Vodacom shares rally on DSE market
The sustained rise in Vodacom’s share price signals growing investor confidence in the company and the telecommunications sector at large. The post Vodacom shares rally on DSE market first appeared…
Zanzibar tourism soars 24pc in October
ZANZIBAR: ZANZIBAR’S tourism sector is riding a strong wave of growth, with more than 86,700 international visitors arriving in October 2025, a sharp 24 per cent increase compared to the…
TARURA grants 100-day extension to Geita road contractor
GEITA: THE government, through the Tanzania Rural and Urban Roads Agency (TARURA), has granted a 100-day extension to the contractor implementing the Tanzania Cities Transformative Infrastructure and Competitiveness Project (TACTICS)…
Micheweni residents appeal for fisheries training college
PEMBA: RESIDENTS of Shanake Shehia in Micheweni District, Pemba, have appealed to the government to establish a fisheries training college in their area to equip them with professional fishing skills…
KIBAHA residents urged to support development efforts
KIBAHA: KIBAHA Municipal Council Executive Director (DED), Dr Rodgers Shemwelekwa, has called upon residents to continue supporting the government in the implementation of development projects for their own benefit. Dr…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 13 NOVEMBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 13 NOVEMBA 2025
“Hili sasa limekuwa somo kwamba kumbe kwa mwanadamu lolote linaweza kutokea hivyo ni vizuri sana kwa wakati tuliokuwa nao, viong…
"Hili sasa limekuwa somo kwamba kumbe kwa mwanadamu lolote linaweza kutokea hivyo ni vizuri sana kwa wakati tuliokuwa nao, viongozi wetu, Serikali, Taasisi zisizo za kiserikali na wananchi kwa ujumla…
Faili kamili la uwaziri mkuu wa Mwigulu Nchemba
Rais Samia Suluhu Hassan, ametimiza wajibu wake wa kikatiba. Ndani ya siku 14 baada ya...
#HABARI: Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe
#HABARI: Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan, kumteua Mbunge wa Iramba Magharibi na Waziri wa zamani wa Fedha, Mhe. Dk. Mwigulu Nchemba,…
🔴NINI KIFANYIKE MATUKIO YA OKTOBA 29 YASIRUDIE KATIKA ARHI YA TANZANIA?, NOVEMBA 13, 2025
🔴NINI KIFANYIKE MATUKIO YA OKTOBA 29 YASIRUDIE KATIKA ARHI YA TANZANIA?, NOVEMBA 13, 2025
Wakazi wawili wa Kata ya Msongozi, mkoani Morogoro wamefariki dunia na wengine wanne wameugua baada ya kula viazi pori
Wakazi wawili wa Kata ya Msongozi, mkoani Morogoro wamefariki dunia na wengine wanne wameugua baada ya kula viazi pori. Theresia Mwanga anasimulia tukio hilo. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma imeanza ukarabati wa madarasa mawili, stoo na ofisi katika shule ya msingi Kagongo yaliyobomolew…
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma imeanza ukarabati wa madarasa mawili, stoo na ofisi katika shule ya msingi Kagongo yaliyobomolewa na mvua iliyoambatana na upepo hivi karibuni, hali iliyosababisha wanafunzi 150…
Namna ufugaji wa mbuzi wa maziwa ulivyowakomboa kiuchumi wakazi wa wilaya za Chamwino na Bahi – Dodoma
Namna ufugaji wa mbuzi wa maziwa ulivyowakomboa kiuchumi wakazi wa wilaya za Chamwino na Bahi - Dodoma. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi
CUF yaivaa INEC yaitaka ijiuzulu, INEC yajibu
Wakati Chama cha Wananchi (CUF), kikiitaka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kujitathmini...
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU NOVEMBA 13, 2025 -MWIGULU NCHEMBA WAZIRI MKUU WA TANZANIA
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU NOVEMBA 13, 2025 -MWIGULU NCHEMBA WAZIRI MKUU WA TANZANIA
Sura ya baraza la mawaziri la Samia
Utabiri kuhusu nafasi ya waziri mkuu umekwisha na tayari Dk Mwigulu Nchemba (50) ameteuliwa na...
Michango ya NSSF yaiponza kampuni ya SCI Tanzania, sasa kulipa Sh2.3 bilioni
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imeiamuru Kampuni ya SCI Tanzania Limited...
Fyekeo na rato za Dk Mwigulu, wabunge wafunguka wakitaka iwe kwa vitendo
Kauli ya fyekeo na rato aliyoitoa Dk Mwigulu Nchemba muda mfupi baada ya kuthibitishwa na...
