Mwinyi commits to improve school infrastructure
ZANZIBAR: ZANZIBAR President, Dr Hussein Mwinyi, has reaffirmed the government’s commitment to strengthening teaching and learning infrastructure in all public schools across Unguja and Pemba, saying the move is key…
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tunayo mengi ya kushangaza yatakayomtia maumivu makubwa adui
Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh, amemuonya yeyote anayewatishia watu wa Iran kwa shambulio la kijeshi, akisema kwamba Tehran ina "mastaajabu ya kukabiliana na vitisho hivyo, na…
Qalibaf: Taifa la Iran limemzuia adui kufikia malengo yake
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kujitokeza tena kwa Wairani uwanjani kumebatilisha uchawi wa uadui wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran,…
Tourism, a key pillar for Tanzania’s economic growth and jobs in 2026
DAR ES SALAAM: AS Tanzania looks ahead to 2026, tourism stands out as one of the most promising drivers of economic growth, foreign exchange earnings and employment creation. With its…
Mwinyi awards medals to leaders, citizens
ZANZIBAR: ZANZIBAR President and Chairman of the Revolutionary Council, Dr Hussein Mwinyi has awarded medals to distinguished leaders and citizens in recognition of their exceptional service and contribution to the…
Government steps up health infrastructure investment
ZANZIBAR: THE Zanzibar government will continue to strengthen health infrastructure, including staff housing, health centres and hospitals, as part of sustained efforts to improve healthcare services for residents of Unguja…
TCRA in renewed drive to promote TZ’s identity in cyberspace
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) will launch a National Awareness Campaign on the Country Code Domain Name on websites and emails to promote the Country’s identity…
Z’bar Maruhubi Port project signals new era
ZANZIBAR: AS fishermen, traders and commuters gathered along the Maruhubi shoreline, hope was visible on their faces, that the sea which has sustained generations of Zanzibaris is about to open…
Peace, stability, Tanzania’s most valuable strength
DAR ES SALAAM: PEACE has always been Tanzania’s quiet power. It is rarely dramatic, often unnoticed, yet deeply embedded in the country’s everyday life. It is what allows a farmer…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55….JANUARI 13, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55....JANUARI 13, 2025
Schools reopen as govt confirms adequate infrastructure, textbooks
DAR ES SALAAM: AS schools reopen countrywide today, the government has assured the public that it is fully prepared to accommodate both new and continuing students, while ensuring that all…
Arsenal yashusha kocha mwingine
Arsenal inataka iwe tishio zaidi kwenye mipira iliyokufa baada ya kumchukua gwiji wa mipira ya...
…TPDF leads security forces’ show of strength
ZANZIBAR: CLAD in full combat gear and marching in tight formation, defence and security units led by the Tanzania People’s Defence Forces (TPDF) turned the streets of Zanzibar into a…
#HABARI: Rais William Ruto amemkosoa kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka, kwa kile anasema ni kudhalilisha miradi yake y…
#HABARI: Rais William Ruto amemkosoa kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka, kwa kile anasema ni kudhalilisha miradi yake ya maendeleo, hasa mradi wa mtaji wa biashara kwa vijana. Rais…
Jihad Islami ya Palestina: Muqawama hauwezi kutokomezwa
Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina amesisitiza katika taarifa yake kwamba Muqawama na mapambano ya ukombozi wa Palestina ni sehemu muhimu ya taifa la Palestina…
Morocco yatangaza kumalizika kwa miaka saba ya kiangazi baada ya mvua za msimu wa baridi
Kiangazi cha miaka saba nchini Morocco kimemamilizika baada ya mvua za msimu wa baridi, Waziri wa Maji Nizar Baraka alisema siku ya Jumatatu.
Unafahamu kuwa nchi ya Israel lilikuwa jangwa tupu?
