JKT Queens yaanza upyaa hesabu WPL
WATETEZI wa Ligi Kuu Bara Wanawake (WPL), JKT Queens wanaingia kambini kesho Alhamisi kuanza kazi ya kutetea taji kwa kuvaana na Bunda Queens.
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imeteketeza dawa za kulevya aina ya mirungi, zenye uzito wa zaidi ya kilo 9…
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imeteketeza dawa za kulevya aina ya mirungi, zenye uzito wa zaidi ya kilo 900, zilizokamatwa mjini Bariadi, mkoani Simiyu. Wakati zoezi…
🔴MEZA HURU – UFAHAMU UGONJWA WA PSORIASIS ..NOVEMBA 26 2025
🔴MEZA HURU - UFAHAMU UGONJWA WA PSORIASIS ..NOVEMBA 26 2025
Tanzania marks Transport Week with insistence on clean energy
DAR ES SALAAM: THE Minister for Transport, Professor Makame Mbarawa, said the Tanzanian government will continue improving transportation services by using clean energy as part of ongoing efforts to protect…
TLS yaenda mahakamani kupinga amri ya IGP
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kimefungua shauri la Kikatiba dhidi ya Inspekta Jenerali...
AU-EU Summit zeal for political will, peace, security, and economic development
LUANDA: A zeal to strengthen strategic cooperation in peace, security, good governance, economic development, and sustainable development areas heralded the 7th Summit of Heads of State and Government of the…
OCHA/FAO: Somalia yatangaza dharura ya ukame huku mamilioni wakikabili njaa baada ya mvua kushindikana
Somalia inakabiliwa na dharura ya ukame inayozidi kuongezeka kwa kasi, huku sehemu kubwa za nchi sasa zikikauka baada ya misimu minne ya mvua kushindikana, ikiacha mamilioni ya watu katika hatari…
Zaidi ya taasisi 340 za elimu zimeharibiwa au kuangamizwa nchini Ukraine mwaka huu
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF) leo hii huko Kyiv, Ukraine limeripoti kuwa zaidi ya taasisi 340 za elimu zimeharibiwa au kuangamizwa mwaka huu 2025 nchini humo…
Guinea-Bissau: Katibu Mkuu UN anafuatilia kwa karibu kinachoendelea
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa “anaufuatilia mwenendo wa hali ilivyo kwa wasiwasi mkubwa,” amesema msemaji wake wakati wa mkutano wa mchana na waandishi wa habari katika Makao Makuu ya…
Kuweka picha za udhalilishaji kwenye mtandao wa intaneti si jambo zuri – Musisa Yusuph Onya
Siku 16 za uhamasishaji kupinga ukatili dhidi ya wanawake zikiendelea leo tunakupeka mjini Hoima Magharibi mwa Uganda kusiki maoni kutoka kwa wa mji huo kuhusu ukatili mtandaoni yakienda sanjari na…
UNIDO: Wajasiriamali vijana waapa kukumbatia fursa na kujenga viwanda vya kesho
Vijana wanachangia pakubwa katika uundaji wa viwanda vinavyowanufaisha watu na kulinda sayari. Jukumu lao limetambuliwa leo Jumatano katika siku ya Generation Future ya Mkutano wa Kimataifa wa Viwanda unaofanyika Riyadh…
Maadhimisho ya kwanza ya Siku ya Kimataifa ya Usafiri Endelevu Katibu Mkuu UN atoa wito wa mabadiliko ya haraka
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameadhimisha Siku ya Kimataifa ya Usafiri Endelevu Duniani kwa kuonya kwamba mifumo ya usafiri duniani ambayo ni muhimu kwa uchumi na maisha…
Suluhisho bunifu kwa wafugaji wa maeneo yenye ukame nchini Kenya zaleta tija: WFP
Katika maeneo yaliyoghubikwa na athari za mabadiliko ya tabianchi kaskazini mwa Kenya, wafugaji wamekuwa wakikumbwa na changamoto kubwa kwani ukame na mafuriko, vinatishia sio tu mali zao bali pia maisha…
Ulega: Vijana wasifukuzwe kazi hovyo
WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa maelekezo kwa mameneja na wasimamizi wa miradi ya ujenzi wa miundombinu nchini kuhakikisha wanalinda na kusimamia maslahi ya watanzania waliopata fursa ya kuajiriwa na…
TEF Vice Chairman, Machumu, resigns
DAR ES SALAAM: The Director of Presidential Communications at State House, Bakari Machumu, has resigned from his position as Vice Chairman of the Tanzania Editors’ Forum (TEF). Machumu submitted his…
Marburg yaua sita Ethiopia
IDADI ya vifo vinavyotokana na mlipuko wa virusi vya Marburg nchini Ethiopia imeongezeka na kufikia watu sita, kwa mujibu wa taarifa iliyothibitishwa na Shirika la Habari la Ethiopia. The post…
Sababu mechi za Wagosi kuondolewa usiku Tanga
KAMA ni shabiki wa Coastal Union (Wagosi wa Kaya) na ulikuwa na mipango ya kutaka kushuhudia mechi za usiku kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga wakati wababe hao wa zamani wa…
Mvutano mkali ulitawala mazungumzo ya Trump na Bin Salman kuhusu kuanzisha uhusiano na Israel
Duru zenye taarifa zimedokeza kuwa, mkutano kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman uliofanyika wiki iliyopita katika Ikulu wa White House ulishuhudia…
Aliyekatwa uume na mkewe aomba msaada, amsamehe mkewe
“Nawaomba Watanzania, wananchi wenzangu mnisaidie niweze kupata matibabu kokote ya kuwekewa...
Steinmeier aanza ziara ya siku 3 Uhispania
Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier anaanza ziara ya siku tatu nchini Uhispania Jumatano.
SMZ yajipanga kuzuia usafirishaji wa binadamu
TAASISI zinazohusika na kuzuia na kupambana na usafirishaji haramu wa binadamu zimetakiwa kuongeza ubunifu na kutumia mbinu za kisasa kubaini vyanzo vyote vya uhalifu huo, ambao umeendelea kuwaathiri kwa kiwango…
Tanzania cherishes the effective use of statistics to improve health services
ISTANBUL: TANZANIA has assured stakeholders in the Health Sector to continue using research results, accurate statistics, and international cooperation to improve health services for its citizens, as it is the…
Maajabu ya Jimmy Cliff mwamba wa reggae aliyoanguka
Muziki wa reggae umepata pigo jingine. Baada ya kudondoka magwiji kadhaa wa miondoko hiyo...
TRA, Barrick Gold deepen partnership to promote tax compliance
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Revenue Authority (TRA) has reaffirmed its commitment to supporting taxpayers and fostering voluntary compliance during a high-level meeting with Barrick Gold Mine. TRA Commissioner General,…
EU na AU kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na kiuchumi
Makubaliano hayo yamefikiwa kwenye kilele cha mkutano wa siku mbili wa viongozi hao uliofanyika mjini Luanda, nchini Angola.
JK blesses the 17th Mkwawa University’s graduation
IRINGA: THE Chancellor of the University of Dar es Salaam, Former President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, presided over the 17th graduation ceremony of the Mkwawa University College of Education (MUCE)…
MONUSCO: Kuna ongezeko la ukiukaji wa haki DRC
Ripoti ya kikosi cha Umoja wa Mataifa cha kulinda amani nchini Kongo MONUSCO inaonesha kuna ongezeko la ukiukaji wa haki za binadamu.
AU na EU zaahidiana kuendeleza ushirikiano
Nchi za Umoja wa Ulaya na Umoja wa Afrika zimesisitiza umuhimu wa kuwa na ushirikiano wa karibu ili kufungua milango ya fursa zaidi kati yao.
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, NOVEMBA 26, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, NOVEMBA 26, 2025
Mwakilishi wa Marekani kukutana na Vladimir Putin Urusi
Ikulu ya Urusi Kremlin, imethibitisha kuwa mwakilishi wa Marekani Steve Witkoff atakutana na Rais wa Urusi, Vladimir Putin wiki ijayo huku Marekani ikiendeleza juhudi za kupata makubaliano ya kuumaliza mzozo…
Kisa kichapo vyombo vya habari Hispania vyaiwashia moto Barcelona
Vyombo vya habari nchini Hispania vimeichana Barcelona bila huruma baada ya timu hiyo kuonyesha...
