Kenya inalenga kubadilisha machimbo makubwa ya zamani ya madini kuwa ardhi ya kilimo
Ripoti mpya iliyozinduliwa na Waziri wa Madini na Uchumi wa Bluu, inasema nchi inatathmini jinsi ardhi iliyotumika hapo awali kuchimba madini inavyoweza kurekebishwa na kutumika tena kwa manufaa ya kijamii,…
Simba, Pamba wana jambo lao Mwanza
KESHOKUTWA kitawaka katika Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza ambapo mashabiki wa Simba na Pamba Jiji watapomenyana katika mchezo wa kirafiki ikiwa ni sehemu ya kunogesha sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar.
“Moja ya thamani ya ndoa ni uhai wa watu wawili husika waliokubaliana kuishi pamoja wenye mitazamo chanya ambayo huleta furaha,…
"Moja ya thamani ya ndoa ni uhai wa watu wawili husika waliokubaliana kuishi pamoja wenye mitazamo chanya ambayo huleta furaha, amani na maendeleo, endapo thamani ya ndoa itaondoka muda wa…
Tanzania yaongeza kasi nishati safi ya kupikia, yafikia asilimia 23.2
Kwa mwaka wa fedha 2025/26, Serikali inaendelea na utekelezaji wa miradi mbalimbali ikiwemo...
“….hoteli moja ambayo iko Tanzania na yenyewe imepata kikombe, tumepata vikombe vitano, sasa Tanzania kituo muhimu cha utalii …
"....hoteli moja ambayo iko Tanzania na yenyewe imepata kikombe, tumepata vikombe vitano, sasa Tanzania kituo muhimu cha utalii Afrika na Dunia hiyo ni sifa hiyo ni sifa kubwa, kwa hiyo…
Haiti: Elimu yampatia matumaini mapya msichana aliyefurushwa nyumbani
Msichana mmoja balehe nchini Haiti aliyelazimika kukimbia nyumbani kwake katika mji mkuu, Port-au-Prince, kutokana na vurugu za magenge, amewaomba watu wazima wasikatie tamaa kwa watoto.
Hatua ya Marekani kujiondoa kwenye mashirika ya UN yamaanisha nini kwa tabianchi, biashara na maendeleo?
Mashirika na vyombo husika ni pamoja na: UNFPA, UNCTAD, ITC na ICTRs, UN Women Mikataba ya kimataifa ukiwemo UNFCCC wa mabadiliko ya tabianchi Na baasdhi ya Ofisi za Wawakilishi Maalum…
Maandamano Iran: Ujumbe wa UN wataka kurejeshwa kwa intaneti na kuheshimiwa kwa haki za binadamu
Ujumbe Huru wa Kimataifa wa Umoja wa Mataifa wa Kuchunguza Ukweli kuhusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umeitaka serikali ya Iran kurejesha mara moja huduma za intaneti na mawasiliano ya…
Uwanja wa soka wazinduliwa Dar
Dar es Salaam. Kampuni ya TECNO Mobile Limited imezindua uwanja wa kisasa katika eneo la...
Jeshi la Iran laapa kulinda mali za umma kufuatia ghasia
Jeshi la Iran lasema litalinda miundombinu na mali ya umma, likiwataka Wairani kuzuia njama za adui huku mamlaka zikikandamiza maandamano.
“….Mheshimiwa Profesa Palamagamba John Kabudi Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo…..Mheshimiwa Paul Christian Makon…
"....Mheshimiwa Profesa Palamagamba John Kabudi Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo.....Mheshimiwa Paul Christian Makonda Waziri mteule bado tunamjua Kabudi kama Waziri kwa sababu Makonda hajaapa, na ninaweza kubadilisha maamuzi…
Dk Shein: Heshima iliyotafutwa Mapinduzi ya Zanzibar imeonekana
Amesema kabla ya Mapinduzi, zilikuwapo baadhi ya barabara lakini hazikuwa na hadhi wala ubora...
“…..kuhusu ufaulu kishule….asilimia 99.3 zimepata wastani wa madaraja ya ufaulu ya A mpka D, shule 144 zimepata wastani wa d…
".....kuhusu ufaulu kishule....asilimia 99.3 zimepata wastani wa madaraja ya ufaulu ya A mpka D, shule 144 zimepata wastani wa daraja E ambalo ndilo daraja la chini zaidi lenye alama kati…
Marekani itaamua kampuni gani za mafuta zinaweza kufanya kazi Venezuela, asema Trump
Trump anawakutanisha viongozi kutoka kampuni kuu za mafuta, akiwahakikishia usalama wao wakifanya kazi katika nchi tajiri ya mafuta Amerika Kusini.
