Trump kukutana na kiongozi wa upinzani wa Venezuela Machado
Kiongozi wa upinzani wa Venezuela Maria Corina Machado atakutana na rais wa Marekani Donald wiki hii. Mkutano huo utafanyika wakati Venezuela ikikabiliwa na shinikizo kuhusu kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa.
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI JANUARI 13, 2026
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI JANUARI 13, 2026
#KIPIMAJOTO: Mradi wa ujenzi wa soko la kimkakati Kagunga mkoani Kigoma kutokamilika kwa zaidi ya miaka 16
#KIPIMAJOTO: Mradi wa ujenzi wa soko la kimkakati Kagunga mkoani Kigoma kutokamilika kwa zaidi ya miaka 16. Je, wasimamizi wa mradi huo wanastahili kuendelea kuusimamia (Feed generated with FetchRSS)
Trump kuwatoza ushuru washirika wa biashara wa Iran
Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza ushuru kwa nchi itakayofanya biashara na Iran kufuatia ukandamaziaji unaofanywa na serikali ya mjini Tehran dhidi ya waandamanaji wanaopinga ugumu wa maisha.
13.01.2026 Matangazo ya Mchana
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema utawala wa sasa nchini Iran huenda ukawa unakaribia mwisho wake kufuatia maandamano makubwa yanayoendelea nchini humo / Serikali ya…
13.01.2026 Matangazo ya Asubuhi
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza ushuru kwa nchi itakayofanya biashara na Iran kufuatia ukandamaziaji unaofanywa na serikali ya mjini Tehran dhidi ya waandamanaji wanaopinga…
13.01.2026 Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Rais Donald Trump wa Marekani atangaza ushuru kwa washirika wa kibiashara wa Iran. Watu wawili wauwawa kufuatia shambulizi la Urusi mjini Kharkiv. Na Somalia yafuta makubaliano na Umoja wa Falme…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ashiriki mazungumzo ya awamu ya pili ya mpango wa amani wa Gaza
Mazungumzo hayo yalifuatia mikutano ya awali iliyofanyika Miami, Florida, nchini Marekani mwishoni mwa Disemba 2025.
kuna kitu Admin nimeona vipi nyie mmeona pia🙌
kuna kitu Admin nimeona vipi nyie mmeona pia🙌
Uturuki yaonya dhidi ya uingiliaji wa nje nchini Iran, yatoa wito wa suluhu za ndani
Uturuki imeonya kuwa uingiliaji wowote wa nje katika nchi jirani ya Iran utaongeza na kuzidisha migogoro, si tu nchini humo bali pia katika eneo lote.
Simba yabeba kombe Mwanza, yaichapa Pamba 3-2
Mashabiki wa Simba wameifutia aibu timu yao na kuipatia kombe baada ya muda mrefu kwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa kirafiki kuadhimisha…
“Ni kweli kuna changamoto ya kwamba ukuaji wa uchumi hauakisi ukuaji wa Maisha ya watu sawia kwa maana sawasawa, ni moja ya mjad…
"Ni kweli kuna changamoto ya kwamba ukuaji wa uchumi hauakisi ukuaji wa Maisha ya watu sawia kwa maana sawasawa, ni moja ya mjadala ambao upo sehemu kubwa ya Bara la…
“Changamoto ambayo tunaifanyia kazi ni kujenga uelewa kwa watu wetu, ili waweze kutumia fursa ya sheria hii, kuweza kushiriki kw…
"Changamoto ambayo tunaifanyia kazi ni kujenga uelewa kwa watu wetu, ili waweze kutumia fursa ya sheria hii, kuweza kushiriki kwenye uchumi wa nchi yao"-David Kafulila-Mkurugenzi Mtendaji PPPC. #DAKIKA45 Powered by…
Somalia yafuta mikataba ya usalama na ulinzi na UAE
Baraza la Mawaziri la Somalia limefuta mikataba na makubaliano (MoU) zinazohusiana na ushirikiano wa usalama na ulinzi kati ya Somalia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), likitaja ukiukaji wa…
Huyu Devran anaonekana ana msimamo sana #AzamTWO
Huyu Devran anaonekana ana msimamo sana #AzamTWO
BAJETI 2026/27 NI YA KWANZA KUTEKELEZA DIRA 2050
BAJETI 2026/27 NI YA KWANZA KUTEKELEZA DIRA 2050 "Nashukuru kwamba Mwaka 2026, ni mwanzo wa utekelezaji wa dira 2050...kwamba Bajeti ya Serikali ya mwaka huu itakuwa ndio bajeti ya kwanza…
🔴DAKIKA 45 NA DAVID KAFULILA MKURUGENZI MTENDAJI PPPC…JANUARI 12, 2026
🔴DAKIKA 45 NA DAVID KAFULILA MKURUGENZI MTENDAJI PPPC...JANUARI 12, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Museveni bado hajatosheka baada ya miaka 40 ya utawala
Museveni ameiongoza Uganda kwa karibu miaka 40, akitoka kusifiwa kama kiongozi wa mfano hadi kukosolewa kwa kukandamiza upinzani. Akiwa na miaka 81, bado anatafuta muhula mwingine akisema analinda mafanikio yake…
Kampuni ya Azam Marine leo imezindua rasmi boti yake mpya na ya kisasa ya Kilimanjaro IX, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kampuni …
Kampuni ya Azam Marine leo imezindua rasmi boti yake mpya na ya kisasa ya Kilimanjaro IX, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kampuni hiyo kuboresha huduma za usafiri wa baharini…
Iliwahi kuandikwa katika shairi maarufu ‘Kama unataka mali, utaipata shambani’, ingawa watu wengi huamini mali hiyo ni mazao pek…
Iliwahi kuandikwa katika shairi maarufu 'Kama unataka mali, utaipata shambani', ingawa watu wengi huamini mali hiyo ni mazao pekee lakini fumbo hilo linaweza kuwa na maana ya 'utajiri mtambuka unaojumuisha…
Matokeo ya upimaji wa taaluma kitaifa kwa wanafunzi wa darasa la nne ka shule za msingi na kidato cha pili kwa shule za sekondar…
Matokeo ya upimaji wa taaluma kitaifa kwa wanafunzi wa darasa la nne ka shule za msingi na kidato cha pili kwa shule za sekondari yametakiwa kutumi ana Wizara ya Elimu…
AU yatoa tahadhari baada ya Marekani kutangaza mpango wa kujiondoa kutoka kwa mashirika ya UN
Shirika la Umoja wa Afrika (AU) limetoa tahadhari baada ya serikali ya Marekani hivi karibuni kuagiza kusitishwa kwa ufadhili na kujihusiha katika baadhi ya mashirika ya Umoja wa Mataifa.
Alonso ang’atuka Madrid baada ya kichapo cha Barcelona
Real Madrid leo Jumatatu, Januari 12, 2026 imetangaza kuwa meneja wake Xabi Alonso amejiuzulu...
TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU JANUARI 12, 2026 – UPEPO MKALI WAEZUA NYUMBA KALAMBO
TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU JANUARI 12, 2026 - UPEPO MKALI WAEZUA NYUMBA KALAMBO
Tehran yawaitisha wanadiplomasia wa Ufaransa, Ujerumani, Uingereza, na Italia
Maandamano dhidi ya utawala yanaendelea nchini Iran, ambapo nchi hiyo katika hali tete baada ya mamlaka kuamua kufunga intaneti nchini kote ili kuzuia usambazaji wa picha na uandaaji wa maandamano.…
#HABARI: Ujenzi wa mradi wa Soko la Kimkakati la Kimataifa Kagunga wenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni mbili unaolenga ku…
#HABARI: Ujenzi wa mradi wa Soko la Kimkakati la Kimataifa Kagunga wenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni mbili unaolenga kuboresha na kuimarisha shughuli za kibiashara hasa katika nchi jirani…
IShowSpeed ni nani, nyota wa mtandaoni aliyevuma Kenya
IShowSpeed, anayejulikana pia kama Speed, ni nyota maarufu wa mitandao ya kijamii kutoka Marekani ambaye hivi karibuni amevutia hisia za maelfu ya vijana barani Afrika, hasa Kenya.
‘Serikali ya Tanzania iliua kiholela wakati wa uchaguzi’
Ripoti mpya kuhusu machafuko ya wakati wa uchaguzi wa 2025 nchini Tanzania imesema vikosi vya usalama viliwafyatulia risasi waandamanaji waliokuwa wakikimbia na kufanya "mauaji ya kiholela."
HRW: Unyanyasaji wa ngono kutokana na vita waongezeka Kongo
Unyanyasaji wa kingono unaohusiana na vita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umeongezeka huku msaada kwa walionusurika ukipungua kwa kiasi kikubwa.
Gambia yadai Myanmar ililenga kuangamiza jamii ya Warohingya
Myanmar ilifanya mashambulizi ya kikatili dhidi ya jamii ya wachache wa Rohingya kwa lengo la kuiangamiza jamii hiyo, Gambia yasema.
ACT-Wazalendo yawapiga msasa wabunge wake
Pamoja na mambo mengine, vikao vitakavyoanza kesho, wabunge watajua kamati zao za kudumu...
VIKOSI vya Ulinzi na Usalama vya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Vikosi Vya Idara Maalimu za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzi…
VIKOSI vya Ulinzi na Usalama vya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Vikosi Vya Idara Maalimu za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa Pamoja vimefanya Matembezi Maalumu ya Kuadhimisha kutimia…
#HABARI: Wakati Serikali ya Tanzania ikiendelea kuimarisha miundombinu ya upatikanaji wa elimu ya juu nchini ikiwa ni pamoja na …
#HABARI: Wakati Serikali ya Tanzania ikiendelea kuimarisha miundombinu ya upatikanaji wa elimu ya juu nchini ikiwa ni pamoja na utoaji wa fursa za masomo kwenye mataifa tofauti ulimwenguni, wadau wa…
Kisa nidhamu mbovu, CAF yageuka mbogo AFCON
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeonyesha kukerwa na vitendo vya utovu wa nidhamu...
Iran yasema ipo tayari kwa ‘vita na mazungumzo’ na Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema nchi yake imejiandaa kwa 'vita na vilevile mazungumzo' na Marekani.
Bobi Wine atishia maandamano uchaguzi Uganda ukiporwa
Bobi Wine, ameliambia shirika la Habari la AFP kwamba ataitisha maandamano ikiwa Rais Yoweri Museveni ataupora uchaguzi
Tume: Leteni kwanza ripoti zenu kabla ya kufikisha kwa umma
Tume ya uchaguzi ya Uganda imewagiza waangalizi kutowasilisha ripoti zao za uchunguzi kuhusu uchaguzi kwa vyombo vya habari wala kwa umma kabla ya kuziwasilisha kwa tume hiyo.
ICJ: Kesi ya mauaji ya halaiki ya Warohigya yaanza
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Haki, ICJ, imeanza kusikiliza kesi ya mauaji ya halaiki dhidi ya Myanmar kuhusu ukandamizaji wa watu wa kabila la Rohingya.
Matumaini mapya vivuko vya Kigamboni wanafunzi wakiombewa kuvushwa bure
Wakati kesho shule za msingi na sekondari nchini zikifunguliwa, Wakala wa Ufundi na Umeme...
Manchester United kumteua Carrick kocha wa muda
Manchester United iko katika hatua za mwisho za kumteua Michael Carrick kuwa kocha wa muda - hatua inayokuja baada ya majuma kadhaa ya sintofahamu na mabadiliko ya benchi la ufundi.
CAF yaanzisha uchunguzi dhidi ya vurugu za AFCON
Shirikisho la Soka barani Afrika, CAF limeanzisha uchunguzi na kuonya juu ya uwezekano wa kuchukuliwa hatua za kinidhamu.
Wapiga makasia tisa watekwa Pwani ya Gabon
Watu wenye silaha walivamia mashua yenye uvuvi Pwani ya Gabon na kuwateka, wapiga makasia tisa, kwa mujibu ya Wizara ya Ulinzi nchini humo. Imechapishwa: 12/01/2026 – 16:19 Dakika 1 Wakati…
AFCON kuchunguza matukio baada ya mechi ya Algeria-Nigeria
Shirikisho la Soka barani Afrika, CAF limesema Jumatatu kwamba limeanzisha uchunguzi na kuonya juu ya uwezekano wa hatua za kinidhamu kufuatia "tabia zisizokubalika", baada ya wachezaji kupigana uwanjani.
LIGI Kuu ya Wanawake (WPL) na leo tena
LIGI Kuu ya Wanawake (WPL) inaendelea leo kwa mechi nne ngumu zitakazopigwa kwenye viwanja tofauti ikiwa ni raundi ya nane.