[ad_1]
Bunge la Ulaya limepasisha azimio likielezea wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya Ukanda wa Gaza, na kuzitaka nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuliweka suala la kutambuliwa taifa huru la Palestina kwenye ajenda.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Bunge la Ulaya lataka kutambuliwa rasmi Palestina Huru