Parents urged to strengthen families
DAR ES SALAAM: MINISTER for Community Development, Gender, Women and Special Groups Dr Dorothy Gwajima has urged parents and guardians to prioritise responsible parenting, warning that weak family foundations can…
Magazeti: Familia yafanya mazishi bila maiti ya Mkenya aliyekufa katika vita vya Urusi na Ukraine
Huzuni ilijaa kijiji cha Mboroti huko Ndeiya, kaunti ya Kiambu, huku familia na marafiki wa James Kamau Ndung'u, 33, wakikusanyika kwa mazishi ya kihishara.
Picha: Mbunge wa Emurua Dikirr Johanna Ng’eno azikwa nyumbani kwake Mogondo
Mbunge wa Emurua Dikirr Johanna Ng'eno alizikwa Mogondo, kaunti ya Narok, huku maelfu ya waombolezaji na viongozi wa kitaifa wakihudhuria sherehe ya mazishi yake
Mambo ya kuzingatia msanii kabla ya kusaini mkataba
Siyo suala la kushangaza msanii aliyesajiliwa katika rekodi lebo fulani kuacha lawama pindi...
Trump aitaka Iran ijisalimishe bila masharti, Putin azungumza na rais wa Iran
Trump ametoa wito huo wakati vita kati ya Marekani ikishirikiana na Israel dhidi Iran vinaingia wiki ya pili huku mashambulizi ya kijeshi yakiripotiwa kote Mashariki ya Kati.
Kabudi aongoza ujumbe wa Tanzania mikutano ya Jumuiya ya Madola London
Kikao cha CMAG kinatarajiwa kujadili utekelezaji wa maamuzi ya awali ya jumuiya hiyo pamoja na...
Tetesi za Soka Ulaya: De Zerbi, Keane au Hoddle kuokoa jahazi la Spurs?
Majina kadhaa yakiwemo ya wachezaji wawili wa zamani, yanatajwa kuwania nafasi ya kuwa kocha wa Tottenham Hotspur, huku mabingwa wa Italia Napoli wakipanga kuhakikisha wanambakiza kwa muda mrefu wa kiungo…
Mimi Mars atamtosa tena Vee Money?
Mwimbaji wa Bongofleva, RnB na Pop, Mimi Mars (33), a.k.a Chugga Queen anatarajia kuachia...
Familia ya Kenya Yamfukuza Mke wa Mwanao kwenye Video Iliyopepea, Yasimulia Alichomfanyia Mumewe
Video iliyosambaa mtandaoni ilionyesha familia ya Kenya ikimfukuza mke wa mwanao akiondoka kwa pikipiki na mtoto wake na mizigo, huku kukiwa na madai mazito kumhusu.
Wachambuzi wadai Pakistan ipo katikati ya Iran na Marekani
Wameeleza kuwa kuna baadhi ya mataifa kama Hispania yamekuwa na msimamo thabiti ili kutoingia...
Pacha wa kike waliojijengea umaarufu kwa kazi ya upagazi Mlima Kilimanjaro
Pacha Enjolight na Heavenlight Mafuwe (33), wakazi wa Kijiji cha Uduru, Wilaya ya Hai, mkoani...
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 7, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Shinyanya kuwa kitovu uchumi kanda ya ziwa
SERIKALI ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imejipanga kuhakikisha Mkoa wa Shinyanga unakuwa kitovu cha uchumi katika Kanda ya Ziwa. Katibu wa NEC, Itikadi,…
Madhara wanawake wanaotumia steroidi kujenga misuli
Mapitio ya mwaka 2024 ya tafiti za kimataifa yalibaini kuwa takriban asilimia nne ya wanawake...
Fanya haya kuukwepa ugonjwa wa presha
Kuna njia nyingi za kuukwepa ugonjwa huu ikiwa mtu atachukua hatua za mapema.
