Abra alivyoipa kisogo ndoto ya ofisini akigeukia uendeshaji mitambo ya kilimo
Wakati dunia ikiendelea kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, inayoadhimishwa kila mwaka...
Mamia ya raia waanza kutoroka katika Mji wa Tigray, Ethiopia
Mamia ya raia kwenye mji wa Tigray nchini Ethiopia, wameanza kuondoka kwenye maeneo yao kutokana na kuongezeka kwa hofu ya kuzuka kwa mapigano mapya kati ya vikosi vya Serikali na…
Aliko Dangote aongoza orodha ya watu matajiri zaidi Afrika 2026
Klabu ya mabilionea barani Afrika inazidi kutajirika huku masoko ya hisa yakipanda na sarafu zikitengemaa katika bara zima, utajiri wa viongozi wakuu wa biashara katika eneo hilo umeongezeka.
Madaktari wataja njia rahisi ya kulinda figo
Dar es Salaam. Wakati kesho Alhamisi, Machi 12, 2026 ikiwa ni siku ya figo duniani, wataalamu...
Tetesi za soka Jumatano: Arsenal wanamtaka Brandt
Arsenal wana shauku ya kumsajili kiungo wa kati wa Ujerumani Julian Brandt, 29, mkataba wake wa Borussia Dortmund utakapomalizika msimu huu wa joto.
Mo Dewji still youngest billionaire in Africa
DAR ES SALAAM: Mohammed Dewji, popularly known as Mo Dewji, has continued to maintain his status as Africa’s youngest billionaire. According to the latest report by the Forbes Magazine on…
Mvua iliyonyesha kuanzia alfajiri ya leo imesababisha mafuriko katika maeneo mbalimbali ya jiji la mwanza na kukwamisha shughuli…
Mvua iliyonyesha kuanzia alfajiri ya leo imesababisha mafuriko katika maeneo mbalimbali ya jiji la mwanza na kukwamisha shughuli za usafiri. (Feed generated with FetchRSS)
NTSA yaeleza jinsi waliofika eneo la ajali kuokoa maisha walivyokufa katika ajali iliyoua 15
NTSA inachunguza ajali ya Lugulu kwenye Barabara Kuu ya Webuye-Kitale iliyoua watu 18 baada ya trela kuwagonga waliokuwa wamefika eneo la ajali kuokoa maisha.
BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imtangaza mabadiliko ya uwanja kwa ajili ya mchezo namba 30 wa Ligi Kuu ya NBC, Tanzania Prison…
BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imtangaza mabadiliko ya uwanja kwa ajili ya mchezo namba 30 wa Ligi Kuu ya NBC, Tanzania Prisons FC dhidi ya Young Africans SC, ambao…
Mahakama yaruhusu kupigwa mnada mali za Raphael Tuju za mabilioni ya pesa mtaani Karen
Mahakama Kuu jijini Nairobi imetupilia mbali kesi ya Raphael Tuju, ikifungua njia kwa mali zaKE Karen kuuzwa kutokana na mgogoro wa mkopo wa mwaka wa 2015.
Mfuko wa Aga Khan wa Maendeleo ya Kiuchumi S.A
Mfuko wa Aga Khan wa Maendeleo ya Kiuchumi S.A. (AKFED), umetangaza kuingia makubaliano ya kuuza hisa zake zote (asilimia 100) kwa kampuni ya Taarifa Ltd inayomilikiwa na mfanyabishara maarufu nchini…
Georgina Njenga akanusha madai ya kurudiana na Baha, asema wanalea tu pamoja
Georgina Njenga amekana kufufua mapenzi na Tyler Mbaya (Baha) baada ya mazungumzo yao kwenye YouTube kuhusu kulea pamoja, akifafanua kuwa uhusiano wao.
