
UN yaonya ya kwamba mafuriko makubwa Sudan Kusini yanaweza kuathiri zaidi ya watu milioni 1
Mapigano, maradhi ya kipindupindu, na kupunguzwa kwa ufadhili imeongeza ukali wa janga hilo, asema mwakilishi wa shirikia la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) nchini humo.