Dr Samia orders officials to halt unnecessary travel due to the global oil crisis
DODOMA: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has directed government officials to slash fuel consumption by curbing unnecessary travel and reducing the number of official vehicles, as the country grapples with rising…
Namungo yalenga historia mpya Ligi Kuu ya NBC
PAMOJA na kukiri ugumu wa ligi, Namungo imesema kati ya mechi 12 ilizobakiza inasaka japo pointi 18 ili kujihakikishia usalama, huku ikihitaji kucheza fainali ya Kombe la Shirikisho (FA).
Taasisi ya Wazee Jasiri Organization (WAJAO) imetangaza mpango wa kutembelea mikoa mbalimbali nchini kwa lengo la kutoa elimu kw…
Taasisi ya Wazee Jasiri Organization (WAJAO) imetangaza mpango wa kutembelea mikoa mbalimbali nchini kwa lengo la kutoa elimu kwa jamii kuhusu changamoto ya upotevu wa maadili pamoja na umuhimu wa…
Mvua zilizonyesha Dar, wananchi wasema…
Kuendelea kuwepo kwa mashimo katika barabara mbalimbali za mitaa ya Jiji la Dar es Salaam...
Tanzania sees an alarming increase in divorce cases from 711 to 1,172
BUKOBA: DIVORCE cases in Tanzania have risen significantly, with figures increasing from 711 in 2023 to 1,172 in 2025, raising concerns over social stability and national development. Deputy Permanent Secretary…
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Aslay anauliza atoe wimbo ijumaa
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Aslay anauliza atoe wimbo ijumaa Kupitia Instastory ameandika ameandika "Najisikia kama nitoe ngoma hii ijumaa, Mnaonaje?" Na upande mwingine ameandika "Should I drop something…
Mashahidi 12 kutoa ushahidi kesi ya wizi wa jenereta
Mashahidi hao wanatarajia kutoa ushahidi wao, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Mkoa wa...
Coastal Union part ways with coach Muya
DAR ES SALAAM: COASTAL Union have parted ways with their head coach, Mohammed Muya, following unsatisfactory results in the Tanzania Premier League. “In mutual agreement, the management of Coastal Union…
Kesi wanaodaiwa kughushi vibali vya silaha yakwama, sababu zatolewa
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeshindwa kusikiliza ushahidi wa upande wa Jamhuri katika...
Rigathi Gachagua Amkumbusha William Ruto Alivyomuonya Kuhusu Ichung’wah: “Hii Jamii Imekukataa”
Aliyekuwa DP Rigathi Gachagua amemshutumu Kiongozi wa Wengi Kimani Ichung’wah kwa kumpotosha William Ruto, akionya kuhusu usaliti wa jamii..........
Kingu: Jengeni kituo cha mafuta
MBUNGE wa Jimbo la Ikungi Kaskazini Elibariki Kingu amesema Serikali imechukua hatua za makusudi za kuhakikisha taifa linabaki salama katika upatikanaji wa mafuta. Akichangia hotuba ya makadirio na matumizi ya…
Maswa waomba kupatiwa elimu ya lishe, kupunguza udumavu
Wananchi wilayani Maswa mkoani Simiyu wameiomba Serikali kuongeza juhudi za utoaji wa elimu ya...
Wabunge wataja mambo saba kupunguza makali ya bei ya mafuta
Wabunge wametoa ya moyoni kuhusu suala la mafuta wakitaja mambo saba ambayo yanaweza kupunguza...
Tanzania offers training in gemstone processing to promote value addition
ARUSHA: The Tanzania Gemological Centre has stepped up efforts to promote value addition in Tanzania’s mining sector by offering affordable training in gemstone and rock processing as a way of…
IFRS calls on Tanzanian accountants to adopt ESG to cope with a rapidly changing environment
DAR ES SALAAM: TANZANIAN accountants have been urged to strengthen their skills in Environmental, Social and Governance (ESG) reporting as sustainability and climate-related disclosures gain importance in financial reporting. This…
JK meets Museveni in efforts to restore political stability in South Sudan.
KAMPALA: THE Former Tanzanian President, Jakaya Kikwete, has met and held talks with Uganda’s President Yoweri Museveni at the Nakasero State Lodge in Kampala, with discussions focused on the political…
Mbio za Dola 150,000 zaanza rasmi Dar City ikianza maandalizi
Timu ya mpira wa kikapu ya Dar City itaanza maandalizi ya kuziwinda Dola 150,000 (Sh388.2m) na ubingwa wa Afrika (BAL) Aprili 17.
Safari ya wanaanga wa NASA; Rekodi, sayansi na historia
Wanaanga wanne kutoka Shirika la Anga la Marekani (NASA) wameanza kurejea duniani baada ya...
