NEMC, Turkish institutions exchange environmental conservation skills in bid to address challenges
KONYA: OFFICIALS from the National Environment Management Council (NEMC) held discussions with representatives from the Ministry of Environment, Urbanization, and Climate Change of Turkey and various environmental institutions in Konya.…
Mwanamke ajawa furaha kujaliwa watoto wanne kwa mpigo: “Wote ni wasichana”
Adriana Luna na mchumba wake Anthony Lerma walisherehekea kuwasili kwa malaika 4, na kuifanya familia yao kuwa ya watoto 5. Baraka hiyo adimu ilileta furaha
Tanzania braces for epic Sabasaba Fair as it hits a Golden Jubilee
DAR ES SALAAM: PREPARATIONS for the 50th anniversary of Tanzania’s flagship trade fair have gathered momentum, with stakeholders convening to fine-tune strategies aimed at delivering a high-impact Sabasaba International Trade…
Katibu mkuu Uwekezaji awauma sikio wafanyakazi Tiseza
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Uwekezaji, Dk Fred Msemwa amewataka watumishi wa Mamlaka ya...
Mbavu Destroyer awashtaki Majembe, Oga Obinna katika mahakama ya michezo baada ya kupigwa Vurugu
Mbavu Destroyer amewashtaki Majembe na Oga Obinna baada ya kushindwa pambano la Vurugu, akidai kuchezewa rafu. Katika kasi anataka pambano lifutwe na kulipwa fidia.
Tanzania sees sharp growth in communications coverage heading to the nationwide goal by 2030
DODOMA: TANZANIA’S communications sector has recorded sharp growth in coverage and usage over the past four years, as the government pushes ahead with major infrastructure expansion and sets its sights…
Dk Mwinyi atengua, kuteua wakuu wa wilaya
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametengua na kuteua wakuu wa wilaya watano Zanzibar.
Tanzania seeks to tap capital markets to boost agricultural productivity
DAR ES SALAAM: THE Tanzanian government is moving to tap capital markets to ease financing constraints in the agriculture sector, in a push to raise productivity and competitiveness. The Minister…
Jaji Chande ataja sababu tume kuongezewa muda
DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani ya wakati na baada ya uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 Jaji Mstaafu Othman Chande ametaja…
Dem Wa FB ateta kuhusu ripoti ujira wake 2025 ulikuwa KSh 35m: “Uongo”
Ripoti ya hivi karibuni ilimtaja Dem Wa Facebook kama influenza wa tatu anayelipwa pesa nyingi Kenya, lakini amejitokeza na kupinga madai hayo akiyataja uongo.
J.D. Vance, makamu wa rais apewa jukumu la kusitisha vita ambavyo hakuvitaka
Akitumwa na Donald Trump, J.D. Vance anatarajiwa nchini Pakistan kuongoza mazungumzo yanayolenga kubadilisha makubaliano dhaifu ya kusitisha mapigano ya wiki mbili kuwa makubaliano ya amani ya muda mrefu. Katika siku…
10 mbaroni wakidai kuchukuliwa nyeti zao Zanzibar
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar, linawashikilia watu 10 wakidai kuchukuliwa...
Lebanon ilidhani kulikuwa na usitishaji mapigano, Israel ikaanzisha mashambulizi makali
Israel inasema kuwa Lebanon haijajumuishwa katika makubaliano ya kusitisha mapigano ambayo Marekani ilikubaliana nayo ili kusitisha vita na Iran.
Guardian Angel aonyesha ekari 20 za ardhi aliyoinunua, aapa kuibadilisha ndani ya miezi 3
Mwanamuziki mkongwe Guardian Angel amefichua mradi wake mpya wa Shamba la Waingo la ekari 20 ambalo ameapa kulibadilisha ndani ya miezi mitatu ijayo.
Mama aliyehuzunika akataa ng’ombe, kondoo na soda za wakwe baada ya bintiye kudaiwa kuuawa na mumewe
Elis Sumari alisimulia kifo cha kusikitisha cha bintiye na kutaka haki itendeke baada ya kukataa zawadi kutoka kwa wakwe wanaohusishwa na mauaji hayo nchini Tanzania
Idara ya Hali ya Hewa Kenya yatoa utabiri wa siku 5, mvua kunyesha katika maeneo 6
Idara ya Hali ya Hewa Kenya ilitabiri mvua katika mikoa sita katika siku tano zijazo. Tarajia mvua, ngurumo za radi, na halijoto tofauti katika kaunti kadhaa.
