🔴 RAIS MHE.DKT.SAMIA SULUHU HASSAN ANAHUTUBIA TAIFA
🔴 RAIS MHE.DKT.SAMIA SULUHU HASSAN ANAHUTUBIA TAIFA.... DESEMBA 15, 2025
Major milestones in health sector
DAR ES SALAAM: THE health sector stands out as one of the nation’s greatest success stories, reshaped by sustained and strategic government investment. Since independence, the country’s health system has…
Kumbe Diddy alimpitisha Biggie kwenye joto la jiwe
Jumanne ya Desemba 2 mwaka huu, mtandao wa Netflix uliachia makala ya kushtua kuhusu maisha ya...
Stars na mfupa mgumu AFCON 2025
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ipo Misri katika maandalizi ya mwisho kabla ya kwenda...
UN: Tanzania icon of peace
NEW YORK: UNITED Nations Secretary-General António Guterres has reaffirmed Tanzania’s long-standing reputation as a beacon of peace and social cohesion, describing the country as “a reference point for peace in…
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55….DESEMBA 15, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55....DESEMBA 15, 2025
Bado Maryam anaendelea na uamuzi wake wa kuwa mkweli na kuhakikisha anasema kila kitu
Bado Maryam anaendelea na uamuzi wake wa kuwa mkweli na kuhakikisha anasema kila kitu. Leo amewaambia Razan na mwenzake kuwa sio ndugu yao wa damu. Usikose kutazama UMMY leo saa…
Umoja wa Afrika Magharibi unakataa mpango wa mpito wa kijeshi wa Guinea-Bissau
Maafisa wa jeshi nchini Guinea-Bissau, wanaojiita Kamandi Kuu ya Kijeshi, walimpindua Rais Umaro Sissoco Embalo mnamo Novemba 26 na kumteua Meja-Jenerali Horta Inta-A kama rais wa mpito siku iliyofuata.
Umoja wa Afrika Magharibi unakataa mpango wa mpito wa kijeshi wa Guinea-Bissau
Maafisa wa jeshi nchini Guinea-Bissau, wanaojiita Kamandi Kuu ya Kijeshi, walimpindua Rais Umaro Sissoco Embalo mnamo Novemba 26 na kumteua Meja-Jenerali Horta Inta-A kama rais wa mpito siku iliyofuata.
Unadhani nini kifanyike?
Unadhani nini kifanyike? #LiveonClouds360 #Clouds26Nyoosha #LainiYawana
Usipange kukosa uhondo wa JUANA leo saa 1:00 usiku
Usipange kukosa uhondo wa JUANA leo saa 1:00 usiku. Unadhani Camila ataondoka nyumbani kwa Gaby? Tukutane #AzamONE
Bisura anajaribu kuweka sawa na watoto wake
Bisura anajaribu kuweka sawa na watoto wake. Sheiza ampeleka Shakei kwa kina Hamida 😅 Baba Mussa amuwakia James bila shaka ni kuhusu mtoto wake kutojulikana yupo wapi. Usikose kutazama #PichaYanguSeries…
Marekani yatiwa moyo na mazungumzo ya Berlin
Ujumbe wa Marekani kwenye mazungumzo ya kusaka usitishwaji mapigano kati ya Urusi na Ukraine yanayofanyika mjini Berlin umeelezea kuridhishwa kwake na hatua zilizopigwa hadi sasa.
Hashmet yamemkuta huku 😅😅 Aziza ameshuhudia upande wake mweusi
Hashmet yamemkuta huku 😅😅 Aziza ameshuhudia upande wake mweusi. Ohoo Zeliha ameiona bangili ya marehemu mama yao ikiwa kwenye vito vya bibi yake Yusuf. Usikose kutazama 6 of Us leo…
Serikali, kampuni za simu wabanwa kuzima intaneti
Hatua ya Serikali kuzima Intaneti kwa siku saba kuanzia Oktoba 29, 2025 inazidi kupingwa baada...
Mapigano mapya Mashariki mwa DRC yamehamisha angalau watoto 100,000: UN
Zaidi ya watoto 100,000 wameyakimbia makazi yao kutokana na ongezeko la hivi punde mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, UNICEF ilisema Jumapili.
Mapigano mapya Mashariki mwa DRC yamehamisha angalau watoto 100,000: UN
Zaidi ya watoto 100,000 wameyakimbia makazi yao kutokana na ongezeko la hivi punde mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, UNICEF ilisema Jumapili.
