ONGEA NA AUNT BETTIE: Anapenda sana ‘mchezo’ nahisi kuishiwa nguvu
Anti siyo kama ninajihami ila naona kabisa ubavu wangu ni mdogo kumtosheleza huyu nimpendaye.
Rais wa Cuba asema mkutano ulioitishwa na Donald Trump huko Florida ni ‘ukoloni mamboleo’
Rais wa Cuba Miguel Díaz-Canel ameuelezea kama “ukoloni mamboleo” mkutano ulioitishwa Jumamosi, Machi 7, huko Florida na mwenzake wa Marekani, Donald Trump, ambaye amedai katika tukio hilo kwamba Cuba “inaishi…
Tanzania’s Vision 2050 will be built by its women, girls
DAR ES SALAAM: IF Tanzania is to achieve its ambitions for prosperity, resilience and inclusive growth, one fact is impossible to ignore: the country’s future will depend on the full…
Norway: Mlipuko wasikika nje ya ubalozi wa Marekani Oslo
Mlipuko mkubwa umesikika usiku wa Jumamosi, Machi 7 kuamkia Jumapili, Machi 8, 2026, nje ya ubalozi wa Marekani huko Oslo, Norway, lakini hakuna majeraha yaliyoripotiwa, polisi ya Norway imetangaza. Imechapishwa:…
Marietha anavyojitegemea kupitia kazi ya bodaboda
Alipofika Dar es Salaam, hakukutana na ‘barabara za dhahabu’ kama wengi wanavyodhani, bali...
Anko Kitime: Muziki una nguvu za ajabu sana – 2
Muziki una siri kubwa sana. Kila kabila hapa nchini lina muziki wake wa asili. Na kwa kawaida...
Donald Trump: ‘Tutatuma wanajeshi wa ardhini kukagua akiba ya uranium iliyorutubishwa’
Rais wa Marekani ametaja siku ya Jumamosi, Machi 7, uwezekano wa kutuma wanajeshi wa ardhini nchini Iran kukagua akiba ya uranium iliyorutubishwa. Alipoulizwa kuhusu hilo, ameita uwezekano huo “mkubwa,” huku…
Walinzi wa Mapinduzi wa Iran wako kayari kukabiliana na ‘miezi sita ya vita vikali’
Walinzi wa Mapinduzi wa Iran wametangaza leo Jumapili kwamba wako na uwezo wa kuhimili “angalau miezi sita ya vita vikali” dhidi ya Marekani na Israel. Wanadai kuwa tayari wameshambulia zaidi…
Tetesi za Soka Ulaya Jumapili: Manchester United inamlenga Tavernier
Manchester United wameweka mikakati yao ya kumsajili mmoja wa wachezaji nyota wa Bournemouth, huku Unai Emery akiwa njiani kwenda Aston Villa na Newcastle United wanahitaji kumwinda mlinda mlango mpya.
Tanzania’s transport boom reshapes economy, connectivity fast
DAR ES SALAAM: AN old Swahili proverb says, “Ukiona vyaelea ujue vimeundwa” that translates as “When you see it float, know it was crafted.” Tanzania’s transport sector embodies this wisdom.…
Poison in biscuits? Traffickers declare war
DAR ES SALAAM: TANZANIA stands at a critical moment in the fight against drugs. The nation cannot afford complacency while criminals scheme to poison communities, destroy families and weaken the…
Wanawake waliopigana katika vita vya wenyewe kwa wenyewe hawataki kuona vita vingine tena
Wanawake wapiganaji wanakumbuka jinsi mgogoro katika eneo la kaskazini la Tigray ulivyoharibu maisha yao, huku hofu ikiongezeka kwamba mapigano yanaweza kuanza tena.
Electric vehicles 85 per cent cheaper to run
DAR ES SALAAM: DRIVING an electric vehicle (EV) in Tanzania could cost up to 85 per cent less per kilometre compared to petrol or diesel vehicles, as the government steps…
Tanzania promotes sustainable use of ocean resources
DODOMA: TANZANIA has marked the 29th anniversary of the Indian Ocean Rim Association, highlighting the importance of regional cooperation in the sustainable use of Indian Ocean resources. The regional organisation…
UK supports Tanzania green agenda
DAR ES SALAAM: THE British Embassy in Tanzania has reaffirmed its commitment to support Tanzania’s environmental protection and climate change initiatives through closer collaboration with the Vice-President’s Office. The pledge…
Tanzanian named EAC SG
ARUSHA: THE Heads of State of the East African Community (EAC) have endorsed Tanzanian national Ambassador Stephen Mbundi as the new Secretary General of the regional bloc. Ambassador Mbundi was…
Talaka yenu inawafunza nini watoto wenu?
