Why today’s marriages don’t last (PART 3)
The quiet noise of men in marriages DAR ES SALAAM: PRESENT-day men go to great lengths to maintain a good physical appearance. They train for a six pack, build muscles…
Iran: Kiongozi mpya wa Iran Mojtaba Khamenei yupo salama licha ya kujeruhiwa
Kiongozi mpya wa juu wa Iran Mojtaba Khamenei yupo salama licha ya taarifa za kujeruhiwa wakati wa mashambulizi ya Marekani na Israeli, amethibitisha Yousef Pezeshkian, mtoto wa Rais wa Iran.…
Binti wa Michael Jackson ataka chake mapema
Baada ya wiki iliyopita kuzuka taarifa watu wanne ndugu wa familia moja wamefungua kesi ya...
PCCB recovers 119m/- in Singida
SINGIDA: THE Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) in Singida Region has recovered 119.16m/- and four vehicles following scrutiny of funds used in the implementation of 25 development projects…
We want zero tolerance for public misconduct
DAR ES SALAAM: THE government’s latest warning to public officials accused of negligence, corruption and complacency sends an important signal at a critical moment in the country’s development journey. As…
Fair competition commission calls for stronger consumer protection
ZANZIBAR: THE Zanzibar Fair Competition Commission has pledged to strengthen public education and enforcement efforts aimed at protecting consumers and promoting fair competition in the marketplace. Speaking during a press…
State keen to empower women, girls – RC
DODOMA: DODOMA Regional Commissioner Ms Rosemary Senyamule, has said the government remains committed to empowering women and girls across various sectors to ensure gender equality and improve their overall wellbeing…
Health experts seek strengthening disease preparedness
ZANZIBAR: HEALTH experts and stakeholders from various institutions have conducted a special working visit to Abeid Amani Karume International Airport and Malindi Port as part of efforts to strengthen preparedness…
High Court orders Sahara Media Group to wind up
DAR ES SALAAM: THE High Court Commercial Division has ordered the winding up of Sahara Media Group Limited, a Tanzanian company engaged in mass media, press services, advertising, and publicity.…
Mapenzi yalivyotaka kumpeleka Jennifer Lopez kaburini
Mwanamuziki wa Marekani, Jennifer Lopez (JLO) amesema aliwahi kufikia hatua ya kutaka kujiua...
Mchengerwa calls for stronger disease prevention research
KILIMANJARO: MINISTER for Health, Mohamed Mchengerwa has tasked the leadership of Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) to focus on strategies and research aimed at preventing diseases and promoting public health.…
Barrick North Mara rescues 22 flooded villagers in Tarime
MARA: AN emergency team from Barrick North Mara successfully rescued 22 people, including children, who were trapped by rising floodwaters in Matongo Village, Tarime District in Mara Region. Equipped with…
Mwinyi challenges leaders to lead with justice
ZANZIBAR: ZANZIBAR President Dr Hussein Mwinyi has reminded senior leaders in public institutions to uphold integrity, justice and compassion when supervising those under their authority and carrying out their official…
Kenya slides further down the global corruption rankings index
NAIROBI: IN today’s global economy, a country’s reputation for transparency and accountability is almost as important as its natural resources or workforce. Kenya, a nation widely recognised as East Africa’s…
Final tribute for diplomat Mahalu Saturday
DAR ES SALAAM: TANZANIANS will on Saturday bid farewell to one of its most distinguished legal scholars and diplomats, Prof Costa Ricky Mahalu, who will be laid to rest at…
Bayer Leverkusen vs Arsenal: Wachezaji 8 huenda wasicheze katika hatua ya 16 bora Ligi ya Mabingwa
Arsenal watamenyana na Bayer Leverkusen katika hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, wakitazamia ushindi licha ya majeruhi wanaojitahidi kupona.
Wanawake waiishi kauli ya kutoa ndiko kupata kwa vitendo si nadharia
Maadhimisho ya mwaka huu ya Siku ya Wanawake Duniani yamebeba kauli mbiu ya kimataifa isemayo...