Dk Mwinyi atahadharisha wateule wa uwaziri
Wakati Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, akitangaza Baraza jipya la Mawaziri, amesema...
Rais Samia kulihutubia Bunge la Tanzania
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajia kulihutubia Bunge la nchi hiyo kama ishara ya kulizindua baada ya kukamilika kwa uteuzi wa Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na naibu wake.
Camara afanya uamuzi mgumu Simba akiwagomea mabosi
KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua kwa ajili ya mechi ya kwanza ya makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Petro Atletico ya Angola, lakini kuna taarifa moja inayoshtua baada…
Wajerumani wagawanyika kuhusu ushirikiano na AFD
Utafiti mpya unaonyesha kuwa raia wa Ujerumani wamegawanyika kuhusu iwapo vyama vingine vya siasa vinapaswa kushirikiana na chama cha mrengo mkali wa kulia cha AfD, ambacho kwa sasa ndicho chama…
Wajerumani wagawanyika kuhusu ushirikiano na chama cha AFD
Utafiti mpya unaonyesha kuwa raia wa Ujerumani wamegawanyika kuhusu iwapo vyama vingine vya siasa vinapaswa kushirikiana na chama cha mrengo mkali wa kulia cha AfD, ambacho kwa sasa ndicho chama…
Zaidi ya Wakenya 200 wanapigana kwa niaba ya Urusi nchini Ukraine
Mamlaka nchini Kenya imesema raia wake 200-wanapigana vita vya Ukraine kwa niaba ya Urusi, kukiwa na hofu kuwa huenda wengine wakasajiliwa kujiunga kwenye mzozo huo. Imechapishwa: 13/11/2025 – 16:42Imehaririwa: 13/11/2025…
Wananchi wanavyomtazama Waziri Mkuu mpya Dk Mwigulu
Dk Mwigulu Nchemba ndiye Waziri Mkuu wa 12 akivaa viatu vya Kassim Majaliwa.
#MALUMBANOYAHOJA….NOVEMBA 13, 2025
#MALUMBANOYAHOJA....NOVEMBA 13, 2025 #MADA:NINI KIFANYIKE MATUKIO YA OKTOBA 29 YASIRUDIE KATIKA ARHI YA TANZANIA? KARIBU KWA #MAONI HAPA
#HABARI: Siku chache baada ya kuanza msimu wa mwaka 2025 wa upatikaji wa senene, katika maeneo ya Mkoa wa Kagera, baadhi ya wafa…
#HABARI: Siku chache baada ya kuanza msimu wa mwaka 2025 wa upatikaji wa senene, katika maeneo ya Mkoa wa Kagera, baadhi ya wafanyabiashara wanaojihusisha na shughuli ya kuwatega na kuwauza,…
Marco Rubio atoa wito wa kusitishwa usambazaji wa silaha kwa RSF Sudan
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Marco Rubio ametoa wito wa hatua za kimataifa kuchukuliwa ili kukomesha silaha zinazopokezwa kundi la RSF nchini Sudan, kufuatia ripoti za mauaji ya…
Nabii Mkuu Geor Davie ateuliwa UN-PAF Afrika Mashariki
Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Ngurumo ya Upako la jijini Arusha, Nabii Mkuu GeorDavie Moses...
#HABARI: Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametoa maoni yanayounga mkono uteuzi wa Dkt
#HABARI: Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametoa maoni yanayounga mkono uteuzi wa Dkt. Lameck Nchemba kuwa ni kiongozi aliyeteuliwa kwa wakati sahihi kwa kuwa anazijua shida…
KKKT kufanya maombi ya kitaifa baada ya ghasia za uchaguzi
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, (KKKT) limetangaza wiki moja ya maombi ya kitaifa kutokana na ghasia za uchaguzi wa Oktoba 29, huku likifafanua zaidi kuhusu yatakayozingatiwa wakati wa kuhitimisha…
Ufaransa yafanya kumbukizi ya miaka 10 tangu shambulio baya jijini Paris
Nchi ya Ufaransa, hivi leo ilifanya kumbukizi ya miaka 10 tangu kutekelezwa kwa shambulio baya zaidi la kigaidi jijini Paris, ambapo watu zaidi ya 130 waliuawa. Imechapishwa: 13/11/2025 – 16:01Imehaririwa:…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MBEYA…13 NOVEMBA, 2025
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MBEYA.. 13 NOVEMBA, 2025
Singida Black Stars yawavutia kasi Waalgeria
KIKOSI cha Singida Black Stars kimeingia kambini jana kujiandaa na maandalizi ya mechi ya kwanza ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CR Belouizdad, itakayopigwa kwenye…
Mrundi apewa rungu TRA United
MABOSI wa TRA United zamani Tabora United, wapo hatua za mwisho za kumtangaza kocha mkuu Etienne Ndayiragije, raia wa Burundi ili kukiongoza kikosi hicho msimu huu, huku akiachiwa msala wa…
Hamas inapanga kuurejesha mwili wa mateka mwingine Israel
Tawi la kijeshi la Hamas limesema litaurejesha mwili wa mateka mwengine hii leo kama sehemu ya mpango wa usitishwaji mapigano Gaza uliosimamiwa na Marekani.