Inakuwaje mtu anakuwa kiongozi mashuhuri, msomi aliyebobea au tajiri wa kutajwa, lakini...
Samia calls for advancing women’s rights
ARUSHA: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has called for stronger collective efforts to advance women’s rights and equality, saying empowering women and girls is essential for achieving the country’s development goals.…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 8, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Taasisi ya Mariam Mwinyi inavyobadilisha maisha Zanzibar
WAKATI wa maji kupwa katika ufukwe wa Zanzibar, wanawake huingia taratibu ndani ya maji ya joto ya Bahari ya Hindi, wakifunga vipande vidogo vya mwani kwenye kamba zilizofungwa kati ya…
EAC FINANCIAL CONTRIBUTIONS: Bloc adopts new formula
ARUSHA: THE East African Community (EAC) has adopted a new financing formula requiring partner states to contribute equally and according to their economic capacity, replacing the previous funding arrangement used…
Iron Ladies light up Tanzania’s International Women’s Day
DAR ES SALAAM: THE Tanzanian Chief Executive Officer(CEO), and the founder of RARE Mining East Africa Limited, Leminatha Kabigumila and Engineer Rose Mayemba, heightened Tanzanian women’s status in the mining…
Jamii imetakiwa kuzingatia misingi ya dini ili kuwa na jamii yenye maadili, upendo na mshikamano wa kitaifa na hofu ya Mungu
Jamii imetakiwa kuzingatia misingi ya dini ili kuwa na jamii yenye maadili, upendo na mshikamano wa kitaifa na hofu ya Mungu. Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano…
Chatham House: Vita na Iran ni kamari ya kisiasa, Uhispania: Kushambulia Iran ni kosa kubwa
Kituo cha kifikra cha Uingereza cha Chatham House kimekiri kwamba Rais wa Marekani, Donald Trump, amecheza "kamari kubwa ya kisiasa" kwa kuanzisha vita dhidi ya Iran.
Ujumbe wa TAMWA kwa wanahabari wanawake
WAKATI kesho Machi 8 ni Siku ya Wanawake Duniani, waasisi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), wamekutana na kukumbushia safari ya mafanikio ya chama hicho na kuhamasisha…
SADC seeks to enhance intra-regional trade to boost industries, food security
PRETORIA: THE Southern African Development Community (SADC) has urged member states to accelerate regional integration efforts in order to boost intra-regional trade, strengthen industrial development, and address food security challenges…
Rais wa Afrika ya Kati afichua sura mpya ya ukoloni
Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amesema katika: "Diplomasia ya adhabu na vikwazo ni barakoa mpya ya ukoloni."
Msemaji wa IRGC: Tunavisubiri kwa hamu kubwa vikosi vya US kwenye Lango-Bahari la Hormuz
Msemaji wa Kamandi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC ya Khaatamul-Anbiyaa amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inakaribisha na kusubiri kwa hamu kubwa kuthibiti kwa madai ya…
BUWASA yawakumbuka wenye uhitaji
BUKOBA: MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Bukoba (BUWASA) imetoa msaada na vifaa vya shule katika kituo cha watoto wenye uhitaji cha Tumaini Children Center kilichopo mtaa wa Kyakairwabwa,…
Kliniki ya ardhi Tanga yatatua migogoro 37, wanawake wanufaika
Tanga. Wataalamu wa ardhi mkoani Tanga wamefanikiwa kusikiliza jumla ya migogoro 49 ya ardhi...
Wanafunzi chuo cha ardhi Tabora matatani kwa kumng’oa meno mlinzi
Mkuu huyo amesema usiku huo huo, wakajiunga tena, wanafunzi hao wakaenda getini kwa mlinzi na...