Netanyahu aidhinisha mazungumzo kati ya Israel na Lebanon mjini Washington
Israel na Lebanon zinatarajiwa kukutana mjini Washington wiki ijayo wakati mvutano ukiongezeka kutokana na mapigano yakiendelea nchini Lebanon na hofu inayoongezeka kwamba usitishaji mapigano dhaifu kati ya Marekani na Iran…
Kikosi cha Artemis II kitarejea vipi duniani?
Chombo hicho cha Orion kitaingia kwenye anga ya dunia kwa kasi ya zaidi ya kilomita 40,000 kwa saa.
Wakazi wa Kata ya Mdimba Mpepele, Halmashauri ya Wilaya ya Newala wamelalamikia uongozi wa halmashauri hiyo kwa madai ya kutelek…
Wakazi wa Kata ya Mdimba Mpepele, Halmashauri ya Wilaya ya Newala wamelalamikia uongozi wa halmashauri hiyo kwa madai ya kutelekeza mradi wa zahanati ya Ngalu ulioanza kujengwa kwa nguvu za…
Singida BS yachukua kocha wa Maniema, msaidizi mmoja
Taarifa ya Singida Black Stars imeeleza kuwa Kimoto ameambatana na Kapiten Dora ambaye atakuwa...
Mgombea urais ADC ajipanga upya kutimiza ndoto ya kuwa rais
Nafasi ya urais ni ya juu zaidi katika nchi; inaambatana na wajibu mkubwa wa kuusimamia ili...
Baada ya The Punisher sasa ni No Man’s Land, kupitia AzamONE
Baada ya The Punisher sasa ni No Man’s Land, kupitia AzamONE. No Man’s Land ni kuanzia leo Ijumaa April 10, katika muda ule ule saa 4:00 usiku. Series hii ni…
Trump awaonya viongozi wenye msimamo mkali wa mrengo wa kulia wanaopinga vita nchini Iran
Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Alhamisi amewashambulia kwa maneno makali viongozi kadhaa wenye msimamo mkali wa mrengo wa kulia, wakiwemo baadhi ya wananadharia wa njama, ambao rais wa…
Refa wa fainali ya Morocco, Senegal atoswa Kombe la Dunia
Katika orodha ya marefa 170 ambayo imetolewa na FIFA, Ngambo sio mmojawapo licha ya miezi...
Katika kipindi cha mvua, nyoka wengi hulazimika kuhama kutoka makazi yao ya kawaida kutokana na maji kuharibu maficho yao, na hi…
Katika kipindi cha mvua, nyoka wengi hulazimika kuhama kutoka makazi yao ya kawaida kutokana na maji kuharibu maficho yao, na hivyo hujikuta wakisogea karibu na makazi ya watu wakitafuta sehemu…
Abiria Ajifungua Angani kwenye Ndege ya Kuelekea New York
Abiria alijifungua angani kwenye ndege ya Caribbean Airlines BW005 kuelekea New York. Wahudumu katika ndege hiyo walijitahidi kuhakikisha mama na mwanawe wako salama
KCMC yaanza ujenzi kituo cha kisasa tiba za moyo, ugonjwa ukishamiri Kaskazini
Magonjwa ya moyo yanaendelea kuwa tishio kubwa kwa maisha ya Watanzania, huku takwimu...
Motsepe asisitiza AFCON 2027 kupigwa Afrika Mashariki
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Patrice Motsepe amesisitiza kwamba Fainali...
