🔴TAARIFA YA HABARI YA DESEMBA 14,2025 – WAKAZI WA DAR ES SALAAM WAENDELEA KUTAHABIKA KWA KUKOSA MAJI
🔴TAARIFA YA HABARI YA DESEMBA 14,2025 - WAKAZI WA DAR ES SALAAM WAENDELEA KUTAHABIKA KWA KUKOSA MAJI
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU – 14/12/2025
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU - 14/12/2025
Baadhi ya wakulima wameiomba serikali kuhakikisha inawasajili sambamba na kuwapatia namba za usajili ili waweze kupata pembejeo …
Baadhi ya wakulima wameiomba serikali kuhakikisha inawasajili sambamba na kuwapatia namba za usajili ili waweze kupata pembejeo za kilimo kupitia mfumo wa ruzuku ya serikali hususan katika kipindi hiki kuelekea…
Ijue Hoteli ya kifahari itakayotumiwa na Taifa Stars Morocco
Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imepangiwa katika Hoteli ya Kifahari ya Le tour Hassan...
Serikali ya Tanzania imepeleka ujumbe maalum wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa Umoja wa Mataifa (UN), ambao umepokewa na Katibu Mk…
Serikali ya Tanzania imepeleka ujumbe maalum wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa Umoja wa Mataifa (UN), ambao umepokewa na Katibu Mkuu wa umoja huo Antonio Guterres. "Tanzania imekuwa kitovu cha…
Unicorn Allianz State Summit kufungua fursa uwekezaji na ushirikiano kimataifa
Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa Unicorn Allianz State Summit 2026, ambalo ni jukwaa...
Azam FC yatua kwa Mkongomani
WAKATI dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa rasmi Januari Mosi, 2026, uongozi wa Azam unaangalia uwezekano wa kuipata saini ya beki wa kulia wa AS Vita Club, Mkongomani Henoc Lolendo…
Mke wa Rais Xi Jinping wa China astawisha afya ya watoto Tanzania
Miradi ya afya kwa wanawake na watoto barani Afrika iliyoasisiwa na Profesa Peng Liyuan, ambaye...
Ole Millya atangaza kiama kwa viongozi wauza ardhi Simanjiro
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Ole Millya ametangaza...
Wataalamu watoa suluhu ya kudumu tatizo la maji
Uhaba wa maji safi na salama unaoendelea kuitafuna baadhi ya mikoa nchini, umeanza kuibua...
Ongezeko la watu laongeza uzalishaji bia, vinywaji
Ongezeko la watu Tanzania limetajwa kuwa sababu ya kuongezeka kwa kwa uzalishaji bia na...
Ndayiragije apewa faili la Nkane TRA United
MABOSI wa TRA United zamani Tabora United, wanaangalia uwezekano wa kumpata kwa mkopo nyota wa Yanga, Denis Nkane, baada ya mchezaji huyo anayecheza nafasi mbalimbali uwanjani kushindwa kupenya kikosi cha…
China yaendelea kuimarisha, kulinda afya za watoto nchini
Miradi ya afya kwa wanawake na watoto barani Afrika iliyoasisiwa na Profesa Peng Liyuan, ambaye...
UN: Matukio ya Uchaguzi Mkuu lilikuwa jaribu kwa Tanzania
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres amesema matukio yaliyotokea katika...
Blanco apeleka mabao Colombia
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Azam FC, Jhonier Blanco amekamilisha uhamisho wake wa kujiunga na timu ya Llaneros ya kwao Colombia, baada ya kutokuwa na timu yoyote tangu alipoachana na wanalambalamba aliowatumikia…
Wawili Ceasiaa kuiwahi Simba Queens
CEASIAA Queens imetaja sababu ya nyota wake wawili wa kigeni, Anita Adongo na Diana Cherono kutoonekana uwanjani huku changamoto ya vibali ikiwa mojawapo.
Kipigo cha 6-0 chailiza Bilo Queens
BAADA ya kukubali kichapo cha mabao 6-0 kutoka kwa JKT Queens, kocha wa Bilo Queens, Ibrahim Humba, amesema ugeni wa Ligi Kuu na uzoefu mdogo wa mashindano ni kati ya…
UNEA-7: Mustakabali wa mazingira duniani, ajenda 11 zikipitishwa
Maazimio 11, maamuzi matatu na tamko moja la mawaziri yanayolenga kuimarisha ustahimilivu wa...
Gaucho na rekodi tamu dhidi ya Yanga
MABAO aliyofunga juzi Ijumaa na mshambuliaji wa Tausi FC, Mwanahamis Omary ‘Gaucho’ yamemfanya mkongwe huyo kuwa na rekodi tamu ya mchezaji aliyeifunga Yanga Princess mabao mengi zaidi akifikisha 16 kwa…
Waisraeli 11 wauawa katika shambulio Australia
Sydney, Australia. Watu 11 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya shambulio la...
Watu 11 wauawa katika shambulio Australia
Sydney, Australia. Watu 11 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya shambulio la...
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA JIONI – 14/12/2025
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA JIONI - 14/12/2025
Leo saa 4:00 usiku katika movie ya kihindi kupitia AzamTWO ni kitu cha Bade Mivan Chote Mivan
Leo saa 4:00 usiku katika movie ya kihindi kupitia AzamTWO ni kitu cha Bade Mivan Chote Mivan. Mzigo huu umetafsiriwa kwa Kiswahili.. Mpenzi wa movie za kihindi hii si ya…
Bilioni 53 kujenga miradi 57 Manispaa Kigoma Ujiji
Zaidi ya Sh53 bilioni zimetarajiwa kutumika katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya...
Zambia kuendelea kushirikiana na Tanzania kiuchukuzi
Zambia imesema itaendelea kuwa mdau muhimu wa sekta ya usafiri na uchukuzi nchini Tanzania...
Wanane wasimamishwa kazi kwa utendaji mbovu Mafia, Kilolo
Viongozi wanane wa Halmashauri za Wilaya za Mafia, Mkoa wa Pwani na Kilolo, mkoani Iringa...
Serikali yahoji wakimbizi 52 Kigoma, M23 ikidhibiti Uvira
Wakati kikundi cha waasi wa M23 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kikiudhibiti mji...
Balozi Bandora afariki dunia, kuzikwa Desemba 16
Mwanadiplomasia nguli wa Tanzania, aliyewahi kuhudumu kama Balozi wa Tanzania nchini Nigeria na...
Miaka saba ya visa na mikasa ya dalali kuvusha wanafunzi Tegeta
“Nilishuhudia ajali za mara kwa mara nikaamua kujipa jukumu hili,” ni kauli ya Salum Seif...
Shughuli ya Shida Masamba kwenye ubora wake
Shughuli ya Shida Masamba kwenye ubora wake... #KombolelaSeries #KombolelaSeason2
Ramadhan Chomelo kutimkia Depsas Enerji
KUNA asilimia kubwa kwa kiungo mshambuliaji wa zamani wa Konya Amputee inayoshiriki Ligi Kuu ya Walemavu Uturuki, Ramadhan Chomelo akatimkia Depsas Enerji ya nchini humo.
Mtanzania mwingine atimka Dispas
WINGA Mtanzania, Kassim Mbarouk aliyeitumikia Sauti Parasports amejiunga na Dispas SC ya Uturuki kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Chama la kina Lunyamila linakwama hapa
CHAMA la Watanzania wawili, Julietha Singano na Enekia Kasonga ‘Lunyamila’ wanaokipiga FC Juarez inayoshiriki Ligi ya Wanawake Mexico bado lina changamoto kwenye eneo la ushambuliaji.
Mabula atamani rekodi mpya Azerbaijan
KIUNGO wa Shamakhi FC inayoshiriki Ligi Kuu Azerbaijan, Alphonce Mabula amesema anatamani kuvunja rekodi yake binafsi ya msimu uliopita baada ya kufikisha mabao matatu na asisti tatu alizochangia 2024-25.
Mshauri na Mwelekezi wa Stadi za Maisha, Rodrick Nabe amewashauri baadhi ya watu wanaoposti katika mitandao ya kijamii kuweka mi…
Mshauri na Mwelekezi wa Stadi za Maisha, Rodrick Nabe amewashauri baadhi ya watu wanaoposti katika mitandao ya kijamii kuweka michakato wanaopitia kufikia mafanikio na si tu matokeo ili vijana wajifunze…
Je, sababu yako ya kutaka mafanikio inaendana na jitihada unazoweka ili kuyafikia
Je, sababu yako ya kutaka mafanikio inaendana na jitihada unazoweka ili kuyafikia Msikilize Mshauri na Mwelekezi wa Stadi za Maisha, Rodrick Nabe akifafanua jinsi malengo ya mtu yanavyoweza kumpa mafanikio…
Ushirikiano kati ya Iran na wanachama wa BRICS: Mkakati wa kuimarisha ushirikiano wa pande nyingi
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo yake na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Ethiopia kwamba: BRICS inaweza kuandaa mazingira ya kuwepo ushirikiano wa haki na…
UNAOC Riyadh: Mazungumzo si ujinga ni muhimu kadri mgawanyiko unavyozidi duniani
Jukwaa la 11 la Kimataifa la Muungano wa Umoja wa Mataifa wa Ustaarabu UNAOC limefunguliwa leo Jumapili Riyadh Saudi Arabia kwa ujumbe ulio wazi kwa dunia inayogawanywa na kutoaminiana, mazungumzo…
Guterres amelaani shambulio la kigaidi kwenye sherehe ya Hanukkah Sydney
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, leo amelaani vikali shambulio la kigaidi lililolenga sherehe ya Hanukkah mjini Sydney, Australia, akilielezea kuwa ni tukio la kikatili linalodhoofisha misingi ya…
UN yaadhimisha mara ya kwanza Siku ya Kimataifa ya Familia ya Lugha za Kituruki
Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na utamaduni UNESCO, linajiandaa kuadhimisha kwa mara ya kwanza kabisa Siku ya Kimataifa ya Familia ya Lugha za Kituruki itakayofanyika kesho Jumatatu,…
#HABARI: Katika kurejesha na kuithamini jamii MCHEZO SUPA ya ITV imetembelea na kutoa mahitaji mbalimbali ya watoto katika Kituo…
#HABARI: Katika kurejesha na kuithamini jamii MCHEZO SUPA ya ITV imetembelea na kutoa mahitaji mbalimbali ya watoto katika Kituo cha watoto yatima cha Watoto Wetu, kilichopo Goba jijini Dar es…
Bado siku nne kufika Desemba 18, siku ambayo tamthilia ya Mrs Garcia itaanza
Bado siku nne kufika Desemba 18, siku ambayo tamthilia ya Mrs Garcia itaanza. #MrsGarcia #AzamONE
Kilio cha ajira kilivyokuwa mjadala 2025
Mwaka 2025 sekta ya ajira imeendelea kuwa ajenda nzito ya kitaifa, ikibeba mjadala mpana...
Mweka kuzalisha wataalamu wa saikolojia katika utalii
Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka kimepanga kuanzisha programu ya saikolojia katika...
Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Jenista Mhagama, umewasili mkoani Ruvuma na kupokelewa na waombolezaji katika Uw…
Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Jenista Mhagama, umewasili mkoani Ruvuma na kupokelewa na waombolezaji katika Uwanja wa Ndege wa Songea, wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,…
Kampeni zinaanza nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati kabla ya uchaguzi mkuu
Kwa hesabu za kura za mamlaka ya uchaguzi, takriban wapiga kura milioni 2.3 wanatarajiwa kwenye sanduku la kura tarehe 28 Desemba.