangukia maeneo…

Uncategorized

Israel yasema vita vya Gaza vitaisha mateka wakiachiwa huru

September 7, 2025 mjombazecoder

Matamshi ya Saar wakati wa mkutano na waandishi wa habari mjini Jerusalem akiwa na mwenzake wa Denmark, yanakuja siku moja baada ya Hamas kusisitiza msimamo wake wa muda mrefu kwamba…

Uncategorized

Waziri Mkuu wa Japan aamua kujiuzulu

September 7, 2025 mjombazecoder

Vyombo vya habari vya ndani vimeripoti kuwa Ishiba, mwenye umri wa miaka 68, anataka kuepusha mgawanyiko wa chama, huku shinikizo la kuachia madaraka likiongezeka kutoka kwa viongozi wakuu akiwemo waziri…

Uncategorized

Wakimbizi wa Syria wameanza kurejea kwao kutoka Ujerumani

September 7, 2025 mjombazecoder

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani imesema kufikia Agosti, Wasyria 1,867 walirudi nyumbani kwa msaada wa serikali, huku wengine wakiondoka kupitia programu za majimbo au bila msaada. Kwa sasa…

Uncategorized

Sudan Kusini yamrejesha nyumbani kwao raia wa Mexico

September 7, 2025 mjombazecoder

Munoz-Gutierrez, alikuwa miongoni mwa kundi la watu wanane ambao wamekuwa chini ya ulinzi wa serikali ya nchi hiyo tangu walipotoka Marekani. Katika taarifa, wizara ya mambo ya nje ya Sudan…

Uncategorized

Sudan Kusini yamrejesha Mexico mhamiaji waliyempokea kutoka Marekani

September 7, 2025 mjombazecoder

Jesus Munõz Gutierrez alikabidhiwa kwa balozi aliyeteuliwa wa Mexico, Alejandro Ives Estivill, ambaye aliwasili Juba siku ya Ijumaa, taarifa hiyo ilisema. Juba ilisema inabaki kujitolea kushirikiana na washirika wa kimataifa…

Uncategorized

Omar Artan aweka historia ya kuwa mwamuzi wa kwanza wa Somalia kuchezesha Kombe la Dunia la FIFA

September 7, 2025 mjombazecoder

Artan atajiunga na Jalal Jayed wa Morocco na Youcef Gamouh wa Algeria kama waamuzi wakuu kutoka bara la Afrika. Akiwa ni mwanzilishi katika soka la Kisomali, Artan hapo awali alikua…

IDHAA YA DUNIA

Mamlaka Tanzania yafungia Jamii Forums kwa siku 90, wenyewe hawakubaliani na uamuzi huo

September 7, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Maxence Melo 6 Septemba 2025 Imeboreshwa Dakika 7 zilizopita Muasisi wa JamiiForums, Maxence Melo, amesema jukwaa hilo linalazimika kukubali uamuzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha…

Uncategorized

Watoto kati ya 11 waliotoweka baada ya kiboko kupindua mashua nchini Côte d’Ivoire

September 7, 2025 mjombazecoder

Watu kumi na mmoja, wakiwemo watoto, walitoweka baada ya kiboko kupindua mashua yao kusini magharibi mwa Côte d’Ivoire, afisa wa serikali alisema Jumamosi. Waziri wa mshikamano wa kitaifa na mshikamano…

Uncategorized

Burkina Faso: Wakili mkosoaji wa serikali atekwa nyara Ouagadougou

September 7, 2025 mjombazecoder

Nchini Burkina Faso, Chama cha Wanasheria kinashutumu kukamatwa kwa wakili Ini Benjamine Doli. Aliporejea kutoka likizo nje ya nchi, “alitekwa nyara” kutoka nyumbani kwake huko Ouagadougou na watu wenye silaha.…

Uncategorized

Uturuki inaadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya Aysenur Ezgi Eygi na vikosi vya Israeli

September 7, 2025 mjombazecoder

Eygi, mwenye umri wa miaka 26, ambaye alikuwa na uraia wa nchi mbili wa Uturuki na Marekani, aliuawa na jeshi la Israeli wakati wa maandamano dhidi ya makazi haramu ya…

Uncategorized

Nigeria: Boko Haram washukiwa kufanya mauaji mengine katika Jimbo la Borno

September 7, 2025 mjombazecoder

Hali ya kutisha kwa wakazi wa kijiji cha Dar El Jamal katika Jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria. Siku ya Ijumaa, Septemba 5, watu wenye silaha walivamia mji huu…

IDHAA YA DUNIA

Unajua ni kwanini joto kali linazeesha binadamu haraka?

September 7, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, AFP via Getty Images Maelezo ya picha, Utafiti unaonyesha watu walio na viwango vya juu vya joto mara kwa mara wanazeeka haraka Maelezo kuhusu taarifa Author, Angela…

Uncategorized

Mashariki mwa DRC: Maelfu ya wanafunzi wa Kivu washindwa kurudi shule kutokana na mapigano

September 7, 2025 mjombazecoder

Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mwaka wa shule, uliopangwa awali kuanza siku ya Jumatatu, Septemba 1, haukuanza tena katika shule kadhaa katika mikoa ya Kivu Kaskazini na Kusini.…

Posts pagination

1 … 1,075 1,076 1,077 … 1,100

Recent Posts

  • Kanali Kipingu nyuma ya mafanikio ya Thabeet, Kaseja na Boban
  • CCM Zanzibar calls for political reconciliation to maintain peace, unity and development
  • Twiga Stars seek flying start in their WAFCON opener against South Africa
  • ACT-Wazalendo touts for peaceful dialogue in resolving political differences
  • Simba yaachana na Bajaber

Recent Comments

  1. DouglasPrurb on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. GordonJardy on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. Gregoryworie on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. WilliMer on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. RalphSlorm on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • July 2026
  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

MWANASPOTI

Kanali Kipingu nyuma ya mafanikio ya Thabeet, Kaseja na Boban

July 27, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

CCM Zanzibar calls for political reconciliation to maintain peace, unity and development

July 27, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Twiga Stars seek flying start in their WAFCON opener against South Africa

July 27, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

ACT-Wazalendo touts for peaceful dialogue in resolving political differences

July 27, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS