Skip to content
  • Sat. Jun 20th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Ikiwa leo yameingia katika siku ya pili, Maonesho ya Mnada wa Kimataifa wa Mifugo (Tri – Nations Livestock Expo) umetoa mafunzo … Unaweza kudhani kuwa unajua kila kitu kuhusu mji unaoishi lakini ukweli wa taarifa hii unaweza kukupa maswali ya msingi kuhusu m… Umewahi kujiuliza nafasi ya watoto wa kiume kwenye jamii hususani linapokuja suala la kuhudumiwa na kutazamwa kwa jicho la karib… Rais wa Namibia atembelea nyumba aliyoishi Magomeni Dar Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 bilioni
ASTV TANZANIA

Ikiwa leo yameingia katika siku ya pili, Maonesho ya Mnada wa Kimataifa wa Mifugo (Tri – Nations Livestock Expo) umetoa mafunzo …

June 20, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Unaweza kudhani kuwa unajua kila kitu kuhusu mji unaoishi lakini ukweli wa taarifa hii unaweza kukupa maswali ya msingi kuhusu m…

June 20, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Umewahi kujiuliza nafasi ya watoto wa kiume kwenye jamii hususani linapokuja suala la kuhudumiwa na kutazamwa kwa jicho la karib…

June 20, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Rais wa Namibia atembelea nyumba aliyoishi Magomeni Dar

June 20, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 bilioni

June 20, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Ikiwa leo yameingia katika siku ya pili, Maonesho ya Mnada wa Kimataifa wa Mifugo (Tri – Nations Livestock Expo) umetoa mafunzo …
ASTV TANZANIA
Ikiwa leo yameingia katika siku ya pili, Maonesho ya Mnada wa Kimataifa wa Mifugo (Tri – Nations Livestock Expo) umetoa mafunzo …
Unaweza kudhani kuwa unajua kila kitu kuhusu mji unaoishi lakini ukweli wa taarifa hii unaweza kukupa maswali ya msingi kuhusu m…
ASTV TANZANIA
Unaweza kudhani kuwa unajua kila kitu kuhusu mji unaoishi lakini ukweli wa taarifa hii unaweza kukupa maswali ya msingi kuhusu m…
Umewahi kujiuliza nafasi ya watoto wa kiume kwenye jamii hususani linapokuja suala la kuhudumiwa na kutazamwa kwa jicho la karib…
ASTV TANZANIA
Umewahi kujiuliza nafasi ya watoto wa kiume kwenye jamii hususani linapokuja suala la kuhudumiwa na kutazamwa kwa jicho la karib…
Rais wa Namibia atembelea nyumba aliyoishi Magomeni Dar
MWANANCHI
Rais wa Namibia atembelea nyumba aliyoishi Magomeni Dar
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Ikiwa leo yameingia katika siku ya pili, Maonesho ya Mnada wa Kimataifa wa Mifugo (Tri – Nations Livestock Expo) umetoa mafunzo …
ASTV TANZANIA
Ikiwa leo yameingia katika siku ya pili, Maonesho ya Mnada wa Kimataifa wa Mifugo (Tri – Nations Livestock Expo) umetoa mafunzo …
Unaweza kudhani kuwa unajua kila kitu kuhusu mji unaoishi lakini ukweli wa taarifa hii unaweza kukupa maswali ya msingi kuhusu m…
ASTV TANZANIA
Unaweza kudhani kuwa unajua kila kitu kuhusu mji unaoishi lakini ukweli wa taarifa hii unaweza kukupa maswali ya msingi kuhusu m…
Umewahi kujiuliza nafasi ya watoto wa kiume kwenye jamii hususani linapokuja suala la kuhudumiwa na kutazamwa kwa jicho la karib…
ASTV TANZANIA
Umewahi kujiuliza nafasi ya watoto wa kiume kwenye jamii hususani linapokuja suala la kuhudumiwa na kutazamwa kwa jicho la karib…
Rais wa Namibia atembelea nyumba aliyoishi Magomeni Dar
MWANANCHI
Rais wa Namibia atembelea nyumba aliyoishi Magomeni Dar
Uncategorized

🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 06, 2025

October 6, 2025 mjombazecoder

🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 06, 2025

HABARI ZA KIPEKEE

Iran yaunga mkono uamuzi wa Palestina juu ya usitishaji vita Gaza; lakini yaonya…

October 6, 2025 mjombazecoder

Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema itaunga mkono uamuzi wowote wa watu wa Palestina na Muqawama kuhusu pendekezo la kusitisha mapigano Gaza linaloungwa mkono na Marekani, huku ikiionya…

Uncategorized

Israel imeidhinisha mpango wa kunyakua ekari za ardhi katika Ukingo wa Magharibi kinyume ya sheria

October 6, 2025 mjombazecoder

Israel imeidhinisha mpango mpya wa makazi wa kunyakua ekari tisa za ardhi kutoka kijiji cha Wapalestina cha Kafr Qaddum, mashariki mwa Qalqilya kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi, afisa wa eneo…

Uncategorized

Maandamano ya vijana wa Gen Z yaendelea kuripotiwa Madagascar

October 6, 2025 mjombazecoder

Nchini Madagascar, maafisa wa usalama, wanatetea uamuzi wao wa kutumia nguvu dhidi ya waandamanaji vijana maarufu kama Gen Z kwa madai kuwa, wanazua vurugu, badala ya kuandamana kwa amani. Imechapishwa:…

Uncategorized

Trump anapongeza ‘majadiliano mazuri sana na Hamas’ huku wajumbe wakijiandaa kukutana nchini Misri

October 6, 2025 mjombazecoder

Trump anasema ataendelea kufuatilia hali hiyo, akisema kuwa wakati ni muhimu.

HABARI ZA KIPEKEE

Timu ya voliboli ya wanawake ya Iran yatwaa ubingwa wa CAVA 2025

October 6, 2025 mjombazecoder

Timu ya voliboli ya wanawake ya Iran iliigaraza Uzbekistan kwenye mashindano ya Kombe la Chalenji ya Wanawake wa Asia ya Kati (CAVA) jana Jumapili na kushinda taji hilo la kieneo…

Uncategorized

🔴KUMEKUCHA: 05, OKTOBA 2025

October 6, 2025 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA: 05, OKTOBA 2025

MWANANCHI

OTHMAN MASOUD OTHMAN: Anawania urais akitafutwa Maalim Seif ndani yake

October 6, 2025 mjombazecoder

Ile siku Othman Masoud Othman, alipoteuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, ilikuwa...

MWANANCHI

Sumaye: Vurugu haziwezi kuiondoa CCM madarakani

October 6, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema Chama cha Mapinduzi (CCM), hakiwezi kuondoka...

Uncategorized

Sudan: ICC kutoa uamuzi dhidi ya kiongozi wa wanamgambo

October 6, 2025 mjombazecoder

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC, Jumatatu hii inatazamiwa kutoa uamuzi wake dhidi ya kiongozi wa wanamgambo nchini Sudan anayetuhumiwa kwa makosa ya uhalifu wa kivita na uhalifu…

MWANANCHI

Hatua kuu kesi ya uhaini ya Lissu, kuanza kusikilizwa leo

October 6, 2025 mjombazecoder

Ile siku ambayo Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, alikuwa...

Uncategorized

🔴MAGAZETI:HATIMA YA LISSU / FOLZ ANA SAA 24

October 6, 2025 mjombazecoder

🔴MAGAZETI:HATIMA YA LISSU / FOLZ ANA SAA 24

Uncategorized

#KIPIMAJOTO: Ahadi zinazotolewa katika Kampeni za wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu

October 6, 2025 mjombazecoder

#KIPIMAJOTO: Ahadi zinazotolewa katika Kampeni za wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Je, wananchi wanaridhika nazo?

Uncategorized

Ufaransa: Rais Macron atangaza baraza jipya la Mawaziri

October 6, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, ametangaza Baraza jipya la Mawaziri, litakaloongozwa na Waziri Mkuu Sébastien Lecornu. Imechapishwa: 06/10/2025 – 05:31 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma yanayofuata…

Uncategorized

Madagascar: Waandamanaji watuhumiwa kwa kusababisha vurugu

October 6, 2025 mjombazecoder

Vyombo vya usalama nchini Madagascar, vimewatuhumu waandamanaji kwa kusababisha vurugu wakati wa maandamano ya tangu juma lililopita, vikisema matumizi ya nguvu walizotumia zilisababishwa na tabia zao. Imechapishwa: 06/10/2025 – 05:20…

