Mgodi mkubwa wa almasi Lesotho wapunguza asilimia 20 ya wafanyakazi wake
Mgodi mkubwa zaidi wa almasi nchini Lesotho, Letšeng, umewafuta kazi wafanyakazi 240, ikiwa ni sawa na asilimia 20 ya wafanyakazi wake, huku ukipambana na bei ya chini ya vito kutokana…