PCCB recovers 119m/- after probing 5.2bn/- projects
Singida: THE Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) in Singida Region has recovered 119.16m/- and four vehicles after scrutinising funds used in the implementation of development projects worth 5.2bn/-.…
Msemaji wa Majeshi ya Iran: US inawatumia watu wa Asia Magharibi kama ngao
Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran, Brigedia Jenerali Abolfazl Shekarchi amesema baadhi ya makamanda na wanajesh wa Marekani wanawatumia raia wa eneo la Asia Magharibi kama ngao za binadamu…
Rostam ainunua Nation Media Group
NMG ni moja ya kampuni kubwa ya habari Afrika Mashariki, yenye shughuli zake nchini Kenya...
Kenya Power yatangaza kaunti 8 zitakazokuwa gizani kesho
KPLC ilisema matengenezo yaliyoratibiwa Machi 11. Maeneo ya Nairobi, Uasin Gishu, Kisumu, Bungoma, Nyeri, na Kakamega miongoni mwa mengine, kutokana na matengenezo.
Onyo la Larijani kufuatia vitisho hewa vya Trump dhidi ya wananchi wa Iran
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametoa onyo kali akijibu vitisho vipya vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani vya kuwashambulia na kuwaua wananchi wa Jamhuri…
Kutana na mumewe aliyekuwa rais wa LSK, Faith Odhiambo, ambaye ni mtanashati ajabu
Aliyekuwa rais wa LSK Faith Odhiambo amemtambulisha mumewe baada ya kuweka ndoa yake kuwa ya faragha kwa miaka mingi. Wakenya walisisimka na kumfurahia.
ACT – Wazalendo yafikisha kilio cha demokrasia UN
Amedai kumekuwa na ukandamizaji wa demokrasia, uminyaji wa haki na uhuru wa vyombo vya habari.
Ziara ya Kihongosi Kanda ya Ziwa daraja kati ya CCM na wananchi
Ziara ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha...
Sudan Kusini: Wanajeshi wa UN kusalia katika Mji wa Akobo
Tume ya Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS), imesema wanajeshi wake wa kulinda amani watasalia kwenye mji wa Akobo, kuwalinda raia, licha ya kutakiwa kuondoka na jeshi la serikali.…
Iran yasema haitarudi nyuma, Israel na Marekani zikiendelea kuishambulia
Marekani na Israeli, zimeendelea kueteleza mashambulio mazito nchini Iran, ambayo inasema haitarudi nyuma, katika vita hivyo ambayo haijafahamika vitamalizika lini. Imechapishwa: 10/03/2026 – 15:57Imehaririwa: 10/03/2026 – 16:22 Dakika 1 Wakati…
Askofu Msonganzila alaani Polisi kutumia nguvu kuwatawanya Bawacha
Polisi Mkoa wa Mara walipiga marufuku kongamano la Bawacha la maadhimisho ya Siku ya Wanawake...
Madagascar : Kiongozi wa kijeshi amfuta kazi Waziri wake Mkuu
Kiongozi wa kijeshi nchini Madagascar Kanali Michael Randrianirina, amemfuta kazi Waziri Mkuu wake na kulivunja baraza lake la Mawaziri, aliloteua baada ya kuchukua madaraka miezi mitano iliyopita, baada ya maandamano…
Taasisi ya Nelson Mandela yaingia makubaliano ya ushirikiano na Global Education Link
Ameongeza kuwa ushirikiano huo unafungua milango ya kutafuta rasilimali fedha, kuandika miradi...
Mradi wa KKKT wazalisha umeme, wanufaisha vijiji saba Makete
Umeme unaozalishwa katika mradi huo unatajwa kusaidia kuongeza upatikanaji wa umeme wa uhakika...
Imani za kishirikina zatishia wananchi kudai haki zao Tanga
Baadhi ya wananchi jijini Tanga wameeleza hofu ya imani za kishirikina, imekuwa kikwazo kwao...
