Papa Leo atoa wito wa kufanikisha mpango wa amani huko Gaza
Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo amesema ana matarajio kuwa mpango wa hivi karibuni wa kumaliza vita huko Gaza utapata matokeo yanayotarajiwa.
Putin aionya Marekani kuipatia Ukraine makombora ya Tomahawk
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema ikiwa Marekani itaipatia Ukraine makombora ya Tomahawk ili kufanya mashambulizi ya masafa marefu ndani ya nchi yake, hilo litapelekea kuvunjika kwa uhusiano kati ya…
Wanamgambo saba wa Al-Shabaab wauawa Mogadishu
Wanamgambo saba wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab wameuawa katika shambulio la kujitoa mhanga lililofanywa Jumamosi na kundi hilo katikati mwa mji mkuu Mogadishu.
Mgombea urais wa CCM kuanza kampeni zake Kanda ya Ziwa
Dodoma. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, Jumanne...
Butiku: Suala la amani, mshikamano nchini si la kuchezewa
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere (MNF), Joseph Butiku amewaomba Watanzania...
Kura zahesabiwa Syria baada ya uchaguzi wa Bunge
Shughuli ya kuhesabu kura inaendelea katika vituo 50 nchini Syria kufuatia uchaguzi wa wabunge uliofanyika mapema Jumapili katika majimbo mengi ya nchi hiyo.
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA: OKTOBA 05, 2025
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA: OKTOBA 05, 2025
Bodi ya chai watua Rungwe sakata la wafanyakazi
Siku moja baada ya Mwananchi kuripoti taharuki katika eneo la Katumba, wilayani Rungwe, mkoani...
Kisa kocha, vigogo Dodoma wajifungia
MABOSI wa Dodoma Jiji wanatarajia kukutana muda wowote kuanzia sasa ili kujadiliana masuala mbalimbali ya timu hiyo, huku ajenda kubwa ikiwa ni ishu nzima ya mustakabali wa kocha wa kikosi…
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Kagera liesema litaendelea kuwachukulia hatua kali za kisheria madereva wanaoendesha magari yana…
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Kagera liesema litaendelea kuwachukulia hatua kali za kisheria madereva wanaoendesha magari yanayobeba abiria na mizigo, wanaosababisha ajali za barabarani kutokana na sababu ya uzembe ambazo…
Lamine azipiga mkwara Simba, Yanga
NYOTA mpya wa Singida Black Stars, Lamine Diadhiou Jarjou amesema anaona ni heshima kubwa kwake na wenzake kuwa sehemu ya mafanikio ya timu hiyo, huku akizipiga mkwara Simba, Yanga na…
Sh140.5 milioni kutumika ujenzi wa kituo cha polisi Nanyuki, Songwe
Wananchi wa kijiji cha Nanyunyi Kata ya Ihanda, wilayani Mbozi mkoani Songwe, huenda wakapata...
Simba yajipanga kuhamia Jeshini
SIMBA itarejea kambini Oktoba 5, 2025 ili kujiandaa na mechi zilizopo mbele yao Ligi Kuu Bara na ile ya kimataifa ikiwa imetinga raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika,…
#HABARI: Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania “THRDC” umebainisha kuwa kwa sasa Tanzania inahitaji kujielekeza katik…
#HABARI: Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania "THRDC" umebainisha kuwa kwa sasa Tanzania inahitaji kujielekeza katika kuja na muafaka wa kitaifa ambao utakuwa muarobaini wa changamoto mbalimbali ambazo…
Syria yaongeza muda wa kupiga kura huku raia wakipiga kura katika uchaguzi wa kwanza wa kihistoria
Syria ilifanya uchaguzi wa kihistoria kwa Bunge lake la Watu kwa muda ulioongezwa wa kura huku serikali mpya ya mpito ikitafuta mageuzi na mshikamano.
Vigogo Bodi ya chai watua Rungwe sakata la wafanyakazi
Siku moja baada ya Mwananchi kuripoti taharuki katika eneo la Katumba, wilayani Rungwe, mkoani...
Mwenge wakagua barabara ya Sh115 milioni Mbozi
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa uhuru kitaifa 2025, Ismail Ali Ussi amewataka wananchi wa Wilaya...
Timu ya raga ya Afrika Kusini mabingwa wa dunia tena
Afrika Kusini ilizidisha nguvu katika kipindi cha pili na kulaza Argentina 29-27 uwanjani Twickenham Jumamosi na kushinda Ubingwa wa Raga kwa mara ya sita, kwa tofauti ya pointi.
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, Ismail Ally Ussi, amezitaka halmashauri nchini kutenga na kupima maeneo kwa mpangilio …
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, Ismail Ally Ussi, amezitaka halmashauri nchini kutenga na kupima maeneo kwa mpangilio bora ili kupunguza migogoro ya ardhi. Amesisitiza wananchi wenye viwanja…
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limeombwa kufanya doria za mara kwa mara ndani ya Ziwa Victoria, ili kudhibiti uhalifu mb…
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limeombwa kufanya doria za mara kwa mara ndani ya Ziwa Victoria, ili kudhibiti uhalifu mbalimbali wanaofanyiwa wavuvi ndani ya ziwa hilo ikiwemo kuporwa kwa…
Mafuriko yaua 47, tisa hawajulikani walipo Nepal
Watu zaidi ya 40 wamefariki dunia na wengine hawajulikani walipo baada ya kutokea kwa mafuriko...
Polisi walivyowanusuru vijana wanaodaiwa kuingilia wanawake, Dodoma
Tukio hilo limetokea mtaa wa Nzuguni B jijini Dodoma huku ikielezwa kuwa imekuwa ni tatizo la...
Aliyemuua kaka yake kwa kumpiga na nyundo ahukumiwa kifo
Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imemuhukumu Cosmas Msumari adhabu ya kunyongwa...
Pwani ya Djibouti: Safari hatari yakutana na msaada wa matumaini
Katika kitovu cha njia yenye msongamano mkubwa wa uhamiaji eneo la mashariki, Pembe ya Afrika na kusini mwa Afrika kuna mji mdogo wa pwani ya kaskazini mwa Djibouti unaoitwa Obock.…
Sababu beki Simba kukwama Zambia
BEKI wa zamani wa Simba ya Vijana U-20, Alon Okechi Nyembe anayekipiga Zanaco FC ya Zambia amesema amechelewa kupata kibali cha kazi kilichomfanya asicheze hadi sasa.
Said Jr ataja ugumu Malaysia
MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Said Khamis 'Said Jr' anayekipiga IFC Malaysia amesema Ligi Kuu ya Malaysia ni miongoni mwa ligi ngumu barani Asia.
Mtanzania anakitaka kiatu Misri
MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Oscar Evalisto anayekipiga Makadi FC amesema mipango yake msimu huu ni kuchukua kiatu cha mfungaji bora kwenye ligi hiyo.akisaidia timu hiyo kumaliza nafasi ya sita kwenye msimamo…
Kidole chamuweka Sichone nje wiki tatu
KINDA wa Tanzania anayekipiga Trident FC ya Zambia, Mourice Sichone amesema maumivu ya kidole cha mguu aliyopata mazoezini yatamweka nje ya uwanja kwa takribani wiki tatu.
Katibu Bavicha adaiwa kuchukuliwa na watu wasiojulikana
Katibu wa Baraza la Vijana jimbo la Lupembe, Abedinego Sanga, anadaiwa kuchukuliwa na watu...
Israel yazidi kulipua Gaza huku wapatanishi wakikutana Cairo
Israel imeendeleza mashambulizi makali Gaza City huku wajumbe wa upatanishi wakikutana mjini Cairo kujadili utekelezaji wa mpango wa amani wa uliopendekezwa na Rais Donald Trump, na ambao umekubaliwa kwa sehemu…
Kocha Pamba Jiji afurahishwa na mastaa Stand
Kocha wa timu ya Pamba Jiji, Francis Baraza ametoa pongezi kwa usajili ilioufanyika Stand United, huku akikiri kazi uwanjani umeonekana kupitia wachezaji hao.
Rashford sasa ataka pasi 30 Barcelona
Na hivi karibuni, Mkurugenzi wa Michezo wa Barcelona, Deco alisema kuwa Rashford anawapa kile...
Diarra, Ahmad Ali vipanga wa Ligi Kuu Bara Septemba
Bodi ya Ligi Kuu Bara imewatangaza washindi wa mwezi Septemba kwenye ligi hiyo kwa upande wa kocha na mchezaji.
Diarra, Ahmadi Ali vipanga wa Ligi Kuu Bara Septemba
Bodi ya Ligi Kuu Bara imewatangaza washindi wa mwezi Septemba kwenye ligi hiyo kwa upande wa kocha na mchezaji.
Moto Kariakoo waibua hoja ya vifaa, mfumo wa umeme
Stoo ya kuhifadhia manukato (pafyumu) iliyoko katika ghorofa la mitaa ya Msimbazi na Mkunguni...
Maana ya kiuchumi kuimarika kwa thamani ya shilingi ya Tanzania
Wakati Shilingi ya Tanzania ikiendelea kupanda thamani dhidi ya fedha za kigeni kila siku...
Saka anavyotikisa na rekodi Premier
Ushindi wa Arsenal dhidi ya West Ham juzi ulikuwa wa kipekee kwa Bukayo Saka, kwani alifunga...
Wapatanishi wa Israel na Hamas wazungumza Cairo
Wapatanishi wa Israel na Hamas wamekusanyika Jumapili mjini Cairo kwa mazungumzo ya kujaribu kumaliza mzozo wa takriban miaka miwili huko Gaza.
Watu watano wauawa Ukraine kufuatia mashambulizi ya Urusi
Watu watano wameuawa nchini Ukraine kufuatia mashambulizi ya Urusi usiku wa kuamkia Jumapili.
Iran: Ushirikiano wetu na IAEA hauna tena umuhimu
Mwanadiplomasia mkuu wa Iran amesema ushirikiano kati ya Tehran na shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu matumizi ya nishati ya nyuklia (IAEA) hauna tena umuhimu baada ya nchi hiyo…
Venezuela: Netanyahu mtenda jinai anaendelea kuhujumu jitihada za amani
Yván Gil Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amemtaja Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa Israel kama muuaji sugu anayeendelea kuhujumu jitihada za kuhitimisha vita huko Gaza.
Maandamano ya vijana wa GenZ yaendelea kushuhudiwa Afrika
Maandamano ya vijana maarufu kama GenZ yameendelea kuyatikisa mataifa kadhaa ya Afrika ambapo waandamanaji wanadai uwajibikaji wa viongozi na uwepo wa huduma bora za kijamii.
Iran yataka OIC kuchukua hatua ya kuipiga marufuku Israel katika michezo ya dunia
Waziri wa Michezo na Vijana wa Iran, Ahmad Donyamali amewataka mawaziri wenzake katika Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kuunda muungano wa pamoja dhidi ya utawala wa Israel ambao utasaidia…
Wakfu wa Mandela walaani shambulio la Israel dhidi ya msafara wa Sumud
Wakfu wa Nelson Mandela, taasisi isiyo ya kiserikali iliyoanzishwa kwa ajili ya kumbukumbu ya rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, imelaani amelaani vikali shambulio la utawala wa Israel dhidi…
Serikali ya Somalia yathibitisha kuuawa kwa magaidi wa Al-Shabab katika shambulio la gereza jijini Mogadishu
Serikali ya Somalia imethibitisha kuwa wapiganaji saba wa kundi la kigaidi la Al-Shabab wanaofungamana na kundi la kigaidi la al-Qaeda wameuawa baada ya makabiliano ya saa kadhaa kufuatia shambulio kubwa…
Maporomoko ya udongo yaua watu 20 kaskazini mwa India
Mafuriko na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya takriban watu 20 katika eneo la milima la kaskazini mwa India la Darjeeling.
Kama umewahi kupewa zawadi ya kiwanja (ardhi) lakini hakuna hati rasmi ya kimaandishi, zawadi yako ni batili kisheria
Kama umewahi kupewa zawadi ya kiwanja (ardhi) lakini hakuna hati rasmi ya kimaandishi, zawadi yako ni batili kisheria. Msikilize Mwanasheria Bashir Yakubu akifafanua zaidi. #SheriaUpdates #AzamTVUpdates