Mngazija apania kuipandisha JKU
BAADA ya Ali Bakar Mngazija kutambulishwa kuwa kocha mkuu wa JKU, ameahidi kuipa hadhi timu hiyo kwa kufanyakazi kwa ushirikiano ili kuiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa Ligi Kuu…
Rais Mwinyi Atangaza Baraza Jipya la Mawaziri
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza Baraza jipya la Mawaziri lenye sura ya mabadiliko na uwiano wa kisiasa, huku akiongeza wizara kutoka…
Shigella: Watumishi wa umma jifunzeni uwekezaji kabla ya kustaafu
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigella ametoa wito kwa watumishi wa umma na maofisa wa...
TRA commits to protecting private businesses
DAR ES SALAAM: Commissioner General of the Tanzania Revenue Authority (TRA), Yusuph Mwenda the authority will collaborate with traders to protect private businesses so that they continue to grow and…
#HABARI: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt
#HABARI: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amefafanua vigezo alivyovitumia katika kupanga Baraza jipya la Mawaziri, hatua inayolenga kuimarisha utendaji wa Serikali…
Dk Mwigulu apokelewa Ofisi ya Waziri Mkuu
Dk Mwigulu apokelewa Ofisi ya Waziri Mkuu – HabariLeo Waziri Mkuu Mteule Dk Mwigulu Nchemba akipokelewa na watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, kwenye makazi ya Waziri Mkuu Mlimwa jijini…
Ni ipi nafasi ya pande za kigeni katika mgogoro wa Sudan?
Vita nchini Sudan vimechukua sura mpya kufuatia kuendelea uingiliaji kati wa nchi ajinabi nchini humo na kudhibitiwa mji wa Al Fasher na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF).
COP30: Mafanikio ya miaka 10 ya mkataba wa Paris
Wakati mkutano wa kimataifa wa mazingira wa COP30 ukiendelea huko Brazil, uzalishaji wa hewa chafu duniani unaendelea kuongezeka, muongo mmoja baada ya makubaliano ya mazingira ya Paris.
Wawili wahukumiwa kunyongwa kwa mauaji baada ya kupora pochi
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga, imewahukumu kunyongwa hadi kufa Sharifu Rajabu...
When health makes headlines: Why strengthening media coverage matters for women’s, children’s and adolescents’ health
When Health Makes Headlines: Why Strengthening Media Coverage Matters for Women’s, Children’s and Adolescents’ Health Media coverage has the power to change how societies think, behave, and act on health.…
Katibu Mkuu wa UN: Dunia isiliache mkono bara la Afrika, lina uwezo mkubwa mno
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesema dunia haiwezi kulipa kisogo bara la Afrikam akisisitiza kuwa bara hilo ni nyumbani kwa karibu robo ya watu wote duniani, na…
Mali yakanusha hofu kwamba magaidi wanakaribia kuudhibiti mji mkuu, Bamako
Waziri wa Mambo ya Nje wa Mali amepuuzilia mbali dhana kwamba magaidi hivi karibuni wanaweza kuudhibiti mji mkuu wa nchi hiyo, Bamako. Hii ni radiamali ya kwanza kutolewa na serikali…
Al-Sudani asema, ataanza kufanya mazungumzo ya kuunda serikali mpya ya Iraq
Waziri Mkuu wa Iraq Mohammad Shia al-Sudani amesema, ataanza kufanya mazungumzo hivi karibuni kwa ajili ya kuunda serikali mpya wakati muungano wake unaonekana kuongoza katika uchaguzi wa bunge.
Othman afichua siri ya barua waliyoandikiwa waingie SUK
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amefichua kuwa chama hicho kuandikiwa barua...
🔴MEZA HURU: MASHINDANO YA CAF, VILABU VYETU VINA NAFASI GANI?