Unafahamu kuwa nchi ya Israel lilikuwa jangwa tupu? Wamewezaje kutoka hapo mpaka kuwa kinara wa Kilimo Biashara Fuatilia makala hii iliyoandikwa na kusomwa na @marcel__kitabu #LiveOnClouds360 #Clouds26Nyoosha
Zaidi ya wanafunzi 600 wakiwemo wanaoishi mazingira magumu wa Kata ya Kalangalala Manispaa ya Geita Mkoani Geita wamepatiwa vifa…
Zaidi ya wanafunzi 600 wakiwemo wanaoishi mazingira magumu wa Kata ya Kalangalala Manispaa ya Geita Mkoani Geita wamepatiwa vifaa vya shule na Diwani wa Kata hiyo kwa ajili ya kuanza…
MABADILIKO CHANYA: Mfumo, mchakato unaopatikana katika familia
DESEMBA 2, 2025 wakati anahutubia Wazee wa Dar es Salaam na Watanzania kwa ujumla, Rais Samia Suluhu Hassan alisisitiza jukumu muhimu la wazazi na walezi kushirikiana na kuelimisha watoto kama…
Revolution earns kudos
Samia urges Tanzanians to uphold its core values JK hails great strides attained in past six decades DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has urged Tanzanians to continue embracing…
Azam vs Yanga fainali ya wakubwa Gombani
Kuna vita nyingi zinakwenda kushuhudiwa leo Jumanne katika fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026...
Hasira ya wakulima: Matrekta ya FNSEA na wakulima vijana waingia Paris
Karibu matrekta kumi na tano ya FNSEA (Shirikisho la kitaifa la Vyama vya Wakulima) na wakulima vijana wameingia ktika mji mkuu wa Ufaransa, Paris, leo Jumanne, Januari 13, muda mfupi…
#HABARI: Watoto wawili wa familia moja, wamenusurika kifo baada ya nyumba yao iliyopo mtaa wa Ligula A, Kata ya Chuno Manispaa y…
#HABARI: Watoto wawili wa familia moja, wamenusurika kifo baada ya nyumba yao iliyopo mtaa wa Ligula A, Kata ya Chuno Manispaa ya Mtwara mkoani Mtwara, kuteketea kwa moto huku chanzo…
#MEZAHURU: Kitu gani kinachangia vijana wengi wasitumie fursa ya mitandao ya kijamii ili kujiingizia kipato na kuacha matumizi m…
#MEZAHURU: Kitu gani kinachangia vijana wengi wasitumie fursa ya mitandao ya kijamii ili kujiingizia kipato na kuacha matumizi mabaya ya mitandao.?
Ukraine: Mashambulizi ya anga ya Urusi yaua watu wanne karibu na Kharkiv
Mashambulizi ya anga ya Urusi yaua watu wasiopungua wanne usiku wa kuamkia leo Jumanne na kuwajeruhi wengine sita kaskazini mashariki mwa Ukraine, karibu na Kharkiv, gavana wa mkoa ametangaza leo…
#MICHEZO: Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, amesema timu yake imejipanga vizuri kwa ajili ya fainali ya Mapinduzi CUP dhidi…
#MICHEZO: Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, amesema timu yake imejipanga vizuri kwa ajili ya fainali ya Mapinduzi CUP dhidi ya Yanga SC na wanachohitaji ni ushindi katika mchezo…
Somalia yafuta mikataba yote iliyosainiwa na UAE
Somalia imeamua kufuta makubaliano yote yaliyosainiwa na Umoja wa Falme za Kiarabu, ili kukabiliana na hatua za Abu Dhabi zinazodhoofisha mamlaka, umoja na uhuru wa nchi hiyo. Hayo ni kwa…
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55….JANUARI 13, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55....JANUARI 13, 2025
Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026, yanafikia tamati leo kwa mechi ya fainali kupigwa
Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026, yanafikia tamati leo kwa mechi ya fainali kupigwa. AzamFC dhidi ya Yanga SC katika dimba la Gombani Pemba. Mechi hii itachezwa saa 10:30 jioni…
RSF yaua watu 27 huko Sennar, mashariki mwa Sudan
Watu 27 wameuawa na wengine 13 kujeruhiwa katika shambulio la wapiganaji wa Rapid Support Forces lililolenga mji wa Sinja, wakati watu waliokimbia makazi yao kutoka Darfur Kaskazini wakiendelea kuongezeka, huku…
Uchaguzi nchini Benin: Waangalizi wa mashariki ya kiraia latoa mahitimisho yake
Nchini Benin, matokeo ya chaguzi mbili zilizofanyika sku ya Jumapili, Januari 11, yanatarajiwa kutangazwa siku ya Alhamisi, kulingana na Mkuu wa Mahakama ya Katiba, Cossi Dorothé Sossa. Jukwaa la uchaguzi…
Vikosi vya ulinzi vyajizatiti kulinda amani nchini
VIKOSI vya ulinzi na usalama vimeahidi kuilinda amani iliyopo nchini ambayo ni chachu ya kielelezo cha umoja na mshikamano wa wananchi ambao kwa kiasi kikubwa umeifanya Tanzania kuwa kisiwa cha…
DRC: Mapigano kati ya jeshi na wanamgambo yasababisha vifo kadhaa Bukama
Mapigano kati ya jeshi la Kongo na kundi la wanamgambo yametokea Bukama, mji ulioko kilomita 500 kaskazini mwa Lubumbashi, katika mkoa wa Haut-Lomami, siku ya Jumapili, Januari 11. Wakati mjadala…
Mapitio ya #MAGAZETI leo januari 13, 2026 kwenye
Mapitio ya #MAGAZETI leo januari 13, 2026 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates (Feed generated with FetchRSS)
Kikwete: Mapinduzi yameibadili Zanzibar
RAIS mstaafu Jakaya Kikwete amesema Zanzibar ya zamani ni tofauti na ya sasa kutokana na mabadiliko makubwa ya kimaendeleo yaliyofanyika, ikiwemo ujenzi wa kiwanja cha ndege na mabadiliko hayo yametokana…
Rwanda yawasilisha barua ya kugombea kwa Louise Mushikiwabo kwa muhula wa tatu katika OIF
Rwanda imetangaza siku ya Jumatatu, Januari 12, katika mahojiano na Jeune Afrique, kwamba Kigali itawasilisha barua ya kugombea kwa Louise Mushikiwabo kwa muhula wa tatu kama mkuu wa Shirika la…
Wanaodaiwa kughushi nyaraka Bandari ya Dar kusomewa maelezo yao
Hatua hiyo inatokana na upelelezi wa kesi hiyo ya uhujumu uchumi kukamilika.
Morocco: Mamlaka yatangaza kumalizika kwa kiangazi cha muda mrefu
Waziri wa maji nchini Morocco Nizar Baraka amesema nchi hiyo sasa imekabiliana na ukame wa muda mrefu baada ya mvua nyingi kunyesha majira ya baridi hivyo kuafikia viwango vinavyohitajika vya…
Ujumbe wa serikali ya Kongo kutoa msaada kwa raia wake nchini Tanzania
Ujumbe wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo upo nchini Tanzania kwa lengo la kuwasaidia raia wake wanaopewa hifadhi katika Mji wa Kigoma baada ya kutoroka mapigano yanayoendelea mashariki…
Raia wa Uganda waendelea kujiandaa kwa uchaguzi mkuu wa urais wiki hii
Alhamisi hii rais wa Uganda Yoweri Museveni atakuwa katika jaribio jingine la kutaka raia wa nchi hiyo wamuongezee muda zaidi wa utawala wake uliodumu kwa karibu miongo minne, uchaguzi ambao…
Uganda: Wagombea wanafanya kampeni za mwisho kabla ya Uchaguzi Mkuu Januari 15
Nchini Uganda, wiki ya mwisho ya kampeni za wagombea inaendelea kabla ya uchaguzi wa urais na wa wabunge uliopangwa kufanyika siku ya Alhamisi, Januari 15. Kampeni hiyo inamalizika rasmi leo…
Trump atangaza ushuru kwa washirika wa kibiashara wa Iran
Rais Donald Trump wa Marekani amesema nchi yoyote itakayofanya biashara na Iran itatozwa ushuru wa asilimia 25. Ni kufuatia hatua ya Iran kuyakandamiza kwa nguvu kubwa maandamano ya kupinga ugumu…