Serikali yaagiza wananchi kuweka akiba ya chakula
DODOMA; WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania watunze akiba ya chakula walichonacho na waepuke matumizi yasiyofaa kutokana na hali ya kuchelewa kwa msimu wa mvua. Dk Nchemba alitoa wito…
UN yaisifu Tanzania kuwa mfano wa amani
UMOJA wa Mataifa (UN) umesema Tanzania imeendelea kuwa mfano wa amani na mshikamano ndani ya Afrika na duniani kwa ujumla. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres pia alisema…
Mbunge wa upinzani nchini Sudan Kusini auawa kwa kupigwa risasi
Luka Mathen Toupini Luk, mbunge wa upinzani nchini Sudan Kusini, ameuawa kwa kupigwa risasi nyumbani kwake katika mji mkuu wa nchi hiyo, Juba.
Mbunge wa upinzani nchini Sudan Kusini auawa kwa kupigwa risasi
Luka Mathen Toupini Luk, mbunge wa upinzani nchini Sudan Kusini, ameuawa kwa kupigwa risasi nyumbani kwake katika mji mkuu wa nchi hiyo, Juba.
Uturuki inalaani shambulio la kigaidi kwenye ufukwe wa Bondi mjini Sydney
Takriban watu 12 wameuawa na wengine 29 kujeruhiwa katika tukio la ufyatuaji risasi kwenye ufukwe wa Bondi huko Sydney.
Uturuki inalaani shambulio la kigaidi kwenye ufukwe wa Bondi mjini Sydney
Takriban watu 12 wameuawa na wengine 29 kujeruhiwa katika tukio la ufyatuaji risasi kwenye ufukwe wa Bondi huko Sydney.
Rushwa barabarani bado mwiba
Licha ya hatua na marufuku zilizowahi kutolewa na Serikali dhidi ya rushwa barabarani, vitendo...
Watu saba wauawa katika shambulio la ndege zisizo na rubani kwenye hospitali ya Sudan
Shambulio la ndege zisizo na rubani siku ya Jumapili kwenye hospitali ya jeshi katika mji uliozingirwa kusini mwa Sudan wa Dilling ulisababisha "raia saba kuuawa na 12 kujeruhiwa," mfanyakazi wa…
#KIPIMAJOTO: Kutaifisha mali za wanaokutwa na hatia ya kujihusisha na dawa za kulevya
#KIPIMAJOTO: Kutaifisha mali za wanaokutwa na hatia ya kujihusisha na dawa za kulevya. Je, ni suluhisho la kukomesha biashara hiyo haramu?
Vifaa vya tiiba vya Iran sasa kuzalishwa nchini Venezuela
Wizara ya Sayansi na Teknolojia ya Venezuela imetangaza kusainiwa makubaliano ya kimkakati na kampuni ya Iran kwa ajili ya kuzindua njia nne za uzalishaji wa vifaa muhimu vya matibabu nchini…
Dawa za Iran sasa kuzalishwa nchini Venezuela
Wizara ya Sayansi na Teknolojia ya Venezuela imetangaza kusainiwa makubaliano ya kimkakati na kampuni ya Iran kwa ajili ya kuzindua njia nne za uzalishaji wa vifaa muhimu vya matibabu nchini…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI…..DESEMBA 15, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI.....DESEMBA 15, 2025
Umoja wa Mataifa: Tanzania ni rejea ya amani Afrika na duniani kote
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Tanzania imekuwa ni rejea muhimu ya amani na mshikamano wa kijamii barani Afrika na duniani kote.
Aragchi: Ushirikishwaji wa Afghanistan ni msingi wa uthabiti wa kudumu
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesema uthabiti wa Afghanistan unategemea kuingizwa kwake kikamilifu katika mifumo ya kisiasa na kiuchumi ya kikanda, akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa…
Jumatatu, 15 Disemba, 2025
Leo ni Jumatatu 24 Mfunguo Tisa Jamadithani 1447 Hiijria sawa na 15 Disemba 2025.
Waziri Mkuu wa Uhispania: Kampeni ya Marekani katika maji ya Karibi ni ukiukaji wa sheria za kimataifa
Waziri Mkuu wa Uhispania amesema kwamba kampeni ya Marekani katika maji ya Karibi ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.
Iran yalaani shambulio la “kikatili” dhidi ya hafla ya Kiyahudi nchini Australia
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulio la “kikatili” lililolenga hafla ya Kiyahudi mjini Sydney, Australia, shambulio ambalo limeua watu wasiopungua 12 na kuwajeruhi wengine kadhaa.
