ONGEA NA BETTIE: Hapa kuna ndoa au ananihadaa
Nina uhusiano na mwanamke kwa miaka mitatu na tulipanga mwishoni mwa mwaka huu nikatoe barua...
Chinese Coast Guard vessels sail through Japan-administered Senkaku Islands
Chinese Coast Guard vessels have sailed through the Japan-administered Senkaku Islands amid rising tensions between the two countries over Japanese Prime Minister Sanae Takaichi’s comments about Taiwan. The China Coast…
Kutopendelea IAEA upande wowote; takwa kuu la Iran katika kadhia ya nyuklia
Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuhusu ripoti ya Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya…
TPHPA yaja na teknolojia kukabiliana na wadudu shambani
Wakati msimu wa kilimo kwa mwaka 2025/26 ukianza, Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu...
Epukana na ogopa uchoyo kwenye ndoa
Leo tutaongelea ubinafsi na uchoyo. Kwenye ndoa, sawa na kwenye maisha mengine, kuna wanandoa...
NM-AIST yaunga mkono mafunzo AI, sayansi data
ARUSHA: TAASISI ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imekabidhi vitendea kazi vya kompyuta 50 kwa wanafunzi 50 wa kambi maalumu ya Samia Scholarship katika Programu juu…
Uungwaji mkono wa Ujerumani unaashiria ‘upya wa nia ya kisiasa’ kwa ombi la Uturuki la EU: Fidan
Hakan Fidan anasema uungwaji mkono wa Berlin unaweza kuleta "maendeleo mapya" katika kujiunga na Umoja wa Ulaya wa Ankara, huku akiangazia mabadiliko ya ajenda ya ulinzi ya umoja huo na…
Msaada mtoto aliyeshuhudia matukio yanayoumiza hisia
Ripoti ya mwaka 2017 iliyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Ustawi wa...
Wataalamu wanaeleza kuwa, usipoweza kuzuia mkojo ndani ya saa mbili hadi tano, hiyo ni ishara kuwa una shida ya afya ya kibofu c…
Wataalamu wanaeleza kuwa, usipoweza kuzuia mkojo ndani ya saa mbili hadi tano, hiyo ni ishara kuwa una shida ya afya ya kibofu chako. Msikilize Daktari wa Binadamu, Abilius Fidel akielezea…
Kama ukikaa mda mrefu au pale unaposimama unapatwa na maumivu ya miguu pamoja na kukata nyama za tumbo fanya mazoezi haya
Kama ukikaa mda mrefu au pale unaposimama unapatwa na maumivu ya miguu pamoja na kukata nyama za tumbo fanya mazoezi haya. @mcjojo__ ✍Juliana James Mhariri | @claud_jm #AzamTVUpdates
Chunga ‘x’ wako anapoamua kuramba matapishi yake
Katika ulimwengu wa uhusiano wa kimapenzi, si jambo geni kusikia au kushuhudia mwenza akiachana...
DC Mwaipaya awahamasisha wananchi kushiriki michezo
MTWARA: MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Abdallah Mwaipaya amewataka wananchi wilayani humo kuendelea kushiriki michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu ili kuimarisha afya na kuleta mshikamano. Hayo yamejiri wakati wa…
#HABARI: Mkutano wa Maaskofu Wakatoliki wa Marekani umelaani msako mkali uliotekelezwa na Idara ya Uhamiaji nchini ambao Rais wa…
#HABARI: Mkutano wa Maaskofu Wakatoliki wa Marekani umelaani msako mkali uliotekelezwa na Idara ya Uhamiaji nchini ambao Rais wa Marekani Donald Trump anatetea kwa kile alichokiita "mageuzi ya msingi ya…
Kanga zinavyobeba ujumbe kwenye ndoa
Kwa muda mrefu, kanga imekuwa zaidi ya vazi la mwanamke. Ni sauti isiyo na mdomo, ujumbe usio...
Kapilima, B19 kuna jambo linaendelea
ALIYEKUWA Kocha wa KenGold, Omary Kapilima, yupo katika mazungumzo ya kukiongoza kikosi cha B19 zamani kikifahamika kwa jina la Tanesco, baada ya timu hiyo iliyopanda daraja msimu huu kutokuwa na…
Mmesikia huko? Kapera ameanza tizi Polisi Tanzania
MSHAMBULIAJI wa maafande wa Polisi Tanzania, Ramadhan Kapera ameanza mazoezi ya kujiweka fiti na kikosi hicho, baada ya kukosekana tangu msimu huu umeanza, kutokana na kusumbuliwa na jeraha la goti…
Kitasa Kagera Sugar chapiga mkwara
BEKI wa kulia wa Kagera Sugar, Yusuph Iddy 'Kiba', amesema licha ya kucheza kwa mara ya kwanza na timu hiyo msimu huu, ila amefurahia mwanzo mzuri na ushirikiano anaoupata kutoka…
Challe ana namba 8 wanane KenGold
KOCHA Mkuu wa KenGold, Jumanne Challe amesema licha ya mwenendo mzuri hadi sasa, ila anakabiliwa na changamoto kubwa ya kubadilisha wachezaji nafasi zao wanazocheza, kwa sababu kikosi hicho kina nyota…
From Tandale to Times square: What Diamond must do to bag Music Grammy Award
DAR ES SALAAM: WELL, my dear readers, let us begin by meeting that most common creature of modern society… The armchair critic. You know the type. They sit comfortably at…
Mzazi au wazazi wana haki ya kuuza mali zao bila kupata ridhaa wala kuwashirikisha watoto wao
Mzazi au wazazi wana haki ya kuuza mali zao bila kupata ridhaa wala kuwashirikisha watoto wao. Msikilize mwanasheria wetu akifafanua zaidi hili. #SheriaUpdates
Kocha Barberian ana kazi ya kufanya Championship
BAADA ya Barberian kuchapwa mechi nne mfulilizo za Ligi ya Championship msimu huu, kocha wa kikosi hicho, Moris Katumbo 'Kamongo', amesema tatizo kubwa linaloikabili timu hiyo ni kukosa balansi katika…
Mlipuko wa virusi vya Marburg umethibitishwa kusini mwa Ethiopia
Ugonjwa wa virusi uliogunduliwa unaonyesha kufanana na wale waliotambuliwa hapo awali Afrika Mashariki, CDC ya Afrika ilisema.
Faida za tendo la ndoa kwa wanandoa
Nia na madhumuni ya makala haya sio kuchochea ufanywaji wa tendo la ndoa kwa wasio wanandoa...
On a day of winds, President Samia reawakens Tanzania’s sense of purpose
DODOMA: ON November 14, 2025, the atmosphere in Dodoma carried a strangely human warmth, the kind that settles in when a country pauses to listen to its leader after months…
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Pangani, Mkoani Tanga, Novemba 14, 2025, imetoa hukumu dhidi ya watuhumiwa Idd Hamis Mohamed (55)…
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Pangani, Mkoani Tanga, Novemba 14, 2025, imetoa hukumu dhidi ya watuhumiwa Idd Hamis Mohamed (55) na Huruma Mlengule Hosia (35), wote wakazi wa Kijiji cha…
Othman asisitiza wananchi kudumisha amani
ZANZIBAR: MWENYEKITI wa Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) Taifa, Othman Masoud Othman amewataka wananchi kuwa watulivu na kuendelea kudumisha amani ya nchi, licha ya chama hicho…
Fidan: Njia ya kusuluhisha vikwazo vya Marekani iko wazi huku Trump akionyesha nia yake
Hakan Fidan anasema Trump "ameonyesha nia yake" ya kusuluhisha suala hilo, huku nchi mbili zikichunguza vifungu vya kina vya sheria, kutafuta njia kuelekea utatuzi.
UNICEF yatoa mamilioni kukabili mabadiliko ya tabianchi
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetoa Sh milioni 185.429 kwa ajili ya kutekeleza mradi wa kulinda na kuhifadhi vyanzo vya maji, kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.…
Rais Erdogan aadhimisha kumbukumbu ya miaka 42 ya kuanzishwa kwa TRNC
Ankara itaendelea kuimarisha mshikamano wake na watu wa Cyprus ya Uturuki kwa kila njia, alisema Recep Tayyip Erdogan.
Unajua chakula ni salama kikikaa siku tatu tu kwenye jokofu?