Daladala Dar, Mwanza zaomba kusitisha huduma kuanzia kesho
Saa chache baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra) kutangaza kuongeza muda...
‘Pray for KMC’ mechi 18, pointi 8 yajichimbia mkiani NBC PL
JAHAZI la Klabu ya KMC kubakia Ligi Kuu Bara, linaendelea kuzama siku baada ya siku, kufuatia kikosi hicho kuchapwa bao 1-0, dhidi ya Singida Black Stars, katika mechi kali na…
‘Pray fo KMC’ mechi 18, pointi 8 yajichimbia mkiani NBC PL
JAHAZI la Klabu ya KMC kubakia Ligi Kuu Bara, linaendelea kuzama siku baada ya siku, kufuatia kikosi hicho kuchapwa bao 1-0, dhidi ya Singida Black Stars, katika mechi kali na…
#MEZAHURU: “Kuna malezi ambayo ukilelewa pengine na wazazi ambao ni wachumi ni ngumu kwa yeye kuweza kutumia pesa vibaya, kwa hi…
#MEZAHURU: “Kuna malezi ambayo ukilelewa pengine na wazazi ambao ni wachumi ni ngumu kwa yeye kuweza kutumia pesa vibaya, kwa hiyo mazingira yana athari kubwa kuweza kumfanya mtu mwema………..”-Charles Kalungu…
Marekani sasa inasafisha mafuta ghafi ya Venezuela
Meli yenye urefu wa futi 820 (mita 250) imebeba mizigo ya thamani kutoka Venezuela ikielekea Marekani – ni mapipa 400,000 ya mafuta ghafi.
Samia atangaza kupunguza msafara wake, mabasi kubeba viongozi
Amesema anatambua ndani ya Serikali kuna matumizi makubwa ya mafuta, kwani magari na safari ni...
“Ndani ya Serikali tuna matumizi makubwa sana ya mafuta, magari ni mengi safari zetu ni nyingi, niwaombe sana tuanze kupunguza m…
"Ndani ya Serikali tuna matumizi makubwa sana ya mafuta, magari ni mengi safari zetu ni nyingi, niwaombe sana tuanze kupunguza matumizi ya mafuta, na mimi naanza na ofisini kwangu, kuanzia…
Margaret Kenyatta: Wakenya Wamnyeshea Mama wa Zamani wa Taifa Upendo Akitimiza Miaka 62
Wakenya walifurika kwenye mitandao ya kijamii na kumtakia heri mke wa rais wa zamani Margaret Kenyatta, wakisherehekea urithi na uhusiano wake na Uhuru.
Margaret Kenyatta: Wakenya Wamunyeshea Mama wa Zamani wa Taifa Upendo Akitimiza Miaka 62
Wakenya walifurika kwenye mitandao ya kijamii na kumtakia heri mke wa rais wa zamani Margaret Kenyatta, wakisherehekea urithi na uhusiano wake na Uhuru.
Watanzania wahimizwa kupikia nishati safi
Aidha ongezeko la joto duniani, ukataji miti hovyo na uchafuzi wa hewa vimeendelea kuhatarisha...
Tuzo ya Sh6 bilioni aliyoshinda Membe yafutwa, kusilizwa upya
Katika rufaa hiyo wakata rufaa waliwakilishwa na wakili Sylvanus Mayenga wakati mjibu rufaa...
“…..ni siseme hakuna mtu ambaye amefanikiwa kifedha ambaye huwa hasaidii lakini hakuna mtu ambaye amefanikiwa kifedha ambaye ana…
“…..ni siseme hakuna mtu ambaye amefanikiwa kifedha ambaye huwa hasaidii lakini hakuna mtu ambaye amefanikiwa kifedha ambaye anasaidia hovyo hovyo..” Mkufunzi wa Elimu ya Fedha- Kelvin Kibenje. Powered by #MCHEZOSUPA…
Marufuku DJ kupiga nyimbo za Burna Boy
Chama cha DJs nchini Nigeria (NDJ) kimepiga marufuku DJ's wote kupiga nyimbo za mwanamuziki...
Kichanga wa miezi tisa aokotwa jalalani Mbozi
Wakazi wa Mtaa wa Msaki, Kata ya Ichenjezya, wilayani Mbozi mkoani Songwe, wamekumbwa na...
Unakionaje kikosi cha Yanga dhidi ya Pamba Jiji?
Unakionaje kikosi cha Yanga dhidi ya Pamba Jiji? Tupe maoni yako hapa chini? (Feed generated with FetchRSS)
Familia ya Mtoto James yaomba radhi kwa Sonko baada ya sakata kuhusu malezi: “Hatuna ubaya”
Familia ya Mtoto James, anayetunzwa na Mike Sonko, iliomba Msamaha kwa tukio la mjomba kumlaumu. Sonko alidumisha kujitolea kwa utunzaji na ufikiaji wa familia.