Mwenyekiti wa kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Mashindano ya CHAN na AFCON Bw.Leodegar Tenga akizungumza katika hafla ya kuip…
Mwenyekiti wa kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Mashindano ya CHAN na AFCON Bw.Leodegar Tenga akizungumza katika hafla ya kuipongeza Timu ya Taifa, Taifa Stars inayofanyika Ikulu jijini Dar es…
Trump atangaza mpango wa mafuta Venezuela
Marekani. Rais Donald Trump wa Marekani amerejea tena kauli yake ya kutaka nchi yake ichukue...
Unajua muonekano wako unaweza kukufukuzisha kazi?
Unajua muonekano wako unaweza kukufukuzisha kazi? huko Marekani mmoja wa wahudumu wa afya amefukuzwa kazi baada ya wagonjwa kulalamika kuwa hawaridhishwi na mtindo wake wa nywele na pia inavuja miiko…
Admin hakumbuki mara ya mwisho Cholo na Baba yake kuwa kwenye ukurasa mmoja kama hivi 🥹
Admin hakumbuki mara ya mwisho Cholo na Baba yake kuwa kwenye ukurasa mmoja kama hivi 🥹
RDTC’s more than 30 years of providing skin diseases solutions through dermatology education
KILIMANJARO: SKIN health remains a vital yet often under-prioritised component of public health globally. Across East, Central and Southern Africa, skin diseases continue to rank among the leading causes of…
Serikali iko mbioni kukamilisha mradi mkubwa wa ‘umeme jua’ ulioopo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga ambao unatarajiwa kuchangi…
Serikali iko mbioni kukamilisha mradi mkubwa wa ‘umeme jua’ ulioopo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga ambao unatarajiwa kuchangia megawati 50 katika gridi ya taifa. Mradi huo ambao umefikia zaidi ya asilimia…
Baraza la Usalama la UN kufanya mkutano wa dharura Jumatatu
Ni baada ya meya wa mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, Vitaliy Klitschko kuwasihi wakazi katika mji huo kuondoka mara moja kutokana na kukatika kwa umeme katika sehemu kubwa ya mji…
“…..kwa upimaji wa darasa la nne ufaulu wa jumla umepanda kwa asilimia 2.7….asilimia 88.91 wamefaulu….” Prof.Said Mohamed …
".....kwa upimaji wa darasa la nne ufaulu wa jumla umepanda kwa asilimia 2.7....asilimia 88.91 wamefaulu...." Prof.Said Mohamed - Katibu Mtendaji NECTA Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: -…
Umeshawahi kuwa hatiani kwa yasiyokuhusu?
Umeshawahi kuwa hatiani kwa yasiyokuhusu? ngoja nikusogezee "ubuyu" watu 10 wakiwemo wanaume wanane na wanawake wawili wamejikuta hatiani kwa unyanyasaji wa kijinsia baada ya kuzusha kuwa mke wa raisi wa…
Mtunisia Azam anukia Irak
KLABU ya Azam huenda ikaachana na winga Mtunisia Baraket Hmidi, baada ya mchezaji huyo kushindwa kulishawishi benchi la ufundi la timu hiyo chini ya Kocha Mkongomani Florent Ibenge tangu asajiliwe.
Dk Mwinyi: Miundombinu ya elimu inakidhi matakwa karne ya 21
Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amesema wanajivunia miundombinu ya elimu...
Tanzania Prisons yampigia hesabu Lyanga
MAAFANDE wa Tanzania Prisons wameanza mazungumzo na Singida Black Stars kwa ajili ya kupata saini ya Ayoub Lyanga kwa mkopo katika dirisha hili dogo la usajili ikiwa ni pendekezo la…
TRA yapiga hodi ikimtaka Mzamiru Simba
BAADA ya kuinasa saini ya Denis Nkane kutoka Yanga, TRA United imehamia Simba ikiwinda saini ya mkongwe Mzamiru Yassin ili kuongeza nguvu eneo la kiungo.
Msanii wa Bongo Fleva @hamadaitz_amefichua kuwa bado ana hisia za kimapenzi kwa @linahafrica licha ya kutokubaliwa rasmi
Msanii wa Bongo Fleva @hamadaitz_amefichua kuwa bado ana hisia za kimapenzi kwa @linahafrica licha ya kutokubaliwa rasmi. Akizungumza kwenye kipindi cha #TheSpark, Hamadai alisema kuwa walikutana kwenye kazi ya pamoja…
Lameck Kanyong ala kiapo Mashujaa
LICHA ya kukabiliana na ushindani mkali wa namba katika kikosi cha Mashujaa FC, kipa Lameck Kanyonga bado ana imani atapata nafasi ya kucheza na hawezi kuikimbia changamoto hiyo.