DAR ES SALAAM: KUHIFADHI chakula kwenye jokofu ni njia bora ya kukilinda dhidi ya kuharibika na magonjwa yanayosababishwa na bakteria. Hata hivyo, usalama wa chakula haupatikani tu kwa kukiweka kwenye…
ICGLR congratulates Dr Samia on her presidential victory
KINSHASA: THE International Conference on the Great Lakes Region (ICGLR) has hailed Tanzanian President, Dr Samia Suluhu Hassan, for winning Tanzania’s presidential race. The Vice President, Emmanuel Nchimbi, participated in…
Nyara za serikali zawapeleka jela miaka 25
TANGA: WAKAZI wa Kijiji cha Mseko, Idd Mohamed (55) na Huruma Mlengule (35) wamehukumiwa kwenda jela miaka 25 kwa hatia ya kupatikana na nyara za serikali na kumiliki silaha, kinyume…
Time for reconciliation
DAR ES SALAAM: THE nation has passed through the General Election, get‑ ting President, members of Parliament and councillors for the next five years. Having been sworn in, President Samia…
Tanzania kupata bil 49/- kukabili athari mabadiliko tabianchi
TANZANIA ni miongoni mwa nchi zinazotarajia kunufaika na Dola za Marekani milioni 20 (sawa na Sh bilioni 48.9) kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya kukabiliana na athari za mabadiliko…
Hatua ya Rais Samia kusamehe vijana ni funzo la busara
DODOMA: UAMUZI wa Rais Samia Suluhu Hassan kusamehe vijana waliofuata mkumbo na kushiriki vurugu zilizojitokeza wakati wa Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, mwaka huu ni hatua inayostahili pongezi za dhati. Akizungumza…
Pep Guardiola awataka Wahispania kushikamana na Palestina
Kocha wa Manchester City Mhispania Pep Guardiola, amewataka wananchi wa Uhispania kuonyesha mshikamano na wananchi wa Palestina.
Rais wa Venezuela: Uadilifu ni sharti la kupatikana amani ya kweli Gaza
Rais wa Venezuela amesisitiza uungaji mkono kamili kwa haki za watu wa Palestina na haja ya kutekeleza haki dhidi ya jinai na vitendo vya mauaji ya kimbari.
Charlotte Slente: Zaidi ya nusu ya Wasudan wanahitaji msaada wa kibinadamu
Zaidi ya nusu ya idadi ya watu wa Sudan wanahitaji msaada wa kibinadamu. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Baraza la Wakimbizi la Denmark, huku mapigano yakiliharibu taifa hilo la kaskazini…
Walimwengu walaani Wazayuni kuchoma moto msikiti katika Ukingo wa Magharibi
Hatua ya kundi la walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada ya kuchoma msikiti wa Hajja Hamida katika Ukingo wa Magharibi huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu imelaaniwa katika kila…
Hamas yatahadharisha kushadidi janga la kibinadamu Ukanda wa Gaza
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeonya kuhusiana na kushadidi janga la kibinadamuu katika Ukanda wa Gaza.
CCM yampongeza Rais Samia kusamehe vijana
DODOMA: MWENYEKITI wa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Maganya Rajab amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuleta maridhiano na kusamehe vijana walioshiriki vurugu na kusisitiza kuwa, hatua hiyo si…
Tanzania commits to intensifying peace, security in the Great Lakes
KINSHASA: TANZANIA has affirmed its commitment to maintain peace and harmony in there Great Lakes region. The country has supported all the important agendas discussed in the Internationa Conference on…
Kishindo cha Mwigulu
DODOMA:WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amezielekeza hospitali zote nchini kuhakikisha wajawazito wanaofika hospitalini kuhudumiwa kwanza na hatua za kiutawala zifuatwe baadaye ili kuokoa maisha ya mama na mtoto. Pia, aliagiza…
Tanzania kuunga mkono amani Ukanda wa Maziwa Makuu
CONGO: TANZANIA imeunga mkono ajenda zote muhimu zilizojadiliwa katika Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR). Makamu wa…
Wabunge wasema hotuba imesheheni maono ya Tanzania bora
WABUNGE wamepongeza hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuzindua bunge, kwamba imeonesha matumaini mapya ya Tanzania ijayo tajiri na bora Afrika. Tanzania itafikia ubora huo kama Watanzania kwa umoja…
Hekaya za Mlevi: Gen Z oneni enzi zetu
Waswahili huifanya salamu kuwa ni habari kamili. Badala ya kusalimiana huku wakipishana, wao...
Anko Kitime: Miaka 60 tangu kifo cha Salum Abdallah Yazidu
Cuban Marimba Band ya Morogoro, ilikuwa ikiongozwa na Salum Abdallah Yazidu. Bendi ilianza...
WHO yaonya kuhusu vifo vya wagonjwa huko Gaza
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kushindwa kupata vibali vya kuondoka mara moja kwa wagonjwa kutoka Gaza kumesababisha vifo vya wagonjwa 900 hadi sasa.
Umoja wa Mataifa waonya kuhusu kuongezeka kwa mgogoro wa kibinadamu nchini Sudan
Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Sudan, ukieleza kuwa watu wengi katika eneo hilo wanahitaji msaada wa haraka.
UNRWA: Israel inakiuka sheria za kimataifa kwa kuzuia misaada kwa Gaza
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limekosoa kuendelea kuwekewa vikwazo vya misaada katika Ukanda wa Gaza na kueleza kuwa, utawala ghasibu wa Israel kama utawala…