WHO: Zaidi ya Wapalestina 1,000 wamefariki Gaza baada ya Israel kuwazuia kusafiri kupata matibabu
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema zaidi ya Wapalestina 1,000 wamepoteza maisha katika Ukanda wa Gaza kati ya Julai 2024 na Novemba 2025, wakisubiri ruhusa ya utawala wa Israel kuhamishwa…
15.12.2025
Wakazi wa mikoa ya Dar es salaam na Pwani nchini Tanzania bado wanaendelea kushuhudia adha kubwa ya ukosefu wa huduma ya maji +++Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky na wajumbe wa…
Urusi yaitaja DW kuwa “shirika lisilotakiwa”
DW tayari ilikuwa imetajwa kuwa “wakala wa kigeni” huku Kremlin ikiendelea kukandamiza sauti za vyombo vya habari vinavyoikosoa.
Aziza amepata kazi lakini ni kama anazongwa na ugonjwa asioufahamu 🥹
Aziza amepata kazi lakini ni kama anazongwa na ugonjwa asioufahamu 🥹
Dah eti Bonge la Dada wa #Mbosso ndio shoga yake Mwana 😅😆
Dah eti Bonge la Dada wa #Mbosso ndio shoga yake Mwana 😅😆 #NomaSeries
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania waweka akiba ya chakula walichonacho na waepuke matumizi yasiyofaa kutokana…
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania waweka akiba ya chakula walichonacho na waepuke matumizi yasiyofaa kutokana na hali ya kuchelewa kwa msimu wa mvua. Waziri Mkuu amesema hayo leo…
Kazi ya udereva wa abiria na mizigo inatajwa kuwa na changamoto mbalimbali zikiwemo ajali ambazo baadhi ya madereva hukumbwa naz…
Kazi ya udereva wa abiria na mizigo inatajwa kuwa na changamoto mbalimbali zikiwemo ajali ambazo baadhi ya madereva hukumbwa nazo. Hata hivyo kwa Mzee Faraji Nyembo maarufu kama “Mzee Pozi…
Mkuu wa Wilaya ya Butiama Thecla Mkuchika ameiagiza Mamlaka ya Maji Mugango-Kiabakari kupeleka huduma ya maji katika hospitali m…
Mkuu wa Wilaya ya Butiama Thecla Mkuchika ameiagiza Mamlaka ya Maji Mugango-Kiabakari kupeleka huduma ya maji katika hospitali mpya ya wilaya hiyo, Kizurira Nyerere Mganga Mkuu wa Wilaya hiyo Dkt.…
Chama cha Waigizaji wa Filamu Mkoa wa Iringa (TDFAA) kimetoa tuzo ya heshima kwa kampuni ya Azam Media Limited kupitia chaneli y…
Chama cha Waigizaji wa Filamu Mkoa wa Iringa (TDFAA) kimetoa tuzo ya heshima kwa kampuni ya Azam Media Limited kupitia chaneli ya Sinema Zetu HD, ikiwa ni kutambua mchango wa…
Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na Dawa za kulevya Zanzibar (ZDCEA) imetaifisha nyumba nne zenye thamani ya zaidi ya millioni…
Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na Dawa za kulevya Zanzibar (ZDCEA) imetaifisha nyumba nne zenye thamani ya zaidi ya millioni 169 zinazodaiwa kumilikiwa na Mohamed Omar Ali anayetuhumiwa kufanya biashara…
Padri Ngonyani: Jenista ni zawadi ya Mungu kwa maskini na wanyonge
Aliyekuwa Mbunge wa Peramiho (CCM), marehemu Jenista Mhagama, ametajwa kuwa zawadi ya Mungu...
Nishati safi yaongeza ufanisi magereza
MKUU wa Gereza la Bukoba, Aloyce Kalihamwe amesema matumizi ya nishati safi ya kupikia yameleta mageuzi makubwa katika utekelezaji wa majukumu ya Magereza nchini yakichangia kwa kiasi kikubwa kuongeza ufanisi…
Chande awafunda wahitimu chuo cha wanyamapori
KILIMANJARO: Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande amewataka wahitimu wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka, kuzingatia uadilifu, uzalendo na unyenyekevu wakati wa kuhudumia wananchi na kulinda…
Shughuli imewachanga wana Kikala nyumba haikaliki 😅
Shughuli imewachanga wana Kikala nyumba haikaliki 😅 #KombolelaSeries #KombolelaSeason2