Polisi Ujerumani yahimiza kukomesha kwa vivutio vya uhamiaji
Mkuu wa Polisi ya Ujerumani, Dieter Romann, amesema uhamiaji haramu unaweza kudhibitiwa tu endapo serikali itapunguza vivutio vinavyowafanya wahamiaji kukimbilia nchini humo na kuimarisha ulinzi wa mipaka na urejeshaji.