“…ilibidi tumtafute mtu mzima, mwenye maarifa, uzoefu anaeijua hii nchi vizuri…tumuweke pale, kwa hiyo tumeona mtu mzima wet…
"...ilibidi tumtafute mtu mzima, mwenye maarifa, uzoefu anaeijua hii nchi vizuri...tumuweke pale, kwa hiyo tumeona mtu mzima wetu hapa, ni Mh.Kabudi, kwanza pole nakuapisha kwa mara ya tatu ndani ya…
LHRC yabainisha mbinu mbadala kukabili bei ya mafuta
Wakati kukiwa na ongezeko la bei ya mafuta nchini, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)...
UNICEF na Benki ya Dunia warejesha matumaini ya elimu kwa watoto Sudan kupitia programu mbadala za kujifunza
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF kwa kushirikiana na Benki ya Dunia linaendelea kurejesha matumaini ya elimu kwa maelfu ya watoto katika Jimbo la Mto Nile nchini…
Umoja wa Mataifa wakakaribisha tangazo la Marekani na Iran la kusitisha mapigano
Pande husika zizingatie vipengele vya makubaliano Türk asema amani ya kuhudumu izingatie haki za binadamu za kila mtu UNOPS yasema uharibifu wa miundombinu utapumzika
Huduma za afya ziko ukingoni kuporomoka kabisa kuliko wakati mwingine wowote
Madaktari na wahudumu wa afya katika ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel wanaonya kuwa mfumo wa afya katika eneo hilo sasa uko karibu zaidi kuporomoka kuliko…
Maikrofoni ya Seneta Methu yazimwa wakati akimfokea Ruto: “Mimi sikuogopi”
Seneta wa Nyandarua John Methu alimkabili Rais William Ruto wakati wa mazishi ya Mbunge Kiaraho, akitaja ahadi ambazo hazijatimizwa na kuzua matukio ya kusisimua.
Nyandarua: Hali Tete huku William Ruto, Rigathi Gachagua Wakikutana baada ya Mabishano Makali
Rais William Ruto na aliyekuwa naibu wake Rigathi Gachagua walishiriki jukwaa baada ya miezi kadhaa ya majibizano makali. Hata hivyo hawakusalimiana.
Nyandarua: Hali Tete huku William Ruto, Rigathi Gachagua Wakikutana baada ya Mabiashano Makali
Rais William Ruto na aliyekuwa naibu wake Rigathi Gachagua walishiriki jukwaa baada ya miezi kadhaa ya majibizano makali. Hata hivyo hawakusalimiana.
Latra yaongeza siku 14 kupokea maoni mapitio ya nauli mpya
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra) imeongeza wiki mbili zaidi za kupokea maoni...
Gachagua awabembeleza waombolezaji wasimzomee Ruto matangani: “Sitaki kusikia mambo ya Wantam”
Makamu wa Rais wa zamani Rigathi Gachagua awasihi wafuasi wake kumheshimu Rais Ruto wakati wa kumbukumbu ya Mbunge David Kiaraho, akiheshimu urafiki wao wa kina.
Barker abeba tena tuzo Ligi Kuu, beki Singida BS achomoza
Kwa mujibu wa taarifa ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Barker amekuwa mshindi kwa kuwapiku...
Zijue njia tano rahisi za kupunguza mafuta ya tumbo
Mafuta haya yanaweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya kama shinikizo la damu, kiwango cha juu cha sukari mwilini, na matatizo ya lehemu (cholesterol). Magonjwa haya hutokana na mafuta yanayokusanyika kwenye…
Barker ang’ara, Imoro aibuka mchezaji bora Ligi Kuu NBC Machi
Kocha wa Simba SC, Steve Barker, amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Machi wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/26 baada ya kuiongoza timu yake kupata matokeo chanya.
Wasuluhishi wa ndoa wapigwa msasa
KAGERA: Wizara ya Katiba na Sheria imeanza kutoa mafunzo kwa Wajumbe wa Bodi za Usuluhishi wa migogoro ya ndoa, kufuatia ongezeko la kesi za talaka nchini. Akifungua mafunzo hayo leo…
Call to Africa: Increase investment in health
DAR ES SALAAM: The Ministry of Health, in collaboration with the World Health Organization (WHO), the National Institute for Medical Research (NIMR), and CHIEB partners, has urged African countries to…
Tanzanian outlines plans to implement the Education and Training Policy by improving curricula
DODOMA: THE Tanzanian government has outlined plans to implement the 2014 Education and Training Policy by improving curricula, expanding school infrastructure, constructing new schools including those for vocational training, providing…