Uncategorized

Rwanda yaituhumu DRC kwa kukwamisha utekelezwaji wa baadhi ya vipengele muhimu

October 6, 2025 mjombazecoder

Nchi ya Rwanda, imeukosoa utawala wa Kinshasa kwa kuendelea kukwamisha utekelezwaji wa baadhi ya vipengele muhimu vya mkataba waliotiliana saini hivi karibuni, utawala wa Kigali ukitoa sababu za kwanini pande…

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI …OKTOBA 06, 2025

October 6, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...OKTOBA 06, 2025

HABARI ZA KIPEKEE

Waziri Araghchi: Ulaya ‘imehafifisha’ nafasi yake katika mazungumzo ya siku zijazo ya mpango wa nyuklia wa Iran

October 6, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Ulaya zimedhoofisha msimamo wao katika mchakato wa kidiplomasia unaolenga kutatua kadhia ya nyuklia ya Iran na…

HABARI ZA KIPEKEE

Hizbullah: Mpango wa Trump wa Gaza unalenga ‘kuisafisha’ Israel

October 6, 2025 mjombazecoder

Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem amekosoa mpango wa Rais wa Marekani, Donald Trump kuhusu Gaza, na kuutaja kuwa ni hatua…

Uncategorized

Trump atarajia matokeo ya mpango wa amani Gaza wiki hii

October 6, 2025 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump amesema anatarajia matokeo wiki hii kutoka katika mazungumzo ya amani yanayoanza leo Jumatatu nchini Misri kuhusu mpango wake wa kumaliza vita vya Gaza.

HABARI ZA KIPEKEE

Bunge la Chad lajiunga na mkondo wa kuondoa ukomo wa mihula ya urais, lamfungulia njia Deby Itno

October 6, 2025 mjombazecoder

Bunge la Chad limeidhinisha kwa wingi mkubwa sana wa kura marekebisho ya katiba yanayoondoa ukomo wa mihula ya urais, na kurefusha muda wa kila muhula kutoka miaka mitano hadi saba,…

HABARI ZA KIPEKEE

Ripoti: Mossad ilihusika katika kutekwa nyara na kuuawa aliyekuwa waziri mkuu wa Italia Aldo Moro

October 6, 2025 mjombazecoder

Ripoti mpya ya uchunguzi iliyotolewa inaonyesha kuwa shirika la ujasusi la utawala wa kizayuni wa Israel, Mossad ilihusika katika kutekwa nyara na kuuawa Waziri Mkuu wa zamani wa Italia Aldo…

HABARI ZA KIPEKEE

Netanyahu ndiye aliyeamuru kushambuliwa kwa droni meli za msafara wa Sumud bandarini Tunisia

October 6, 2025 mjombazecoder

Uchunguzi uliofanywa umebaini kuwa, waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ndiye aliyetoa idhini ya kufanywa mashambulio ya ndege zisizo na rubani yaliyolenga msafara wa kimataifa wa…

HABARI ZA KIPEKEE

Netanyahu ndiye aliyeamuru kushambuliwa kwa droni meli za msafara wa Sumud zilizotia nanga Tunisia

October 6, 2025 mjombazecoder

Uchunguzi uliofanywa umebaini kuwa, waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ndiye aliyetoa idhini ya kufanywa mashambulio ya ndege zisizo na rubani yaliyolenga msafara wa kimataifa wa…

HABARI ZA KIPEKEE

Putin aonya: Kuipatia Ukraine makombora ya Tomahawk kutavuruga uhusiano wa Russia na Marekani

October 6, 2025 mjombazecoder

Rais Vladimir Putin wa Russia amesema ikiwa Marekani itaipatia Ukraine makombora aina ya Tomahawk ili kufanyia mashambulio ya masafa marefu ndani ya Russia, hatua hiyo itapelekea kuvurugika husiano wa Moscow…

HABARI ZA KIPEKEE

Jumatatu, Oktoba 6, 2025

October 6, 2025 mjombazecoder

Leo ni Jumatatu tarehe 14 Mehr, 1404 Hijria Shamsia, sawa na tarehe 13 Rabiuthani, 1447 Hijria Qamaria, na inayosadifiana na Oktoba 6, 2025 Miladia.