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uwekezaji Tanzania (TASEZA), Gilead Teri, amesema serikali imeweka mikakati mbali…
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uwekezaji Tanzania (TASEZA), Gilead Teri, amesema serikali imeweka mikakati mbalimbali ya kusaidia wawekezaji wazawa kukuza mitaji yao na kuwekeza kwa urahisi zaidi…
Wito watolewa kukabili athari pombe haramu
DAR ES SALAAM: Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) imetoa wito wa kuwepo kwa hatua za pamoja na endelevu ili kukabiliana na tatizo la pombe haramu nchini, ikionya kuwa hali…
TZ golfers impress at SDT East Africa Swing Q-School
NAIROBI: TANZANIAN golfers produced a spirited and competitive showing at the Sunshine Development Tour (SDT) East Africa Swing Qualifying School, which concluded yesterday at Limuru Country Club in Kenya. Facing…
Rais Gustavo Petro amrejesha nyumbani balozi wake kutoka Quito
Gustato Petro amemrejesha nyumbani balozi wa Colombia nchini Ecuador, akimtaka arudi Bogotá “mara moja,” kufuatia uamuzi wa Quito wa kuongeza ushuru kwa bidhaa za Colombia kwa 100%. Imechapishwa: 10/04/2026 –…
US has let in 4,499 refugees since October – all but three were South African
USA: President Donald Trump’s overhaul of US refugee policies has created a major shift in the number and nationalities of people admitted to the country, US government data shows. Since…
Gonçalves applauds Yanga’s dominant win over Pamba Jiji
ARUSHA: YOUNG Africans Head Coach Pedro Gonçalves has lauded his players after a commanding 3-0 victory over Pamba Jiji in a Mainland Premier League clash at CCM Kirumba Stadium on…
Simba, Azam drop points away
ARUSHA: THE Mainland Premier League took a significant detour yesterday as heavyweights Simba SC and Azam FC both stumbled to goalless stalemates, handing a massive advantage to league leaders Young…
Zanzibar urges hotels adopt digital systems for taxes
ZANZIBAR: THE Ministry of Tourism and Heritage, in collaboration with the Zanzibar Revenue Authority (ZRA), has urged business operators, especially hotel owners, to adopt a Property Management System (PMS) to…
Mlinzi wa Rais, mkewe na watoto wao 2 wafariki katika ajali ya kuogofya barabarani
Mlinzi wa rais, mkewe na watoto wao wawili wachanga wafariki katika ajali ya barabara, na kuzidisha huzuni ya kitaifa na kuibua wasiwasi wa dharura wa usalama njiani
Fruit prices rise slightly in Dar due to rains
DAR ES SALAAM: WHOLESALE fruit prices across various markets in Dar es Salaam have shown mixed trends between February and March, with some commodities recording slight increases due to transport…
High-rise ambition reshapes Dar es Salaam future economy
DAR ES SALAAM: A MAJOR construction agreement valued at 48bn/- is set to reshape the skyline of Dar es Salaam, marking another milestone in the country’s rapidly expanding urban landscape.…
BRELA launches upgraded online services platform
DAR ES SALAAM: THE Business Registrations and Licensing Agency (BRELA) has officially launched its upgraded online service platform, known as BRELA Online Services (BOS), aimed at simplifying business and industrial…
Mazungumzo yasitishwa kwa ajili ya usitishaji vita Lebanon
Mazungumzo ya awali yasiyo ya moja kwa moja, yatakayosimamiwa na mamlaka ya Pakistan, yamepangwa kuanza kesho kati ya Iran na Marekani, ambazo zina siku kumi na tano kufikia makubaliano ya…
Kibaha-Chalinze road project back on track
DAR ES SALAAM: THE implementation of the Kibaha–Chalinze–Morogoro strategic corridor is set to proceed under a Public Private Partnership (PPP) arrangement, marking a significant step in efforts to ease congestion…
Why SRH matters for Tanzania’s future
DAR ES SALAAM: ON a humid morning in rural Morogoro Region, a young mother sits quietly outside a dispensary, cradling her newborn. Her journey to motherhood was anything but certain.…
From continental dream to relegation nightmare: KMC FC’s dramatic decline
DAR ES SALAAM: THE Tanzanian Premier League has long been a theatre of tradition, dominated by the historic rivalry of the “Big Two” (Young Africans and Simba) and the modern…
Magazetini Kenya, Aprili 10: EACC Yaorodhesha Kaunti Zilizo na Kiwango cha Juu cha Rushwa
Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) ilitoa ripoti inayoeleza jinsi rushwa hongo inavyotekelezwa katika serikali za kaunti kote nchini.
Wanyarwanda watamani historia ya mauaji ya kimbari ifundishwe darasani
Wanyarwanda waliohudhuria kumbukizi ya mauaji ya Kimbari nchini Rwanda wameonyesha mitazamo yao...
VIWANJANI: “…kila unapotamani kufanya vizuri ndipo unapotoa nafasi kwa wapinzani wako kukukaba na kukukabili”- Mchambuzi wa so…
VIWANJANI: "...kila unapotamani kufanya vizuri ndipo unapotoa nafasi kwa wapinzani wako kukukaba na kukukabili"- Mchambuzi wa soka, @akingamkono akieleza maoni yake kutokana na kiwango cha Simba SC katika mchezo wa…
George Muchai: 4 wahukumiwa kifo kwa mauaji ya mbunge wa zamani wa Kabete na wengine 3
Hakimu mkuu wa mahakama ya Milimani Lucas Onyina aliwahukumu kifo wafungwa 4 kwa mauaji ya aliyekuwa mbunge wa Kabete George Muchai, walinzi wake wawili na dereva
Iran na Marekani kukutana Pakistan usiku; nani wanahudhuria na nini kiko mezani?
Trump pia alionya kuwa mataifa yanayoiuzia Iran silaha zitawekewa vikwazo vya 50% kwa bidhaa zao zinazouzwa nchini Marekani.