M23 inapanga kuwaachia huru wafungwa wa kijeshi wa serikali
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, waasi wa AFC/M23, wanasema wana mpango wa kuwaachia huru mamia ya wafungwa wa kijeshi wa serikali, wanaoshikiliwa katika maeneo wanayodhibiti. Imechapishwa: 10/03/2026 – 15:36…
Vifaa vya Sh10 milioni kuwainua wakulima wanawake Tabora
Wanawake wanaojishughulisha na kilimo mkoani Tabora wamepewa zana za kilimo na pembejeo, pamoja...
Dar braces for the 4th Accelerate Women’s Executive Summit
DAR ES SALAAM: THE Accelerate Foundation will host the fourth edition of the Accelerate Women’s Executive Summit this Saturday, 14th March at Johari Rotana Hotel in Dar es Salaam, in…
Wanaharakati wataka uchunguzi madai ya Teresia mbele ya Waziri Mkuu
Muungano wa mashirika yanayotetea haki za wanawake na wasichana, Tanzania Dadas Rise Coalition...
Daraja la Sh9.4 bilioni kuondoa adha kwa wananchi Magu
Wananchi wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, wameeleza adha wanazokumbana nazo wakati wa kuvuka...
Qalibaf: Hatufuatilii kusimamisha vita/kujitanua utawala wa Kizayuni kutasambaratishwa
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitiza kuwa mchokozi anapaswa kumtwangwa ngumi mdomoni ili apate somo na asithubutu kufikiria tena kuivamia Iran.
Araqchi: Tel Aviv na Washington zinabeba dhima ya janga la kiuchumi nchini Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa wanaobeba dhima ya moja kwa moja ya janga la kiuchumi nchini Marekani ni Israel na waungaji mkono wake huko Washington.
Zigo la migogoro ya ardhi lashushwa kwa AG, mawaziri
Baada ya malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wananchi kuhusu migogoro ya ardhi nchini, Waziri...
Jamhuri yaomba kufanya mabadiliko kesi ya silaha inayomkabili Mkaguzi wa Polisi
Jamhuri katika kesi kukutwa na silaha inayomkabili, umeiomba Mahakama kufanya mabadiliko ya...
Uhispania: Kamisheni ya Ulaya itetee sheria za kimataifa/ Wallace: Muungano wa Epstein unalenga raia nchini Iran
Naibu Waziri Mkuu wa Uhispania amekosoa vikali matamshi ya Mkuu wa Kamisheni ya Ulaya, Ursula von der Leyen, kuhusu utaratibu wa kimataifa na kuunga mkono vita vya uvamizi dhidi ya…
ZFF yataja mikakati ya kuinua soka Zanzibar
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Zanzibar (ZFF), Hussein Ahmada Vuai amesema shirikisho hilo linaendelea na jitihada za kuleta mabadiliko katika Ligi Kuu Soka Zanzibar ili kutambulika zaidi Afrika.
Mvutano wazuka mabasi kuhamishiwa kituo cha Kange Tanga
Mvutano umeibuka katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Tanga (RCC) baada ya wajumbe...
Kihongosi: Msibebe ajenda, msitumike
MWANZA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi amewataka wananchi kutokubali kutumika vibaya kwa kubeba ajenda za watu wasizozijua. Kihongosi ameeleza hayo leo…
Matumaini, mashaka ziara ujumbe UN Tanzania
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa (UN), umeanza vikao vya mazungumzo na vyama vya siasa kuhusu...
Wawili mbaroni kupatikana na vipande tisa vya meno ya tembo vyenye uzito wa kilo 30
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linashikilia watu wawili kwa tuhuma za kupatikana na vipande tisa...
Tanzania steps up collaboration with private firms to implement Education Policy 2014
DODOMA: THE Ministry of Education, Science and Technology has stepped up collaboration with private education stakeholders to support the implementation of the Education and Training Policy 2014, as part of…
Mo Dewji akomaa orodha ya mabilionea Afrika Mashariki, Motsepe apanda
Mohammed Dewji anaendelea kuongoza katika orodha ya mabilionea wenye umri mdogo zaidi Afrika...
16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya kuanza leo na rekodi tofauti
Hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inaanza leo Jumanne, Machi 10, 2026, ambapo timu...