Zak Vyner: Beki wa Harambee Stars analipwa mshahara wa kiasi gani akiwa Wrexham AFC
Beki Mkenya mzaliwa wa Uingereza Zak Vyner alianza kuichezea Wrexham AFC katika pambano la kusisimua la Kombe la FA dhidi ya Chelsea, akicheza dakika 76 .
Ligi ya Mabingwa: Kwa nini mchezo wa Bayer Leverkusen vs Arsenal utaanza mapema
Arsenal itamenyana na Bayer Leverkusen ugenini saa 8:45pm saa za Kenya, ikianza mapema katika Raundi ya 16 ya Ligi ya Mabingwa, PSG itapiga baadaye dhidi ya Chelsea.
Mbinu mpya uingizaji wa mihadarati zinatia hofu
Biashara haramu ya dawa za kulevya inaendelea kubadilika kadiri mamlaka zinavyoimarisha...
CCM K’njaro yatoa kauli viongozi 70 kusaini kumkataa kigogo, kutishwa
Wakati msuguano ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Moshi Mjini ukiendelea kushika...
Kisumu: Mama ya mtoto aliyeuawa na gari la msafara wa Duale afunguka, asema alikuwa mwana wa pekee
Beatrice Cheptega aliomboleza mwanawe wa pekee Kiptoo, aliyefariki kwenye ajali iliyohusisha msafara wa Waziri Duale. Ripoti za kutatanisha zimeibuka za ajali hiyo.
Liverpool yalia na waamuzi, Atletico, Bayern zikitamba Ulaya
Slot amesema tofauti ya uchezeshaji kati ya Ligi Kuu England na Ligi ya Mabingwa Ulaya ni kubwa.
Devise roadmap for fair crop trade – PM
RUKWA: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has directed ministries responsible for regulating crop trade, in collaboration with the Weights and Measures Agency (WMA) and buyers, to devise a roadmap that…
Johnson Sakaja aeleza jinsi atakavyotumia pesa za ziada KSh 80b kutoka na na dili na William Ruto
Gavana Johnson Sakaja amezindua mpango wa maendeleo Nairobi wa KSh 80 bilioni unaolenga miradi ya maji taka, barabara, taa, usambazaji wa maji na usimamizi wa taka.
War-stranded Tanzanians return home in tears, urge peace
DAR ES SALAAM: EMOTIONAL scenes unfolded at the Julius Nyerere International Airport (JNIA) on Monday evening as 236 Tanzanians stranded in Dubai due to rising tensions in the Middle East…
RDC: Shambulio la ndege zisizo na rubani laripotiwa Mjini Goma
Kumetokea shambulio la ndege zisizo na rubani katika Mji wa Goma, mkoa wa Kivu Kaskazini nchini DRC, Mji ambao kwa sasa uko chini ya udhibiti wa waasi wa AFC/M23, Shambulio…
Nchimbi rallies green agenda
Tasks ministries to lead unified environmental conservation plan DODOMA: VICE-PRESIDENT Dr Emmanuel Nchimbi has called on ministries responsible for environmental matters to work collaboratively in developing a unified plan aimed…
Babu Owino awasilisha kesi mahakamani kuzuia kubomolewa kwa mali ya wafanyabiashara Gikomba
Babu Owino alipinga ubomoaji Nairobi katika Mahakama za Milimani, akitaja ukiukwaji wa haki za mali, notisi zisizotosha za kufukuzwa, na umiliki wa wakazi.
Kutoka Gaddafi hadi Khamenei: Kile anachosema Putin na asichosema baada ya kuuawa kwa washirika wake
Kinyume na kukamatwa kwa Maduro, mauaji ya Ali Khamenei yalikashifiwa vikali na Ikulu ya Kremlin, ingawa Putin hakuwataja wahusika wa mauaji hayo.
Magazeti ya Kenya: Mkasa wa Bungoma waipokonya familia watu 6 miongoni mwa 15 waliokufa Webuye
Magazeti ya Kenya yanaangazia mabadiliko makubwa ya kisiasa, changamoto za kiuchumi, na ajali ya Webuye, na hivyo kuathiri mazungumzo ya kitaifa Jumatano, Machi 11.
Kwa hali hii matumizi ya gesi yetu hayaepukiki
Niliwahi kuulizwa na rafiki wa Kijerumani: “kinywaji chenu asilia ni kipi? Tulikuwa katika...
Mchezaji na afisa wa timu ya taifa ya wanawake ya Iran wapewa hifadhi Australia
Mchezaji mmoja na afisa wa timu ya taifa ya wanawake ya Iran, wameomba kupewa hifadhi na mamlaka za Australia, saa chache baada ya wenzao wengine watano kupewa hifadhi na utawala…
Israel na Marekani wataamuaje wameshinda vita dhidi ya Iran?
Kushambulia na kuharibu makombora ya Iran ilikuwa lengo kuu la Israel katika vita walizoanzisha mwaka wa 2025.
Rwanda, Tanzania kuwa wenyeji wa michuano ya CECAFA na CAF
Baraza la vyama vya soka Afrika Mashariki na Kati, CECAFA, limeipa nchi ya Rwanda haki ya kuwa mwenyeji wa michuano minne ya ukanda katika kalenda yam waka 2026. Imechapishwa: 11/03/2026…
Mchakamchaka siku 12 za mashambulizi Mashariki ya Kati
Leo zimetimia siku 12 tangu kuanza kwa mashambulizi ya anga Mashariki ya Kati, baada ya...
Morocco inakuwa muagizaji mkubwa wa silaha barani Afrika
Kulingana na ripoti ya hivi karibuni ya SIPRI iliyochapishwa wiki hii, uagizaji wa silaha wa Morocco uliongezeka kwa 12% kati ya mwaka 2021 na 2025 ikilinganishwa na kipindi cha 2016-2020.…
Israel yaanzisha mashambulizi mapya dhidi ya Iran na Lebanon
Wakati huo huo, UAE inasema mifumo yake ya ulinzi wa anga inajibu "tishio la kombora".
Wafuasi wa serikali za kijeshi Sahel wanaunga mkono utawala wa Iran kwa jina la ‘Uhuru’
Tangu kuanza kwa vita kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, nchi zinazotawaliwa na wanajeshi barani Afrika zimebaki bila kuegemea upande wowote. Waziri Mkuu wa Mpito wa Mali alitoa…
Kenya: Hasira yaongezeka Nairobi baada ya mafuriko makubwa yaliyosababisha vifo vingi
Wakati mamlaka katika mji mkuu wa Kenya zikikosolewa kwa jinsi zinavyoshughulikia mafuriko ambayo yamesababisha vifo vya watu 49 na kusababisha uharibifu mkubwa, hasa jijini Nairobi, gavana wa jiji hilo anajitetea…
Rais wa Shirikisho la Soka la Kongo ahukumiwa kifungo cha Maisha
Mahakama ya Kongo imemhukumu Jean Guy Blaise Lionel Mayolas kwa ubadhirifu na utakatishaji fedha, hasa kuhusiana na misaada iliyotolewa wakati wa janga la Covid-19. Imechapishwa: 11/03/2026 – 05:00 Dakika 1…
Sababu TPA kuja na ada mpya, kuziahirisha
Siku moja baada ya ada mpya ya uendelezaji wa miundombinu ya bandari (PID) kulalamikiwa...
Abra alivyoipa kisogo ndoto ya ofisini akigeukia uendeshaji mitambo ya kilimo
Wakati dunia ikiendelea kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, inayoadhimishwa kila mwaka...
Mamia ya raia waanza kutoroka katika Mji wa Tigray, Ethiopia
Mamia ya raia kwenye mji wa Tigray nchini Ethiopia, wameanza kuondoka kwenye maeneo yao kutokana na kuongezeka kwa hofu ya kuzuka kwa mapigano mapya kati ya vikosi vya Serikali na…
Aliko Dangote aongoza orodha ya watu matajiri zaidi Afrika 2026
Klabu ya mabilionea barani Afrika inazidi kutajirika huku masoko ya hisa yakipanda na sarafu zikitengemaa katika bara zima, utajiri wa viongozi wakuu wa biashara katika eneo hilo umeongezeka.
Madaktari wataja njia rahisi ya kulinda figo
Dar es Salaam. Wakati kesho Alhamisi, Machi 12, 2026 ikiwa ni siku ya figo duniani, wataalamu...