🔴MEZA HURU: MASHINDANO YA CAF, VILABU VYETU VINA NAFASI GANI? NINI KIFANYIKE ? NOVEMBA 13, 2025
Uganda yashuhudia ongezeko la wafungwa wanawake
Kuongezeka kwa kasi kwa idadi ya wanawake wafungwa katika magereza ya Uganda kumeibua mjadala miongoni mwa jamii.Huku mamlaka ya magereza ikielezea kuwa wengi wao hufungwa kutoka na migogoro ya kifamilia…
COP30: Watu waliofurushwa kutokana na mabadiliko ya tabianchi watoa wito wa hatua za urekebishaji
Janga la tabianchi linaendelea kubadili ramani ya uhamaji wa watu duniani. Mafuriko, mawimbi ya joto, ukame na dhoruba vinalazimisha mamilioni ya watu kuzikimbia nyumba zao kila mwaka. Wengi wao hubaki…
Ongezeko la uraibu wa nikotini hasa miongoni mwa vijana kujadiliwa
Zaidi ya wajumbe 1,400 kutoka serikali mbalimbali, mashirika ya kimataifa na asasi za kiraia wanatarajiwa kushiriki katika mikutano muhimu itakayojadili ongezeko la uraibu wa nikotini hususani miongoni mwa vijana, pamoja…
Mfumo mpya na zana shirikishi kuimarisha usimamizi wa kukabiliana na hatari za joto kali duniani
Wakati dunia ikishuhudia ongezeko kubwa la viwango vya joto, mashirika ya kimataifa yamezindua Mfumo na Zana ya Usimamizi wa kukabiliana Hatari za Joto Kaliduniani leo katika mkutano wa Umoja wa…
FAO: Ripoti ya mtazamo wa chakula yaonesha ongezeko kubwa la uzalishaji wa bidhaa za chakula duniani
Ripoti mpya ya mtazamo wa chakula iliyochapishwa leo na Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo Duniani FAO, huko mjini Roma, Italy inasema hali ya sasa inaonesha ongezeko…
Maisha ni ngumu, uharibifu ni mkubwa baada ya kimbunga Melissa – Waathirika Jamaica
Wiki ya pili baada ya Kimbunga Melissa kupiga magharibi mwa Jamaica, mitaa ya Savanna-la-Mar na Watercress bado ipo kimya, kimya cha mji unaojaribu kujikwamua na Athari zilizoachwa na zahma hiyo.…
Mafanikio ya kimataifa katika kudhibiti TB yapo hatarini kutokana na ukata: WHO
Kifua kikuu au TB bado ni moja ya magonjwa hatari zaidi ya kuambukiza duniani, kikiua zaidi ya watu milioni 1.2 na kuwaathiri takribani watu milioni 10.7 mwaka uliopita, kwa mujibu…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, NOVEMBA 13, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, NOVEMBA 13, 2025
Mataifa ya G7 walaani mashambulizi ya RSF dhidi ya raia Sudan, watoa wito wa kusitishwa mapigano
Mawaziri wa mambo ya nje wa matafia ya G7 Jumatano wamelaani vikali mashambulizi wanayoyaita “ya kikabila” yanayotekelezwa na wapiganaji wa RSF dhidi ya raia na wafanyakazi wanaotoa misaada katika miji…
Rais Samia kumuapisha Dk Nchemba Nov 14
RAIS Samia Suluhu Hassan atamuapisha Dk Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba 14. Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dk Moses Kusiluka imesema hafla…
Dr Mwinyi unveils new cabinet, invites ACT to join GNU
ZANZIBAR: THE Zanzibar President, Hussein Ali Mwinyi, today, November 13, 2025, announced a new cabinet featuring new faces, structural changes, and a strong message of accountability and faster performance. In…
Arusha National Park fascinates Canadian tourists
ARUSHA: A group of tourists from Canada visited the Arusha National Park and were captivated as they experienced the breathtaking wildlife, beautiful waterfalls in pristine nature. In their expression, the…
#HABARI: Jeshi la Polisi la Tanzania, limetangaza kumkamata Ambrose Leonce Dede kwa kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu…
#HABARI: Jeshi la Polisi la Tanzania, limetangaza kumkamata Ambrose Leonce Dede kwa kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu kupitia grupu la WhatsApp. Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la…
KISWAHILI FOR BEGINNERS: Phrase “Chumba cha kulala wageni”
“CHUMBA cha kulala wageni” means “guest bedroom” or “guest room” in English. Chumba = room Cha = of / belonging to Kulala = to sleep Wageni = guests So literally,…
Hakuna mauaji ya halaiki kaskazini mwa Nigeria: Umoja wa Afrika
Mkuu wa Tume ya Umoja wa Afrika ametupilia mbali madai kuwa kunafanyika mauaji ya halaiki kaskazini mwa Nigeria. Imechapishwa: 13/11/2025 – 12:25 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara…
Mwigulu Nchemba ndiye Waziri Mkuu mpya Tanzania
Bunge la Tanzania limempitisha Mwigulu Lameck Nchemba mbunge wa jimbo la Iramba mkoani Singida, kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo mara baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwasilisha bungeni jina…
ACT-Wazalendo offered four ministries if it joins GNU
ZANZIBAR: THE President of Zanzibar, Dr. Hussein Mwinyi, has announced that he will leave four out of 20 ministries he recently created for the ACT Wazalendo party if the party…
Marekani inamatumaini kuhusu azimio la UN Gaza
Marekani kupitia waziri wake wa mambo ya nchi za nje Marco Rubio, imesema inamatumaini kwamba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litakamilisha azimio kuhusu Gaza.