HABARI ZA KIPEKEE

Kukaribisha madola ya Ulaya jibu la HAMAS kwa mpango wa Trump; nini sababu zake?

October 6, 2025 mjombazecoder

Katika hatua iliyoratibiwa, viongozi wa nchi kubwa za Ulaya wamekaribisha jibu la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina (HAMAS) kwa mpango wa Trump kuhusu Gaza.

Uncategorized

Syria: Uchaguzi umefanyika kwa usalama bila kuingiliwa

October 6, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Syria, Noureddine al-Baba, amesema uchaguzi wa bunge nchini humo umekamilika katika vituo vyote vya kupigia kura bila tukio lolote la kuhatarisha usalama.

Uncategorized

Trump: Tayari kuendeleza udhibiti wa silaha na Urusi

October 6, 2025 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump aonesha utayari kuendeleza mkataba wa kudhibiti silaha za nyuklia kati ya Marekani na Urusi, kufuatia pendekezo la Rais Vladimir Putin la kuongeza muda wa mkataba…

Uncategorized

Wajumbe wa Israeli na Hamas wanajiandaa kwa mazungumzo Misri

October 6, 2025 mjombazecoder

Wajumbe wa Israeli na Hamas wanajiandaa kwa mazungumzo ya Misri, huku matumaini ya kusitishwa mapigano Gaza yakiongezeka baada ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kusema huenda kutakuwa na tangazo la kuachiliwa…

Uncategorized

Vikosi vya serikali Somalia vimefanikiwa kumaliza mzingiro

October 6, 2025 mjombazecoder

Vikosi vya serikali ya Somalia vimefanikiwa kumaliza mzingiro wa saa sita uliofanywa na wapiganaji katika gereza kubwa lililoko karibu na ofisi ya rais jijini Mogadishu, kwa kuwaua washambuliaji wote saba.

Uncategorized

Waziri Mkuu mpya wa Ufaransa atangaza Baraza la Mawaziri

October 6, 2025 mjombazecoder

Ikiwa takribani mwezi mmoja baada ya kuanguka kwa serikali ya mrengo wa kati-kulia nchini Ufaransa, sehemu ya Baraza jipya la Mawaziri chini ya Waziri Mkuu mpya Sébastien Lecornu imaenza kutangazwa.

Uncategorized

06.10.2025 Matangazo ya Mchana

October 6, 2025 mjombazecoder

Mazungumzo ya usitishaji vita Gaza yafanyika Misri+++Wanaharakati wa Global Sumud Flotilla walalamikia kuteswa Israel+++Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha wananchi CUF nchini Tanzania, Profesa Ibrahim Lipumba ametaka mchakato wa uchaguzi…

MAGAZETI

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 6, 2025

October 5, 2025 mjombazecoder

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa

Uncategorized

Ujerumani yajadili na Kabul kuwarejesha wahalifu Afghanistan

October 5, 2025 mjombazecoder

Ujerumani yafanya mazungumzo mjini Kabul kuhusu kuwarejesha wahalifu nchini Afghanistan.

MWANANCHI

Mahakama ilivyowaachia wawili walioua bila kukusudia

October 5, 2025 mjombazecoder

Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Tabora, imewaachia huru kwa masharti, watu wawili waliokiri kuua...

MWANANCHI

Kombe la Dunia 2026 Afrika moto unawaka

October 5, 2025 mjombazecoder

Michuano ya Kombe la Dunia 2026 inatarajiwa kuwa ya kihistoria si tu kwa ukubwa wake, bali timu...

MWANANCHI

Wananchi wataka hatua za ziada kudhibiti tembo

October 5, 2025 mjombazecoder

Wananchi wa Kata ya Sakasaka, Wilaya ya Meatu mkoani Simiyu wameeleza hofu na masikitiko yao...

MWANANCHI

Chadema walia makada, viongozi wake kukamatwa

October 5, 2025 mjombazecoder

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibua kilio cha wanachama na viongozi wao...

MWANANCHI

Majeraha yamshtua Mikel Arteta Arsenal

October 5, 2025 mjombazecoder

Rice ambaye alitolewa dakika ya 78 baada ya kuanguka na kupatiwa matibabu, alifunga bao moja...