Jeshi la Syria lasema sasa linaidhibiti wilaya ya Aleppo
Mashambulizi hayo ya vikosi vya serikali yamefanyika usiku kucha katika eneo hilo la Sheikh Maqsud baada ya muda wa mwisho uliowekwa kwa wapiganaji wa Kikurdi kusitisha mapigano na kujiondoa katika…
@hamadaitz_ ameweka wazi kuwa alipokea kwa msisimko mkubwa taarifa za kuteuliwa na uongozi wa Clouds Media Group kufanya Hour To…
@hamadaitz_ ameweka wazi kuwa alipokea kwa msisimko mkubwa taarifa za kuteuliwa na uongozi wa Clouds Media Group kufanya Hour Top ya mwaka mzima. Akizungumza kwenye kipindi cha #TheSpark na mtangazaji…
Rhino Rangers wanaitaka Championship
KUSHINDA mechi zote tatu za First League siyo bahati mbaya kwa maafande wa Rhino Rangers ya Tabora, kwani wamedhamiria kufanya vizuri na kupanda daraja kwenda Ligi ya Championship msimu huu.
Nurturing youth mental health in connected world
DAR ES SALAAM: THE rapid advancement of digital technology has transformed how young people communicate, learn and socialise. For today’s adolescents, the online world is not separate from reality it…
Maandamano mapya yazuka Iran licha ya kufungwa kwa intaneti
Akiyazungumzia maandamano hayo kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwake, Kiongozi mkuu wa Iran Ali Khamenei amewaita waandamanaji hao kuwa ni waharibifu na wahalifu na kuishutumu Marekani kwa kuichochea hali…
Trump asema Marekani itaichukua Greenland ipende isipende
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla katika Ikulu ya White House, Trump amesema Washington itafanya "kitu" kuhusu Greenland, iwe wengine wanapenda au la.
”Kuna ambao wanaoigiza sauti za viongozi wananiigiza pia” @kingwendu_og
''Kuna ambao wanaoigiza sauti za viongozi wananiigiza pia'' @kingwendu_og Usikose kutazama ALAMA kila Alhamisi saa 2:00 usiku kupitia #SinemaZetuHD ukiwa na @sophiamgaz
Mbeumo asepa kuiwahi Man City
Manchester United wamepata habari njema baada ya Cameroon ya Bryan Mbeumo kutolewa kwenye...
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Mradi wa Umeme unaozalishwa kwa nguvu ya Jua uliopo Kishapu, Mkoani Shinyanga, uko mbioni kukamilika ambapo jumla ya megawati 50 zinatarajiwa kuingizwa…
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa ajira za kudumu kwa wahitimu 136 kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini kupitia programu ya…
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa ajira za kudumu kwa wahitimu 136 kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini kupitia programu ya mafunzo ya uzoefu wa kazi (Internship Program) katika kipindi…
#HABARI: Naibu Naziri wa Nishati Mh
#HABARI: Naibu Naziri wa Nishati Mh. Salome Makamba, amewaelekeza wakandarasi wanaotekeleza miradi nchini, kuhakikisha Watanzania wazawa wanapata ajira katika miradi hiyo lengo kuu likiwa ni kupunguza changamoto mtambuka ya uhaba…
#HABARI: Mbunge wa Kundi la Vijana Kanda ya Pemba, Mhe
#HABARI: Mbunge wa Kundi la Vijana Kanda ya Pemba, Mhe. Zainab Abdallah, amechangia kiasi cha shilingi milioni 20.7 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa miradi ya maendeleo ya Umoja wa…
Maandamano ya ‘Gen Z’ yasababisha vifo maofisa usalama 14 Iran
Takribani Maofisa 14 wa usalama wamefariki dunia tangu kuanza kwa maandamano ya vijana nchini...
How geological changes impacted life around Lake Victoria
RUBONDO Island National Park is a hidden gem in Tanzania, located on an island in Lake Victoria. It is a haven for wildlife and nature lovers. The park is home…
Mchinjita kuanza ziara Kilimanjaro, Tanga, Dar
DAR ES SALAAM: Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita atakuwa na ziara ya siku saba kwenye majimbo ya mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Kilimanjaro…
Ndani ya Boksi: Kulamba lipsi na ‘siksi paki’ hazilipi kodi na ada
Leo ni tarehe ya mwisho wa mwezi wa kwanza wa mwaka Januari. Bado miezi miwili tena kuumaliza...
Mradi wa umeme wa jua Shinyanga mbioni kukamilika
DAR ES SALAAM: Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba amesema mradi wa umeme unaozalishwa kwa nguvu ya jua uliopo Kishapu, mkoani Shinyanga upo mbioni kukamilika. Amesema jumla ya megawati 50…
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa ameziomba taasisi za fedha nchini zikiwemo benki kuweka utaratibu wa kuwakopesha wafugaji kwa kutumia dhamana za mifugo yao kama ilivyo…
Atoa maagizo vituo uwezeshaji wananchi kiuchumi
DAR ES SALAAM; Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), ACP Beng’i Issa, ametembelea vituo vitatu vya uwezeshaji wananchi kiuchumi jijini Dar es Salaam na kutoa…
NBC internship pipeline reshapes graduate employment
DAR ES SALAAM: Discussions about graduate employment often focus on shortages and policy gaps, but the National Bank of Commerce internship programme illustrates how employers can respond through structured workforce…