DRC: AFC/M23 yadai kuhusika na mashambulizi kwenye Uwanja wa Ndege wa Kisangani
Waasi wa AFC/M23 wamedai kuhusika na shambulio la ndege zisizo na rubani kwenye Uwanja wa Ndege wa Bangoka katika jiji la Kisangani, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).…