Mawaziri wa Ukraine wajiuzulu kufuatia sakata la ufisadi
Mawaziri wa sheria na nishati nchini Ukraine, German Galushchenko na Svitlana Hrynchuk, wamejiuzulu jana Jumatano kufuatia madai ya kuhusika kwao na sakata kubwa la ufisadi katika sekta ya nishati nchini…
Kundi la G7 lakosoa vita vya Sudan
Mawaziri wa nchi za nje wa mataifa saba yaliyoendelea kiviwanda duniani G7, wamekosoa vurugu za Sudan wakisema mapigano kati ya jeshi la taifa hilo na wanamgambo wa RSF, yamesababisha mgogoro…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, NOVEMBA 13, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, NOVEMBA 13, 2025
Mama, wanawe wahukumiwa kunyongwa kwa kumuua baba wa kambo
Ni matukio nadra katika familia pale mama na wanawe wanapokula njama na kupanga mauaji kama...
Bangladesh yatangaza kura ya maoni kuhusu mageuzi ya kitaifa
Kiongozi wa serikali ya mpito Bangladesh Muhammad Yunus, amesema nchi hiyo inaandaa kura ya maoni kuhusu utekelezaji wa makubaliano ya mwezi Julai ya kuwa na mageuzi ya kitaifa, yaliyoandaliwa baada…
Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini, Daniel Sillo amechaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini, Daniel Sillo amechaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupata kura zote 371 zilizopigwa. ✍Juliana James…
Ruto lauds Tanzanians for their high-quality, innovative products.
NAIROBI: KENYAN President William Ruto has commended Tanzanian entrepreneurs for producing high-quality and innovative products. President Ruto made the statement during the 25th EAC MSMEs Trade Fair taking place at…
Waziri Mkuu Mteule wa Tanzania, Dkt
Waziri Mkuu Mteule wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba ameahidi kuhakikisha Watanzania wanasikilizwa kwa nidhamu katika ofisi za umma sambamba na kuwaonya watendaji wazembe kwenye ofisi hizi kuchukuliwa hatua kali za…
Tanzania reaps fortune in horticulture, agribusiness
DAR ES SALAAM: TANZANIA has made great strides in the horticulture sector by producing over 8.4m tonnes in 2023/24 from 1.1m tonnes in 2003/04. The Permanent Secretary in the Prime…
Tanzania launches horticultural council to boost agribusiness
DAR ES SALAM: THE government has officially launched a Horti Logistica Africa Council that will bring together stakeholders from the global horticulture industry across Africa to witness the production and…
Why Tanzanian teen mothers prefer informal education
DAR ES SALAAM: A comprehensive research study has laid bare a surprising if not ironic result: most Tanzanian girl-students who return to school after giving birth prefer informal education to…
Wakenya zaidi ya 200 wajiunga na jeshi la Urusi
Serikali ya Kenya imesema zaidi ya raia wake 200 wamejiunga na jeshi la Urusi katika vita vinayvoendelea kati ya Urusi na Ukraine, na kwamba mashirika ya ajira bado yanaendelea kutafuta…
Baran Sillo is the Tanzania Assembly’s new Deputy Speaker
DODOMA: THE Parliament of the United Republic of Tanzania has elected Daniel Baran Sillo, a Member of Parliament for Babati Rural Constituency, as the Deputy Speaker of the 13th Parliament.…
Rais Herzog akosoa ghasia za Walowezi Ukingo wa Magharibi
ais wa Israel, Isaac Herzog na baadhi ya maafisa wa ngazi ya juu wa kijeshi wamelaani mashambulizi ya Jumanne yaliyofanywa na Walowezi wa Kiyahudi dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa…
Utajiri wa Afrika: Misitu, dhahabu ya kijani Gabon
Misitu ya Gabon ni ya pili kwa ukubwa baada ya msitu wa Amazon ulioko Brazil.
Ziara ya Sharaa Marekani ni mpango mpya wa kikanda
Syria ilijiunga na kundi linaloongozwa na Marekani la mataifa yanayopambana dhidi ya kundi la "Dola ya Kiislamu”, hatua hii ya Syria ina umuhimu mkubwa zaidi katika kujipanga upya kwa wahusika…
#HABARI: Mbunge wa Babati Vijijini, Mhe
#HABARI: Mbunge wa Babati Vijijini, Mhe. Daniel Baran Sillo amekula kiapo baada ya kuwa mshindi kwa kura 371 za wabunge waliomchagua bungeni. Tukio hilo limefanyika leo Novemba 13, 2025 Bungeni…