Vijana 308 wapewa Sh7 bilioni kutekeleza miradi ya uvuvi
Kwa mujibu wa Nanauka, vijana wenye umri wa miaka 15 hadi 35 nchini wanakadiriwa kufikia...
Wakati mfumuko wa bei ya mafuta ukizidi kuyakumbuka mataifa mbalimbali duniani, Tanzania imezindua teknolojia ya kisasa ya magar…
Wakati mfumuko wa bei ya mafuta ukizidi kuyakumbuka mataifa mbalimbali duniani, Tanzania imezindua teknolojia ya kisasa ya magari ya umeme huku Serikali ikiahidi kujenga vituo nchi nzima ili watumiaji wa…
CCM yagusia zao la pamba
MASWA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaendelea kuisimamia na kusisitiza serikali kuhakikisha bei ya pamba inamnufaisha mkulima. Katibu wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi…
Fridah Mwaka ahuzunishwa mno na kifo cha babu yake mpendwa
Mtangazaji wa NTV Fridah Mwaka anaomboleza kifo cha babu yake mpendwa. Heshima yake ya dhati inaonyesha uhusiano wa kina . Rambirambi tele kutoka kwa mashabiki.
Larry Madowo ajaribu miwani ya Meta Ray-Ban huku mjadala kuhusu faragha ukiongezeka
Larry Madowo alijaribu miwani ambayo wengi hutumia kwa siri kurekodi mambo huku kukiwa na mjadala kuhusu masuala ya faragha hasa baada ya kisa cha Mrusi, Kenya.
Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi amewasili mkoani Mtwara kwa ziara ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme
Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi amewasili mkoani Mtwara kwa ziara ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme. Akiwasili leo tarehe 07 Machi 2026 amepokelewa na Mkuu wa Mkoa…
Waongoza watalii watakiwa kuchukua tahadhari
Amesema wanaendelea kuhakikisha shughuli za utalii zinaendelea kama kawaida, kwani watalii...
Sh800 bilioni zitakavyomaliza tatizo la umeme Zanzibar
Kwa sasa, Zanzibar ina kiasi cha umeme cha megawati 135 na upungufu wa megawati 65.
Maeneo ya fursa yanayoweza kuwakuza wanawake kiuchumi
Wadau wa maendeleo wamebainisha maeneo muhimu yenye fursa yanayoweza kuongeza ushiriki wa...
Wakazi wa Nairobi wamvaa Babu Owino kwa kutumia mafuriko kufanya kampeni: “Utaboresha vipi kumzidi”
Mafuriko ya Nairobi yamezua dhoruba ya kisiasa kuelekea 2027, huku Gavana Sakaja akikosolewa vikali na Mbunge Babu Owino akiapa mageuzi ya akichaguliwa kuwa gavana.
Sh1.7 bilioni zanufaisha vikundi 165 vya wanawake Mbarali
Hatua hiyo ni kutekeleza maelekezo ya Serikali, kuzitaka halmashauri nchini kutoa mikopo ya...
Mashambulio ya angani yaendelea kuirpotiwa Mashariki ya kati
Marekani na Israel, zimeendelea kutekeleza mashambulizi ya angaa kwa wiki ya pili leo nchini Iran, ambayo imekuwa ikilipiza kisasi katika nchi za eneo la Ghuba. Imechapishwa: 07/03/2026 – 15:27Imehaririwa: 07/03/2026…
EAC elects Museveni as its new chairman
ARUSHA: THE Ugandan President, Yoweri Kaguta Museveni, has been appointed as the new chairman of the East African Community, succeeding the Kenyan President, William Ruto, whose term has ended. The…
Watu 23 wapoteza maisha katika mafuriko jijini Nairobi
Watu 23 wamepoteza maisha jijini Nairobi nchini Kenya, kwa mujibu wa ripoti za polisi, kufuatia mvua kubwa iliyosababisha mafuriko usiku kucha kuamkia siku ya Jumamosi. Imechapishwa: 07/03/2026 – 15:16 Dakika…
Naibu Waziri akabidhi viti mwendo 10 Manyara
Ndege, ambaye pia ni mbunge wa viti maalumu mkoa wa Manyara, amesema lengo ni kupunguza ugumu...
Yanga yaibua mambo matano, Bodi ya Ligi yajibu
Ofisa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe amesema kuwa wamelazimika kufanya hivyo kwa...