RSF yashambulia mji wa Merowe, Kaskazini mwa Sudan
Wanamgambo wa RSF nchini Sudan, wameushambulia kwa makombora mji wa Merowe ulioko kaskazini mwa taifa hilo, wakilenga bwawa kubwa katika eneo hilo linalodhibitiwa na jeshi.
Merz atoa wito kwa Zelensky kupambana na ufisadi
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz, amewambia Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kwamba anatarajia Ukraine kuweka juhudi zaidi kupambana na ufisadi, baada ya sakata kubwa la ufisadi kuitikisa Kyiv.
Syria kuisaidia Marekani kupambana na makundi ya wanamgambo
Mjumbe maalumu wa Marekani kwa ajili ya Syria Tom Barrack, amesema Syria itakuwa na jukumu muhimu katika kuisaidia nchi yake kupambana na makundi yaliyo na silaha.
Trump amuomba Rais wa Israel kutoa msamaha kwa Netanyahu
Rais wa Israel Isaac Herzog, amepokea barua kutoka kwa Rais wa Marekani Donald Trump, ikimuhimiza kufikiria kutoa msamaha kwa Waziri Mkuu wa taifa hilo Benjamin Netanyahu.
Macron: Bado tunaumia miaka 10 baada ya shambulizi la Paris
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema bado kuna "machungu" wakati taifa hilo linapoadhimisha kumbukumbu ya miaka 10 tangu yalipotokea mashambulizi mabaya.
Walowezi wa Kiyahudi wavamia Msikiti Ukingo wa Magharibi
Walowezi wa Israel walio na misimamo mikali wamevamia na kuuchoma moto Msikiti mmoja katika eneo linalokaliwa la Ukingo wa Magharibi huku picha zinazosambaa zimeonyesha uharibifu katika eneo hilo la ibada.
Chippo atua kuinoa Mtibwa
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umemshusha rasmi nchini aliyekuwa Kocha wa Pamba Jiji, Coastal Union na TRA United zamani Tabora United, Mkenya Yusuf Chippo ili kukiongoza kikosi hicho msimu wa 2025-2026,…
Urusi: Ukraine lazima ijadiliane na Moscow kuhusu vita
Urusi Alhamis imesema kuwa Ukraine italazimika kuingia katika mazungumzo ya kusitisha vita "karibuni au baadae" la sivyo itajikuta katika nafasi mbaya zaidi.
Tazama jinsi Waziri Mkuu mteule, Dkt
Tazama jinsi Waziri Mkuu mteule, Dkt. Mwigulu Nchemba alivyopokelewa na watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu alipowasili katika makazi ya waziri mkuu yaliyopo Mlimwa jijini Dodoma. Dkt. Nchemba ameteuliwa na…
Je, ufukuzaji wa watu Marekani ni sawa na ‘utekaji’?
Kufukuzwa kwa wahamiaji waliofungwa kwa makosa mbalimbali nchini Marekani ni sehemu ya mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kupambanao. Wengi wao wamepelekwa katika nchi za Afrika na Amerika…
Mabadiliko makubwa katika Baraza la Mawaziri Zanzibar
Rais wa Zanzibar, Dokta Hussein Ali Mwinyi, leo ametangaza Baraza jipya la Mawaziri lenye sura ya mabadiliko na uwiano wa kisiasa, akiongeza idadi ya wizara hizo kutoka 18 hadi 20.
Govt unveils new push for modern farming with tractors, threshers
DODOMA: Tanzania’s push to modernize its agricultural sector took a significant step forward today as key national stakeholders gathered at Nashera Hotel in Dodoma for the Mechanization Stakeholder Convening: Action…