Gavana wa Darfur: Katika kipindi cha siku tatu tu, RSF iliua Wasudan 27,000 El-Fasher
Gavana wa Jimbo la Darfur nchini Sudan, Minni Arko Minnawi, ameviambia vyombo vya habari kuwa, katika kipindi cha siku tatu tu Wasudan 27,000 waliuliwa na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka…
Mahakama ya EU yaiamuru nchi mwanachama itambue ‘ndoa’ za jinsia moja
Mahakama ya juu zaidi ya Umoja wa Ulaya imetoa hukumu kwamba Poland inalazimika kuzitambua ndoa za jinsia moja zilizosajiliwa katika nchi zingine wanachama wa umoja huo japokuwa mahusiano kama hayo…
Israel yaanza operesheni mpya katika Ukingo wa Magharibi
Jeshi la Israel limetangaza operesheni mpya lililoitaja kuwa y kupambana na ugaidi" kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi, kwa mujibu wa taarifa ya pamoja ya jeshi na Shirika la Ujasusi la…
Jeshi la Sudan ladai kuzuia shambulio la RSF
Majeshi ya serikali ya Sudan yamedai kuwa yamezuia jaribio la wapiganaji wa RSF kufanya mashambulizi licha ya kundi hilo kutangaza kusitisha mapigano siku ya Jumatatu.
Azinduka kwenye jeneza muda mfupi kabla ya kuzikwa kwa kuchomwa moto
Wafanyakazi katika hekalu la Kibudha nchini Thailand wamepatwa mshangao baada ya mwanamke...
Nusu ya raia Sudan Kusini wanakabiliwa na njaa kali
Takriban watu milioni sita wanakabiliwa na njaa kali Sudan Kusini, idadi sawa na nusu ya raia wote nchini humo. Kulingana na Shirika la kimataifa la kupambana na umasikini la Oxfam,…
How AfDB became a quiet architect of Tanzania’s development
DODOMA: WHEN Tanzania reflects on the past four years under President Samia Suluhu Hassan, one theme stands out: transformation powered not only by political will, but by partnerships that have…
JK aongoza mahafali ya 17 MUCE
IRINGA;Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Rais mstaafu wa Awamu ya Nne Dk Jakaya Kikwete, ameongoza mahafali ya 17 ya Chuo Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) mjini…
Mpango wa Marekani kwa Ukraine: Kremlin yaripoti ‘mambo chanya’
Kremlin imeripoti leo Jumatano “mambo chanya” katika mpango wa Marekani wa kutatua mgogoro nchini Ukraine, huku ikisisitiza kwamba bado haijaijadili “kwa undani na mtu yeyote.” Imechapishwa: 26/11/2025 – 10:56 Dakika…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, NOVEMBA 26, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, NOVEMBA 26, 2025
Sababu mwanafunzi UDOM kujitumbukiza kisimani
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Said Kabuga amefariki dunia baada ya kutumbukia...
Wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Madaba wameamua kuchangia ujenzi wa bweni la wasichana ili kulinda watoto dhidi ya …
Wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Madaba wameamua kuchangia ujenzi wa bweni la wasichana ili kulinda watoto dhidi ya changamoto za usalama na kusitisha mimba za utotoni. Je,…
Tunisia: Balozi wa EU aitishwa na Rais Saied kwa ‘kushindwa kuheshimu sheria za kidiplomasia’
Rais wa Tunisia Kais Saied amemwitisha Balozi wa Umoja wa Ulaya Giuseppe Perrone leo Jumatano ili “kuelezea malalamiko yake makali kuhusu kushindwa kuheshimu sheria za kidiplomasia,” kulingana na taarifa fupi…
Tanzania yaja na mwarobaini kupunguza vifo vya watoto wachanga
Tanzania imechukua hatua madhubuti za kupunguza vifo vya watoto wachanga kupitia ushirikiano...
Mpogolo aweka mkazo amani Ilala
DAR ES SALAAM: MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amewataka wenyeviti wa mitaa na askari polisi wa ngazi ya kata kuimarisha ushirikiano katika kulinda amani na usalama ndani ya…
Taiwan unveils $40bn budget for defence spending to counter China
TAIWAN: TAIWANESE President William Lai Ching-te has announced a $40bn budget for defence spending over the next eight years, to get “closer to the vision of an unassailable Taiwan, safeguarded…
Mchakato wa kumchagua Katibu Mkuu mpya wa UN waanza
Umoja wa Mataifa umezindua mchakato wa kumtafuta Katibu Mkuu mpya wa umoja huo.
47th meeting explores best ways to implement EAC Customs Protocol
NAIROBI: East African Community member states met in Nairobi to explore several areas of cross-border business, fairness and customs operation guided by Articles 10 and 15 of the EAC Customs…
Safari ya K Zungu kwenye muziki wa Singeli
Ikiwa ni mfuatiliaji wa mitandao ya kijamii hususan kwa wapenzi wa muziki wa singeli utakuwa...