Uncategorized

#HABARI: Watu 4 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa Kipindupidu katika Kaunti ya Narok Nchini Kenya, huku wengine 15 wakilazwa Hospi…

October 5, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Watu 4 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa Kipindupidu katika Kaunti ya Narok Nchini Kenya, huku wengine 15 wakilazwa Hospitalini kutokana na kuumwa ugonjwa huo. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA…

Uncategorized

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Warioba amewataka Watanzania kuungana na kauli ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania…

October 5, 2025 mjombazecoder

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Warioba amewataka Watanzania kuungana na kauli ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kupinga vikali juhudi za kulihusisha jeshi hilo na siasa. Akizungumza…

MWANANCHI

Ayoub aahidi kuondoa changamoto ya maji Chaani

October 5, 2025 mjombazecoder

Mgombea ubunge Chaani, Ayoub Mohamed Mahmoud ameahidi kuchimba visima vinane na kuweka matanki...

MWANANCHI

Wanasayansi waikubali akili unde, wakisisitiza tahadhari

October 5, 2025 mjombazecoder

Wanasayansi wametoa tahadhari kuwa matumizi ya akili unde (AI) kama mbadala wa mtaalamu wa...

Uncategorized

#HABARI: Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Dr

October 5, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Dr. Janet Lekashingo akizungumza na baadhi ya wamiliki wa Migodi na wachimbaji wa Madini mkoani Ruvuma, amewataka kufuata kanuni za uchimbaji salama wa Madini,…

MWANANCHI

Sheikh Njalambaha: Waislamu tuitumie sharia mahakamani

October 5, 2025 mjombazecoder

Waumini wa dini ya Kiislamu wameshauriwa kutumia sharia za dini yao mahakamani kudai au kuomba...

MWANANCHI

Miili ya waliouawa Tunduru yazikwa, polisi waendelea na msako

October 5, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limesema miili ya watu watano waliouawa katika Kijiji cha Wenje,...

Uncategorized

Utawala wa Trump waitangaza miji kadhaa kuwa ukanda wa vita

October 5, 2025 mjombazecoder

Utawala wa Trump umeutanga mji wa Chicago siku ya Jumapili kuwa eneo la vita, kama sababu ya kuhalalisha upelekaji wa wanajeshi huko dhidi ya matakwa ya maafisa wa ndani wa…

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI OKTOBA 05, 2025 – AHADI ZAENDELEA KUTOLEWA NA WAGOMBEA

October 5, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI OKTOBA 05, 2025 - AHADI ZAENDELEA KUTOLEWA NA WAGOMBEA

Uncategorized

#HABARI: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Sauti ya Umma, Bw.Majalio Kyara amesema endapo atash…

October 5, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Sauti ya Umma, Bw.Majalio Kyara amesema endapo atashinda nafasi hiyo na kuingia madakani atarejesha mfumo wa matumizi ya…

Posts pagination

1 … 919 920 921 … 994

Recent Posts

  • Ikiwa leo yameingia katika siku ya pili, Maonesho ya Mnada wa Kimataifa wa Mifugo (Tri – Nations Livestock Expo) umetoa mafunzo …
  • Unaweza kudhani kuwa unajua kila kitu kuhusu mji unaoishi lakini ukweli wa taarifa hii unaweza kukupa maswali ya msingi kuhusu m…
  • Umewahi kujiuliza nafasi ya watoto wa kiume kwenye jamii hususani linapokuja suala la kuhudumiwa na kutazamwa kwa jicho la karib…
  • Rais wa Namibia atembelea nyumba aliyoishi Magomeni Dar
  • Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 bilioni

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

ASTV TANZANIA

Ikiwa leo yameingia katika siku ya pili, Maonesho ya Mnada wa Kimataifa wa Mifugo (Tri – Nations Livestock Expo) umetoa mafunzo …

June 20, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Unaweza kudhani kuwa unajua kila kitu kuhusu mji unaoishi lakini ukweli wa taarifa hii unaweza kukupa maswali ya msingi kuhusu m…

June 20, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Umewahi kujiuliza nafasi ya watoto wa kiume kwenye jamii hususani linapokuja suala la kuhudumiwa na kutazamwa kwa jicho la karib…

June 20, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Rais wa Namibia atembelea nyumba aliyoishi Magomeni Dar

June 20, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS