#HABARI: Wananchi wa Kata za Wendele na Mwendakulima wilayani Kahama wamempongeza Rais Dkt
#HABARI: Wananchi wa Kata za Wendele na Mwendakulima wilayani Kahama wamempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea mradi wa umeme vijijini (REA) ambao umeanza kubadilisha maisha yao kiuchumi na…
NECTA yatangaza matokeo ya Mtihani ya Darasa la Nne na Kidato cha Pili 2025, yatazame hapa
■Prof.Mohamed amesema, baraza limeidhinisha rasmi kutolewa kwa matokeo hayo ambapo upande wa usajili na mahudhurio jumla ya wanafunzi 1,583,686 walisajiliwa kufanya upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne wakiwemo wasichana 818,673…
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ametaja sababu za kumteua Profesa Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rai…
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ametaja sababu za kumteua Profesa Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalumu), akisema ni kiongozi mzoefu na mwenye…
TPA yapongezwa ukuaji wa bandari na uchumi
PWANI: Serikali imeipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa juhudi zake za kuboresha uendeshaji wa bandari nchini, hatua inayoongeza ufanisi, uwajibikaji na ubora wa huduma huku ikichangia ukuaji…
The God Must Be Crazy ndio mzigo wa leo saa 4:00 usiku katika movie ya wikiendi kupitia AzamTWO
The God Must Be Crazy ndio mzigo wa leo saa 4:00 usiku katika movie ya wikiendi kupitia AzamTWO. Movie hii imetafsiriwa kwa Kiswahili. #thegodsmustbecrazy #azamtwo
Waziri wa nchi ofisi ya Rais maendeleo ya vijana Joel Nanauka amesema vijana ni kundi linalohitaji kuwekewa Mazingira mahususi y…
Waziri wa nchi ofisi ya Rais maendeleo ya vijana Joel Nanauka amesema vijana ni kundi linalohitaji kuwekewa Mazingira mahususi ya kujifunza ,Kujengewa uwezo na kupata stadi zinazohitajika katika soko kwani…
“….lakini jengine ni kwamba punde hivi nimechagua washauri nimeteua washauri wa Rais, na nimemteua aliyekuwa Makamu wa Rais at…
"....lakini jengine ni kwamba punde hivi nimechagua washauri nimeteua washauri wa Rais, na nimemteua aliyekuwa Makamu wa Rais atakuwa ananishauri mambo ya uchumi na miradi, lakini aliyekuwa Waziri Mkuu atanishauri…
“….lakini nikajipa moyo kwamba Mwana FA na Makonda wanaweza kuiendesha Wizara ile vizuri kwa sababu ni wizara ya vijana na wao…
"....lakini nikajipa moyo kwamba Mwana FA na Makonda wanaweza kuiendesha Wizara ile vizuri kwa sababu ni wizara ya vijana na wao zile hekaheka wanaziweza....." Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Powered…
Pamba yazindua jezi baada ya miezi mitano
HATIMAYE Klabu ya Pamba jiji ya Mwanza imezindua rasmi jezi za msimu wa 2025/2026 na uuzaji wake utaanza leo katika mkoa wa Mwanza, baada ya subira ya mashabiki ya takribani…
Gugu: Umoja ni ufanisi katika majukumu
DODOMA: Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Gugu, amewataka wafanyakazi wa wizara hiyo kuendelea kudumisha mshikamano, upendo na ushirikiano kazini, akisisitiza kuwa umoja wao ndio…
#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Mhe
#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka, amesema Serikali inatambua umuhimu wa kuwepo kwa jukwaa rasmi litakalowawezesha vijana kutoa maoni, mawazo na ushauri wao…
Watu 155,000 wayakimbia makazi yao kaskazini mwa Syria
Gavana wa mji wa Aleppo nchini Syria Azzam al-Gharib amesema kwamba mapigano yanayoendelea katika vitongoji vya Wakurdi kaskazini mwa Syria yamewafanya takribani watu zaidi ya 155,000 kuyakimbia makazi yao.
Serikali ya Iran yaendelea kuzima intaneti
Shirika la kimataifa la ufuatiliaji wa intaneti la NetBlocks limesema kwamba "vipimo vyake vinaonyesha kuwa kukatika kwa intaneti kote nchini kunaendelea kutumika hata baada ya saa 36.
