Wanamuziki wa dansi wanavyoishi kwa posho
Wanamuziki wa muziki wa dansi Tanzania wameendelea kuendesha maisha yao kwa kutegemea mfumo wa...
Moses mshindi wa BSS 2025 aibukia Apple Music
Apple Music imemtangaza muimbaji na mtunzi wa nyimbo za injili kutoka Tanzania, Moses Luka...
#MEZAHURU: Kipi kifanyike kuepusha ajali kwenye matumizi ya barabara kwa waenda kwa miguu
#MEZAHURU: Kipi kifanyike kuepusha ajali kwenye matumizi ya barabara kwa waenda kwa miguu. -Weka maoni yako (Feed generated with FetchRSS)
Walimu watakiwa kukabili mimba za utotoni
MANYARA: Walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuanzisha klabu za maadili ya watoto ili kuwa na taifa bora, kupiga vita mimba za utotoni na…
Wahitimu waahidi mapinduzi ya Sayansi
MANYARA: Uwekezaji wa serikali katika elimu kwa wanafunzi wasichana wa masomo ya sayansi mkoani Manyara umeelezwa kuongeza wataalamu wa sayansi nchini. Jumla ya wanafunzi 104 wa Shule ya Wasichana…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55….APRILI 22, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55....APRILI 22, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Iran yatoa tamko awamu mpya ya mazungumzo, Trump alegeza
Katika msimamo wake, Iravani amekanusha madai ya Iran kuwa chanzo cha mvutano wa kijeshi...
Baraza la Famasi laonya matumizi holela ya dawa, latoa elimu Mtwara
Baraza la Famasi nchini limeonya jamii juu ya hatari ya matumizi holela ya dawa, likieleza kuwa...
Wanadiplomasia waiweka kati Pakistan
Wanadiplomasia nchini Pakistan wameitaka nchi hiyo kupambana na matukio ya watu kutekwa, kuuawa...
Serikali yatoa Sh1.5 bilioni kwa ujenzi wa matundu ya vyoo shule 22 Mbeya Vijijini
Hatua hiyo ni sehemu ya ahadi ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyotoa mwaka 2024 baada ya kufanya...
Tanzania welcomes MAX, the new Russian messaging app
DAR ES SALAAM: A new Russian-developed messaging application known as MAX has been introduced in Tanzania, offering users an alternative digital communication platform designed to function effectively even in areas…
Magazeti ya Kenya: Gachagua, wenzake wa Upinzani wakalia mikia maandamano waliyoyapanga wenyewe
Wakenya wachache waliandamana siku ya Jumanne, Aprili 21, lakini walikamatwa. Muungano wa Upinzani ulikuwa umeitisha maandamano dhidi ya bei ya juu ya mafuta.
DRC: Tishio la ADF linaenea hadi maeneo mapya, wakati mauaji na utekaji nyara vikiongezeka
Mashariki mwa DRC, hali ya usalama inaendelea kuzorota katika maeneo yanayodhibitiwa na waasi wa Uganda wa ADF, kundi lenye silaha ambalo lilitangaza kujiunga na kundi la Islamic State. Kivu Security…
Garissa: Dereva teksi adaiwa kupigwa risasi na kuuawa na polisi alipokuwa amemtembelea rafiki seli
Afisa wa polisi alimpiga risasi dereva wa teksi Adan Hassan na kumuua huko Garissa, na kuchochea maandamano. Wakazi walidai haki na kulaumu polisi kwa kutokujali.
Tusijionee aibu kujifunza kutoka kwa Wachina
Wiki iliyopita nilipata fursa ya kutembelea viwanda vitatu vya bidhaa za Twyford...
Idara ya Hali ya Hewa Kenya yaonya kuhusu mvua kubwa, kaunti 11 zitashuhudia mafuriko hadi Aprili 27
Msalaba Mwekundu Kenya wametoa wito wa tahadhari katika kaunti 11 ambapo mvua kubwa, mafuriko, upepo mkali na mawimbi ya bahari yametabiriwa na Idara ya Hali ya Hewa
Sudan Kusini: Mamlaka yaahidi uchaguzi utafanyika Desemba
Nchini Sudan Kusini, serikali imebainisha siku ya Jumanne, Aprili 21, azma yake ya kufanya uchaguzi uliopangwa kufanyika mwezi Desemba 2026, licha ya hali mbaya nchini humo, ambayo Umoja wa Mataifa…
Rangi Gallery boosts Tanzania’s global art presence at Seoul event
Dar es Salaam: Something remarkable happened in Seoul between April 2 and 5, at a sprawling exhibition centre in the heart of South Korea’s capital, a gallery from Dar es…
NIKWAMBIE MAMA: Ubunifu wa vyanzo vipya ndio suluhisho
Jina la kujipachika halifuti jina halisi. Vijana wengi hasa wasanii hutembea na majina kama...
Njugush athibitisha kutengana na Celestine Ndinda baada ya miaka 14 pamoja: “Tunashirikiana kulea”
Mchekeshaji Njugush na Celestine Ndinda, almaarufu Wakavinye, wamethibitisha kutengana kwao baada ya miaka mingi pamoja na taarifa hiyo imewashtua mashabiki.
Sababu za Kuzidi Kuporomoka Umaarufu wa Israel Mbele ya Wamarekani
Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na Kituo cha Utafiti wa Maoni ya Umma cha Pew, yanaonyesha kuwa umaarufu wa Israel mbele ya tabaka la vijana wa chama cha Democrat nchini Marekani…
Sababu za Kuzidi Kuporomoka Umaarufu wa Israel Mbele wa Wamarekani
Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na Kituo cha Utafiti wa Maoni ya Umma cha Pew, yanaonyesha kuwa umaarufu wa Israel mbele ya tabaka la vijana wa chama cha Democrat nchini Marekani…
Msumbiji na China zaimarisha uhusiano wa kisiasa na kiuchumi
Katika ziara ya kiserikali mjini Beijing, Rais Daniel Chapo amefahamisha kwamba waliafikiana na China kuimarisha uhusiano wa pande mbili, wakati ambapo Beijing inaimarisha ushirikiano wake wa kimkakati barani Afrika. Imechapishwa:…
Tanzania katikati ya matumaini na mashaka, ikisubiri ripoti ya Oktoba 29
Katika kipindi cha siku 153 za uchunguzi, Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, 2025 imetembelea mikoa 11 na wilaya 21, ikikusanya ushahidi kutoka kwa Watanzania 63,603 kupitia njia…
Papa Leo XIV, atoa wito wa ‘sheria’ na ‘haki’ Equatoria Guinea
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Leo XIV yuko Equatoria Guinea tangu siku ya Jumanne, Aprili 21, kituo cha mwisho cha ziara yake barani Afrika. Imechapishwa: 22/04/2026 – 06:50 Dakika 2…
FYATU MFYATUZI: Fyatu akataa PhDi za kisanii na kimagumashi
Juzi, nilipata habari mbaya. Japo kwa mashaka na mstuko, nilipokea habari toka chuo kimoja...
ATCL ilivyojipanga kuibeba Afcon2027
Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limeweka wazi mkakati wake maalumu wa kutumia fursa ya...
Sababu za Kuzidi Kuporomoka Umaarufu wa Israel Mbele wa
Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na Kituo cha Utafiti wa Maoni ya Umma cha Pew, yanaonyesha kuwa umaarufu wa Israel mbele ya tabaka la vijana wa chama cha Democrat nchini Marekani…
Je, Togo inajaribu kurejesha uhusiano kati ya Paris na Niamey?
Muungano wa Mataifa ya Sahel (ESA, unaoundwa na Mali, Niger, na Burkina Faso) ulikuwa katika ajenda ya mazungumzo mwishoni mwa wiki iliyopita huko Lomé. “Togo iko tayari kuweka utaalamu wake…
Union awareness, green growth dominate ministry’s 99.9bn/- budget plan
DODOMA: MINISTER of State in the Vice-President’s Office (Union and Environment), Engineer Hamad Yusuf Masauni, yesterday tabled a 99.9bn/- budget for the 2026/27 financial year. The budget is prioritising coordination…
Nigeria: Watu sita, akiwemo jenerali mstaafu, washtakiwa kwa mpango jaribio la mapinduzi
Nchini Nigeria, waendesha mashtaka wamewashtaki wanaume sita, akiwemo meja jenerali mstaafu, siku ya Jumanne, Aprili 21, kwa kujaribu kupanga mapinduzi mnamo mwezi Oktoba 2025. Hapo awali mamlaka ilikana madai hayo,…
Iran haina namna zaidi ya kurejea katika meza ya mazungumzo
Naibu rais wa Marekani JD Vance anayetarajiwa kuongoza mazungumzo hayo nchini Pakistan, bado hajaondoka nchini Marekani na safari yake imehairishwa.
Urusi yawakomboa raia kutoka Urusi na Ukraine waliokuwa wakishikiliwa na kundi la wanajihadi
Urusi imetangaza siku ya Jumanne, Aprili 21, kwamba iliwakomboa mateka wawili katika operesheni maalum nchini Mali. Raia hao wananaelezewa kuwa ni mmja kutoka Urusi na Muikraine mmoja, waliokuwa wanashikiliwa na…
Commission to submit inquiry report tomorrow
DAR ES SALAAM: THE Independent Commission of Inquiry into the breach of peace during and in the days following the October 2025 General Election is expected to present its report…
Trump aongeza muda wa kusitisha mapigano Iran
Hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump kukubali kuongeza muda wa kusitisha mapigano na Iran bila kikomo maalum inatajwa kuwa ni mabadiliko makubwa ikilinganishwa na msimamo wake wa saa chache…
DRC: Mahakama Kuu ya Kijeshi yafunga vikao kwa kesi ya Luteni Jenerali Yav
Hatua muhimu imefikiwa katika kesi ya Luteni Jenerali Philémon Yav Irung, anayeshtakiwa kwa uhaini mbele ya Mahakama Kuu ya Kijeshi huko Kinshasa, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Imechapishwa: 22/04/2026…
Idadi ya watu waliohukumiwa kunyongwa nchini DRC yaongezeka
Idadi ya watu waliohukumiwa kunyongwa nchini DRC imeongezeka tangu kuondolewa kwa marufiku ya hukumu ya aina hiyo mwaka wa 2024 kulingana na ripoti ya shirika moja la kiraia. Imechapishwa: 22/04/2026…
Wajumbe wa baraza la usalama na amani wa AU kuzuru Juba
Tume ya umoja wa Afrika kwa nchi ya Sudan Kusini, AUMISS, imetangaza kuwa wajumbe wa baraza la usalama na amani kutoka Umoja huo, watazuru Juba kuanzia Alhamisi hadi JumamosI ya…
Trump ameongeza muda wa usitishaji wa vita Iran
Rais wa Marekani, Donald Trump, hapo jana alitangaza kuongeza muda wa usitishaji mapigano na Iran ili kutoa nafasi ya majadiliano, wakati huu makubaliano ya awali yakimalizika bila ya tukio lolote…
Tetesi za soka Ulaya: Arsenal, Barcelona zinamfukuzia Bernardo Silva
Bernardo Silva yuko kwenye rada za Arsenal na Barcelona, Liverpool wanaweza kujaribu kumsajili Randal Kolo Muani, huku Kobbie Mainoo akikubali kufanya mazungumzo mkataba mpya Manchester United
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 22, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
Mayanga arejea Mbeya City, kibarua hiki chamsubiri Ligi Kuu
Baada ya kuachana na Mecky Maxime, Mbeya City imemrejesha kikosini Salumu Mayanga kuwa kocha mkuu.
Muhato: Teknolojia imeleta mapinduzi katika uhifadhi wa nyaraka na taarifa
Ukuaji wa teknolojia umetajwa kama kichocheo kikuu katika kuleta mapinduzi katika uhifadhi wa...