Johanna Ng’eno: Orodha kamili ya ahadi alizotoa Ruto wakati wa mazishi ya mbunge wa Emurua Dikirr
Rais William Ruto alitangaza miradi na mipango ya sapoti wakati wa mazishi ya Johanna Ng’eno huko Narok, ikijumuisha chuo kikuu na misaada kwa familia.
Kanuni ya siku 90 inavyoweza kubadilisha tabia
Wataalamu wa saikolojia duniani wametengeneza ‘Kanuni ya siku 90’ kama mhimili wa mabadiliko ya...
PM punishes Ariana Co for the Eyasi Dam failure
ARUSHA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has ordered the suspension of the travel documents of the contractor from Tunnel Sadd Ariana Company (Ariana Co) following failure to execute the construction of…
Wakuu EAC kuja na jina la Katibu Mkuu, ugumu wa kumpata watajwa
Mkutano wa 25 wa dharura wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)...
Arusha, Kilimanjaro welcome Dr Samia ahead of the EAC Heads of State summit
ARUSHA: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has arrived in Arusha today, March 6, 2026, ahead of tomorrow’s 25th Ordinary Summit of Heads of State of the East African Community (EAC) at…
Mjadala wa ubora wa wahitimu wawekwa mezani
Wakati mjadala kuhusu ubora wa wahitimu wanaozalishwa na vyuo vikuu nchini ukiendelea kushika...
Polisi Tanzania plot Yanga’s downfall at KMC Stadium
DAR ES SALAAM: POLISI Tanzania have intensified drills for the CRDB Cup against holders Young Africans at KMC Stadium in Dar es Salaam this weekend. Speaking to media outlets, the…
Manyara watakiwa kuchukua tahadhari ya uviko – 19
Wananchi wa Mkoa wa Manyara wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya...
William Ruto atoa agizo mjane wa Sportpesa Ronoh aajiriwe katika Wizara ya Kilimo
Rais Ruto ameahidi msaada kwa familia za waathiriwa wa ajali, ikiwa ni pamoja na kuajiriwa kwa mjane wa Sportpesa Ronoh, huku akitoa heshima za dhati mazishini.
William Ruto atoa aagizo mjane wa Sportpesa Ronoh aajiriwe katika Wizara ya Kilimo
Rais Ruto ameahidi msaada kwa familia za waathiriwa wa ajali, ikiwa ni pamoja na kuajiriwa kwa mjane wa Sportpesa Ronoh, huku akitoa heshima za dhati mazishini.
Maritime Police College honours the Women’s Day humanitarian aids
MWANZA: THE Tanzania Maritime Police College has continued engaging with the community as part of activities to mark International Women’s Day, reflecting the institution’s commitment to solidarity and care for…
Serengeti kujengwa madaraja makubwa matano kudhibiti mafuriko
Serikali imepanga kujenga madaraja makubwa matano katika maeneo korofi ndani ya Hifadhi ya...
Tanzania touts for Evs whose operation is 85pc cheaper than diesel vehicles
DAR ES SALAAM: THE Permanent Secretary of the Ministry of Energy, Engineer Felchesmi Mramba, has revealed that research indicates operating electric vehicles (EVs) in the country is about 85 percent…
LIVE: The Citizen Rising Woman 2026
Jukwaa hili linafanyika ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani...
Dk Mwigulu aagiza mkandarasi wa Bwawa bonde la Eyasi asakwe, akamatwe
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amemwagiza Kamishna Jenerali wa Uhamiaji nchini, kumtafuta...
Chakula silaha ya siri dhidi ya maradhi
Unapokula tunda, mboga, au nafaka, usitazame tu ladha au shibe; tazama mchanganyiko wa kemikali...
Maofisa elimu wakumbushwa nidhamu, itifaki kazini
Wakati jitihada za kuboresha sekta ya elimu nchini zikiendelea kuchukua nafasi kubwa katika...