UN: Wakimbizi 53 wa Kongo wamefariki nchini Burundi
Shirika hilo limesema kati ya jumla ya vifo 53 vilivyorekodiwa, watu 25 wamekufa kutokana na mlipuko wa kipindupindu, huku wengine sita wakifariki kutokana na upungufu wa damu na matatizo yanayohusiana…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA SIMIYU – JANUARI 10, 2026
🔴HAPA NA PALE KUTOKA SIMIYU - JANUARI 10, 2026
Tulia agusa wanafunzi 3,000 waishio mazingira magumu
Mbeya. Mbunge wa Uyole Mkoa wa Mbeya, Dk Tulia Ackson ametoa mahitaji mbalimbali zikiwepo sare...
Wanafunzi 19 wafutiwa matokeo kwa kuandika matusi
DAR ES SALAAM : BARAZA la Mitihani Tanzania (Necta) limefuta matokeo ya wanafunzi 19, wakidaiwa waliandika matusi kwenye karatasi zao za majibu ya upimaji wa kitaifa, ambapo 11 ni kidato…
Ufaulu darasa la nne, kidato cha pili waongezeka
DAR ES SALAAM :BARAZA la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne, ambapo ufaulu kwa darasa la nne umeongezeka asilimia 2.67 na ufaulu kidato…
Uturuki inatoa pongezi kwa waandishi wa habari waliouawa huko Gaza katika Siku ya Wanahabari
Januari 10 inaashiria kuanzishwa kwa kwa sheria ya 1961 ya kuboresha haki za waandishi wa habari huko Uturuki, ikiwa ni pamoja na usalama wa kazi na mishahara ya haki.
Posho Taifa Stars zamshtua Rais Samia
Taifa Stars imeishia katika hatua ya 16 bora ya Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025...
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema tuzo ilizotunukiwa Tanzania ikiwemo ya kuwa kituo bora cha utalii duniani ni uthibitisho wa si…
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema tuzo ilizotunukiwa Tanzania ikiwemo ya kuwa kituo bora cha utalii duniani ni uthibitisho wa sifa nzuri ilizonazo, huku akisema waliotaka kuivuruga amani ili kuichafua nchi,…
Suala la posho Stars lilivyomshtua Rais Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa alishtushwa na taarifa za mgomo wa wachezaji wa Taifa Stars kabla ya Fainali za AFCON 2025 kutokana na…
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kumteua Makamu wa Rais mstaafu, Dkt Philip Mpango kuwa mshauri wake wa masuala ya uchumi na …
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kumteua Makamu wa Rais mstaafu, Dkt Philip Mpango kuwa mshauri wake wa masuala ya uchumi na miradi. Pamoja naye, ametangaza kumemteua Waziri Mkuu mstaafu, Kassim…
Rais Samia akutana na Taifa Stars Dar
RAIS Samia Saluhu Hassan ameipongeza timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kwa kufika 16 bora ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), inayoendelea huko Morocco.
Samia akutana na Taifa Stars Dar
RAIS Samia Saluhu Hassan ameipongeza timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kwa kufika 16 bora ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), inayoendelea huko Morocco.
Rais Samia aeleza sababu za kumteua Profesa Kabudi
Rais amesema uamuzi huo umetokana na mahitaji mapya ya uendeshaji wa Serikali katika mazingira...
Iran: Mamlaka imeahidi kulinda mali, maandamano yakishika kasi
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, wameapa kulinda mali ya umaa, wakati huu maandamano makubwa yakiendelea kwa siku kadhaa sasa dhidi ya serikali. Imechapishwa: 10/01/2026 – 14:59Imehaririwa:…
Afrika Kusini yatetea ushirikiano wake wa mazoezi ya kijeshi na Urusi na China
Afrika Kusini, imetetea hatua ya kushirikiana na Urusi, Iran na China kwenye mazoezi ya kijeshi Baharini. Imechapishwa: 10/01/2026 – 14:52 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma yanayofuata…
Ethiopia yaanza ujenzi wa ‘uwanja wa ndege mkubwa zaidi barani Afrika’
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bishoftu utakuwa na nafasi ya kuegesha ndege 270 na uwezo wa kubeba abiria milioni 110 kwa mwaka, Waziri Mkuu Abiy Ahmed Ali alisema.
#HABARI: Gari aina ya Range Rover linateketea kwa moto muda huu katika barabara ya Mandela na kusababisha foleni maeneo ya Mwana…
#HABARI: Gari aina ya Range Rover linateketea kwa moto muda huu katika barabara ya Mandela na kusababisha foleni maeneo ya Mwananchi jijini Dar es Salaam. Chanzo cha moto huo hakijajulikana…
Familia imetua nyumbani kwa Mashavu
Familia imetua nyumbani kwa Mashavu. Usikose kutazama #KombolelaSeries leo saa 1:00 usiku ndani ya #SinemaZetuHD
Zaidi ya wakimbizi 50 wa Congo wamefariki wakiwa Burundi: UN
Wakimbizi zaidi ya 50 waliokimbia machafuko katika nchi yao ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wamepoteza maisha wakiwa kambini, katika nchi jirani ya Burundi. Imechapishwa: 10/01/2026 – 14:42Imehaririwa: 10/01/2026 –…
Happy birthday Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo bi
Happy birthday Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo bi. Sharifa Nabalang'anya (@sharifa_nabal). #CMG inakutakia maisha marefu yenye mafanikio na baraka ndani yake. #Clouds26Nyoosha
“…pale Ikulu nahitaji akili iliyopevuka yenye maarifa mapana, yenye uzoefu mkubwa na mtu ambaye yuko vizuri kwenye kujieleza n…
"...pale Ikulu nahitaji akili iliyopevuka yenye maarifa mapana, yenye uzoefu mkubwa na mtu ambaye yuko vizuri kwenye kujieleza na kueleza jambo likaeleweka, nimepiga picha serikalini kwangu kote nikasema Profesa Kabudi…
Ni Nigeria Vs Algeria AFCON-2025
Ni Nigeria Super Eagles dhidi ya Algeria majira ya saa moja jioni kwa saa za Afrika Mashariki katika uwanja Stade de Marekhesh huku Misri wakiwa kibaruani kumenyana na mabingwa watetezi…
#HABARI: Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe
#HABARI: Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Zainab Katimba ameeleza kuwa ukatili wa kijinsia ni kosa la jinai na kila mwanachi wa Tanzania ana haki na wajibu wa kuripoti…
#HABARI: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw
#HABARI: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Yusuph Juma Mwenda, amefunga rasmi kikao cha tathmini ya utendaji kazi kwa nusu mwaka wa fedha 2025/2026, akisisitiza umuhimu wa…
Abate Temu: Kuweni Majasiri kusema ukweli, kupigania haki
Abate Temu amesema hayo ni kwa sababu haki na amani ni matunda ya Kimungu yasiyotengenezwa na...
TB-500: Peptide Mechanisms and Emerging Research Horizons
This article explores the molecular underpinnings of TB-500, examines the domains in which it...
Rais Samia akutana na wanamichezo Dar
Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Saluhu Hassan, ameipongeza timu...
Sakata Mwandambo kukamatwa Mbeya, kushtakiwa na kuachiwa Dar
Mwandambo, mwalimu wa Shule ya Awali ya St. Clemence, amekuwa maarufu mitandaoni kutokana na...
Askofu Temu: Kuweni Majasiri kusema ukweli, kupigania haki
Abate Temu amesema hayo ni kwa sababu haki na amani ni matunda ya Kimungu yasiyotengenezwa na...
#HABARI: Meneja wa Uwakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Katavi Mhandisi Innocent Mlay, amesema kuwa Mkoa w…
#HABARI: Meneja wa Uwakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Katavi Mhandisi Innocent Mlay, amesema kuwa Mkoa wa Katavi umejipanga kufanya ukaguzi wa mara kwa mara katika…
Kila siku yanaibuka mambo aisee, Usikose kutazama #NomaSeries leo saa 1:00 usiku ndani ya #SinemaZetuHD
Kila siku yanaibuka mambo aisee, Usikose kutazama #NomaSeries leo saa 1:00 usiku ndani ya #SinemaZetuHD