Masauni atoa maagizo matano bodi ya NCMC
DAR ES SALAAM: Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni ametoa maagizo matano kwa Bodi ya Kituo Taifa cha Kuratibu Kaboni (NCMC)…
Vijana kupewa nafasi ushirikiano CCM, Frelimo
DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Frelimo cha Msumbiji vimekubaliana kuwashirikisha vijana ili wafahamu uhusiano uliopo kati ya vyama hivyo na kuhakikisha wananchi wa mataifa hayo…
Rigathi Gachagua Atoa Heshima ya Kugusa kwa Johana Ng’eno, Ashutumu Maombolezo ya Kinafiki
Aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagua alimuenzi mbunge marehemu Johana Ng’eno, akisifu ujasiri wake huku akikashifu maombolezo ya kinafiki kutoka kwa watesi wake.
BRAC lures women to embrace financial literacy, heading to the IWD celebrations
DAR ES SALAAM: TANZANIAN women have been encouraged to embrace financial literacy and have a full understanding of terms and conditions before accessing any type of loan. This has been…
Siku ya 7 ya Vita; Vikosi vya Iran Vyalenga Kitovu cha Tel Aviv
Katika siku ya saba ya vita vya kukabiliana na uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza wimbi…
Mkandarasi aelekezwa kuongeza kasi ujenzi stendi
SINYANGA: MKANDARASI aliyepewa kazi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa stendi mpya ya mabasi ya Katunda mkoani shinyanga ameelekezwa kuongeza kasi ya utekelezaji ili mradi uweze kukamilika na kutoa…
RC Mara ashusha zigo la elimu ya udumavu kwa wahudumu wa afya
Wakurugenzi wa halmashauri tisa za wilaya mkoani Mara, wametakiwa kutenga bajeti ya kuwezesha...
Mbarali kutumia Sh2.5 bilioni kukamilisha miradi viporo
Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, imekuja na mikakati maalumu ya kufanya tathmini...
Wawekezaji wanawake soko la hisa bado kiduchu
Wakati zaidi ya Watanzania 800,000 wakiwa wamewekeza katika Soko la Hisa la Dar es Salaam...
TRA inaugurates Women and Tax Forum to empower businesswomen
DAR ES SALAAM: THE Commissioner General of the Tanzania Revenue Authority (TRA), Yusuph Mwenda, has officially launched the Women and Tax Forum aimed at empowering women engaged in business by…
Gavana wa Narok afichua jinsi Johanna Ng’eno alivyomuoa mpwa wake
Gavana wa Narok Patrick Ole Ntutu alieleza jinsi Johana Ng'eno alijikuta amemuoa mpwa wake baada ya kusukumwa kwa muda mrefu atafute mke..........
Social Security funds open doors for self-employed Tanzanians
DAR ES SALAAM: The Minister of State in the Prime Minister’s Office responsible for Labour, Employment and Industrial Relations, Deus Sangu, has urged the self-employed Tanzanians to join social security…
SHIMMUTA hands over Workers’ Sports Policy to NSC
DAR ES SALAAM: THE Chairperson of the Tanzania Public Institutions, Agencies and Private Companies Sports Federation (SHIMMUTA), Roselyne Massam, has officially handed over the Workers’ Sports Policy titled “Sports for…
Marekani kuwanyima visa viongozi wa juu wa Rwanda
Siku chache baada ya kutangaza kuliwekea vikwazo jeshi la Rwanda pamoja na maofisa wake wa juu wa kijeshi, waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Marco Rubio, amesema nchi yake…
Katavi RC orders MUWASA to timely complete the 22bn/-Water Project
MPANDA: KATAVI Regional Commissioner Mwanamvua Mrindoko has directed the Mpanda Water Supply and Sanitation Authority (MUWASA) to intensify supervision of the 28 Towns Water Project to ensure it is completed…
Planet Labs inachuja picha za satalaiti za hasara za kambi za Marekani zinazotwangwa na Iran
Kampuni ya huduma za satalaiti ya Marekani imetangaza kuwa, inachelewesha kutoa picha zake kwa siku nne ili kuzuia tathmini na uchambuzi wa hasara zilizosababishwa kwenye kambi za kijeshi za Marekani…